Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Faiza miaka 14 ana ukubwa gani?Nani alikudanganya miaka 14 ni mdogo?
Bro rikiboy umenena vizurKwani Sheria za Nchi si ndo msingi na kanuni ambazo kutokana na hizo Sheria zingine zinatungwaa? Sasa inakuwaje sheria za Bakwata zivunje sheria za nchi? Au waislamu wao wana nchi yao?
Kila mmoja na umbo lake.Faiza miaka 14 ana ukubwa gani?
Kisa mnamfuata pedophile, ila Sunnah ni miaka 6 ndoa miaka 9 anapigwa pipeKila mmoja na umbo lake.
Sheria ya ndoa ya mwaka 1971 ni miaka 14. Bakwata sio watunga sheria, wametoa maoni yao tu.Kwani Sheria za Nchi si ndo msingi na kanuni ambazo kutokana na hizo Sheria zingine zinatungwaa? Sasa inakuwaje sheria za Bakwata zivunje sheria za nchi? Au waislamu wao wana nchi yao?
Cognitive maturity bado, ni kweli.Kwani utoto unapimwa Kwa kupevuka kijinsia tu?!
Ni kupitia tafiti za kisayansi imeonekana umri chini ya miaka 18 anakuwa ni mtoto kupitia namna yake ya kufikiri juu ya mambo na anavyoenenda na kuamua mambo anakuwa ni tegemezi kiufahamu.
Unamaanisha MTUKUFU FaizaFoxy anapelekewa moto na vibenten?Wanaopenda dogo dogo wanashabikia huu upuuzi...
Hivi mwanamke m'moja anaweza himili kuishi na wanaume wanne ambao wana afya na wanataka kupiga mashine kila siku si watamuua.Ndio uislam ulivyo na sheria zake. Mume wake 4, mke mume 1 justificaion iko wapi?
Nadhani hawa watu wa BAKWATA watakuwa na hoja zao za msingi ambazo zinatakiwa kutolewa ufafanuzi. Pengine ni jambo ambalo limewekewa utaratibu ili lilete matokeo fulani na kuzuia jambo fulani.Kuoa na kumuingilia ni vitu viwili tofauti,hata chini ya hapo mila za zamani walioa kabla ya Sheria za ubakaji.
Walioa wakiendelea kuishi kwa wazazi wao hadi umri uliporuhusu wa kuingiliwa ndipo wakaenda KWA waume zao.
Walichumbia kwa tafsiri ya kuoa.
Huwezi muingilia binti wa miaka 9 itaingia vipi sasa.
Kabla ya shule miaka 14 waliolewa vijijini.
Na hili ndilo swala ambalo wengi hawajiulizi, kuwa hawa viongozi wa kiimani watakuwa na ajenda ya kuharibu jamii na kuidhoofu?!Kwani Sheria za Nchi si ndo msingi na kanuni ambazo kutokana na hizo Sheria zingine zinatungwaa? Sasa inakuwaje sheria za Bakwata zivunje sheria za nchi? Au waislamu wao wana nchi yao?
Hawa ndio wanasababisha mabinti wengi wanazagaa humu mitaani na hawajielewi.Mwanamke yupo Kwa ajili ya kufuata maelekezo. Under traditional rules mwanamke hana ndoto badala yake anatimiza ndoto za mwanaume wake.
Na ni kupitia mfumo huo ambapo ndoa zilikuwa zinadumu after arranged marriage. Unataka utegemee mawazo ya mwanamke kutoka kimaisha? Utachelewa sana kama hautokwama kabisa.
Hata utumbo kama huo.Quran na sunna zikishasema ni zimesema
Mahousegirl wengi huwa wanapitia mfumo huo na wakikutana na mtu sahihi ndio unakuta maisha yanawakalia sawa baadae.Mwanamke ni kiumbe cha ajabu sana,huyo miaka 14 akiolewa utashangaa anavyobadilika na anayamudu vizur tu majukumu yake hata akiwa na watoto anawatunza vzur tu na biashara wanafanya za kukizi mahitaj ya familia
Kiumbe ke usikichukulie poa
Mbona unamuandama mwamediMzee wa papuchi mwenyewe alioa mtoto wa miaka tisa.
Ao watu wa mnyazi wanachowaza ni mbususu tu na namna ya kuzichakata
zikiwa za motomoto.