Hakuna Hilo kwenye Qur'an mzeeKama kuoa bint wa miaka 6 na kumuingilia akiwa na miaka 9
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Hilo kwenye Qur'an mzeeKama kuoa bint wa miaka 6 na kumuingilia akiwa na miaka 9
Miaka 11, 12 na 13 anayo shauri huyu Hassan? Nitajie kifungu mkuuHiyo ni Sheria ya serikali we kima
Pita na mwanao kwanzaNaunga mkono wengi amjui tu kuna mitoto inamiaka 14 lakini ukiingalia utadhani lina miaka 30 awa ndio wakupita nao
Soma kichwa Cha habari Cha madaMiaka 11, 12 na 13 anayo shauri huyu Hassan? Nitajie kifungu mkuu
Sawa kabisa. Uko sahihi.Ni sheria ya kipumbavuu sanaa ndo maana ikafutwaa sasa wao bakwataa wanataka waendelee kuwa wapumbavu???
Mimi naongelea hoja za Hassan, soma kwa makini ndio ujibu.Soma kichwa Cha habari Cha mada
Hiyo sheria ilishafutwa tangu 2019.Hiyo ni Sheria ya serikali,hata Japan na uingereza ipo hivyo
Akhasanta mdomo mali yako tukana mpaka uchoke likini ukweli utabaki kuwa ukweli tu,takwamu ya elimu inaonyesha watoto miaka 12,14,15 wapatao 6000 wamerudi shuleni baada ya kujifungua kafiri sifa yake ni kupinga ukweli uisilamu sifa yake kusema ukweli mtoto akisha vunja uongo sio mtoto tena bali ni mama kuolewa haki yake kafiri kila mtaa mawaona mnao waita watoto wakijiuza heti bado mnasema watoto bora kufa nikazikwa kuliko kuwa kafiri (mkiristo)Kuwaachanisha Waislamu/Uislamu na
1: Ugaidi
2: Umalaya
3: Kitimoto
4: Upumbavu
Ni kufafuta vita nao.
ilishafutwa tangu 2019.Hiyo ni Sheria ya serikali we kima
Bado ipo,bakwata wanachosema isifutweHiyo sheria ilishafutwa tangu 2019.
Bakwata wamechanganyikiwa wanachochea ubakaji.
Huyo mwanasheria pori amulikwe, inaonekana ni tabia yake kulawiti watoto.
Kwani wewe tajiri mtoto wako wa miaka 14 asikii nyege?Matajiri wanaenda kuvioa vitoto vya maskini and not the other way round.
Hassan kaongea kuwakilisha bakwata akikazia Sheria ya serikaliMimi naongelea hoja za Hassan, soma kwa makini ndio ujibu.
Wengi uwezo wa kufikiri ni mdogo...samahanini kwa kusema iloila hao jamaa Wana akili ndogo kama za nzi
Waliotunga hiyo Sheria ni akina nani!?Wengi uwezo wa kufikiri ni mdogo...samahanini kwa kusema ilo
🤣🤣🤣🤣 Basi njjoni tugegedane tuu wikend ndio kama hivyo imeshaanzaNdoa zenyewe asilimia kubwa chungu kweli
Anakazia sharia au utamaduni wa Kiislam, fahamu ili Waislam wanawakilishwa na Bakwata katika serikaliHassan kaongea kuwakilisha bakwata akikazia Sheria ya serikali
We una shida gani!!?..hiyo Sheria ya serikaliAnakazia sharia au utamaduni wa Kiislam, fahamu ili Waislam wanawakilishwa na Bakwata katika serikali
Jitahidi usome ata cheti cha sheria ili usibishe bishe sana.
Mkuu Leo umefunga?We una shida gani!!?..hiyo Sheria ya serikali
Kuwa muelewa kuolewa kutasaidia kila mtoto kuwa na baba pia kunamfanya mtu kuendea tendo la ndoa bila kufichoJe tangu lini kuoa kukawa kinga ya kupata mimba? Huo mfano ni batili. Mimba wanapata hata watoto wa miaka 9, je turuhusu waolewe? Je Ukiruhusu hao kuolewa kama kinga ya mimba asipopata mchumba je? Ina maana tumekata tamaa kuwalea watoto wetu tunakimbilia kuwaoza kama mvuvi anavyouza samaki kwa bei ya kutupa ikifika jioni.
[emoji3581]Mkuu nadhani huja nielewa kabisa , mimi sijasema kuwa hii ni kinga ya mimba big no, ila nimesema kwa huo umri ikiwa kila hatua za uchunguzi zimezingatiwa basi msichana apewe baraka za kuozwa , kuozwa au kuolewa si kununua na hii dhana wengi wasio waislamu wanashindwa kujua lengo la ndoa , ikiwa mtoto hataki kubadilika , kuelewa , kusoma ni bora sna akapata ndoa , maana yake ata endelea na mambo ya hovyo hovyo huko mtaani na mwishowe anapata mimba