BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

Mtaani mzazi ambaye ana mtoto ambaye ana umri wa kwenda shule afu mtoto anashinda tu nyumbani, serikali kupitia ma afisa elimu waliunda operation kabambe ya kamata kamata waliwatia jela hao wazazi wakanyea makasha siku kadhaa kisha waliporudi makwao walikuta watoto wako shule.

Pengine mtaani kwako viongozi wa juu kama afisa elimu ni masheikh wanounga mkono itikadi kama hizo na ndio maana mambo kama hayo yanaendelea
Aliyemaliza darasa la 7 na kufeli ni lini serikali ilimrudisha shule?Au unaropoka tu ilionekane umechangia huu uzi?.
 
Nadhan ni bora kuendelea kupambana kuushinda unyanyasaji wa kingono kwa hawa watoto kuliko kuona kuruhusu kuolewa kwao ndo kutatua changamoto
Nature haina mbadala ndugu.Mtu akivunja ungo na kubarehe huwezi zuia matamanio ya yeye kutoa mbwa .
 
Sisapoti binti mdogo kufanya ngono, ila kuna tofauti Kati ya kufanya ngono na kuwa mke wa mtu…kuwa mke wa mtu kuna majukumu mengi kuliko kufanya hicho kitendo….mtoto anaeza kuhimili kitendo lakini sio majukumu ya ndoa na familia na swala la uzazi kwa ujumla
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums-586063353.jpg
 
Wewe umeona mzazi gani au mwanajamii gani anafurahia au anahamasisha mwanae afanye ngono? Tena jamii za Pwani ndiyo zinawa expose na kuwajengea mazingira ya ngono watoto kwa tamaduni zao.
Kwa hiyo wewe na huyo niliyemjibu mnaona suluhu ni kuruhusu waoelewe wadogo, sio?

Mimi nafikiri uislam hauna tatizo bali waislam wenyewe ndiyo wapuuzi ama kwa makusudi tu au matamanio yaliyojificha ndani yao baadhi. Tumepewa akili lakini hatutaki kuzitumia.
Dini zote kuu 2 haziongelei miaka bali barehe na kuvunja ungo ndiyo kipimo cha kufikia utu uzimza.
 
Kwani umri wa mtu mzima unaanzia miaka mingapi? Na mtu mwenye umri chini ya miaka 18 tumaitaje?
Umechanganya mambo. Utu uzima na kuolewa ni vitu tofauti. Tanzania hii kuna makabila anaolewa mtoto wa miaka mitatu.

Sheria ya Tanzania ya (age of consent) ilikuwa miaka 14, sifahamu lini imebadilishwa.
 
na hiyo zamani vifo vilivotokana na uzazi vilikua vingi…sasa ndo wanataka waturudishe huko. Sijui wa nafikiria kwa kutumia nini
Siyo kweli kwamba vifo vilikuwa vingi bali nikutofanyika kwa tafiti sahihi.Lakini kwa sasa let ya vifo ndiyo nyingi na let ya kuzaa kwa mikasi (operation )ndiyo imekuwa kubwa sana.


 
unajua risks za kiafya za mtoto huyo kuolewa hata kama hasomi? Embu tuache kuendekeza ujinga in the name of dini
Ni mwaka 52 huu sasa,unaweza kuthibitisha hizo risks zilizothibitshwa kutokea kwa wanandoa wa umri huo?.
 
Kuna wakati waislam wanakuaga wajinga sana sana.


Yaan uoe mtoto wa miaka 14 ?? Wee ni mbakaji tu kama wabakaji wengine.


Alafu umuache akiwa na miaka 16? Unatofauti gan na wabagaji?.


Waislam acheni ujingaaa !!.
Ni kifungu kipi cha Ukristo kimeweka miaka fulani ndiyo ya kuolewa kama wewe siyo ndiyo mjinga.Nature inasemaje kuhusu mwili kuhimili majukumu ya uzazi?.
 
na hizo sheria zote zimewekwa kumfaidisha mwanaume…zoooote yani zooooote. Mara wake wanne, mara mbinguni watapewa mabikra 1000 yani zote zina favor mwanaume
Kwani zaidi ya hiyo papuchi yako,unakingine kipi cha kumpa mwaume?.
 
Kwahiyo, mapepe mmoja afanye kundi zima lipotee..!!??? Vipi kama mtaani kwenu kuna mashoga..!!???
Nashoga wanahusikajeee hapaaaa? Duuuuh kazi ipooo.
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nashoga wanahusikajeee hapaaaa? Duuuuh kazi ipooo.
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimewataja kwa maana hii ifuatayo, yeye kasema mtaani kwao kuna mmoja binti mmoja mapepe sana, hivyo ni bora tu aolewe akiwa na umri huo mdogo. Sababu yake kuu ni huo umapepe wa huyo binti. Sasa binafsi nikawaza, kama kuna mashoga mtaani kwake, tuwaache tu waendelee na tuukubali ushoga wao kisa wao wanapenda?
 
Narudia ni wapumbavu pekee wataoshadadia kuendelea kuwepo sheria za kipuuzi kama hizi. Huu ni mwaka 2023 sio mwaka 620. Kama huwezi kuendana na mabadiliko jiue.

Mnaoshadadia muendelee basi kuenzi hayo ya toka zama ikiwemo kutotumia usafiri wa kisasa, muendelee kutumia punda na farasi kama usafiri kwa sababu ndiyo uliotumika toka zama.

Kama mtu unashindwa kuona madhara ya binti kuolewa umri huo jua fika wewe ni mbinafsi na mlafi wa ngono na mkwepa majukumu.
 
Anyway Mkuu nisingependa nicomment kuhusia na imani za watu ila ni suala la akili ya kawaida hivi mtoto wa miaka 14 kweli yupo tayari kwa changamoto ya kusimama kama mama au mke?...naamini hakuna mzazi mwenye akili yake timamu yupo tayari kumuoza binti yake wa miaka 14..NEVER...
Mikoani wanaolewa sana, tena ndoa za kimila na kiislamu, Baadhi ya sheria za kiislamu zinafanana na zaki mila
 
Mwanamke yupo Kwa ajili ya kufuata maelekezo. Under traditional rules mwanamke hana ndoto badala yake anatimiza ndoto za mwanaume wake.

Na ni kupitia mfumo huo ambapo ndoa zilikuwa zinadumu after arranged marriage. Unataka utegemee mawazo ya mwanamke kutoka kimaisha? Utachelewa sana kama hautokwama kabisa.
Vijana waleo wanawaza kupanga maisha na mwanamke badala ya kupanga maisha ili mwanamke afate.
 
Back
Top Bottom