Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
jibu swali we nguchiro,nan aliyekuwa akitekeleza ule uchafu na kwa amri ya nan na kwa maslahi gni????
Acha kufanya siasa chafu kwenye mambo ya msingi, mambo yanayohusu uhai wa mtu na mambo yahusuyo uhai wa taifa hayahitaji masihara
Mtu anakuja kufanya kampeni anashindwa uchaguzi halafu anashindwa kufika kwenye vyombo vya sheria kutoa ushirikiano kupata haki yake??? Tena anakimbia kabisa nchi[emoji849][emoji849][emoji849]
King Kong hebu na wewe jiongezage bhana