Acha mambo ya ajabu. Fiesta isimame kisa azana? Kwani dini ya Kiislamu inaruhusu kucheza na kuhudhuria matamasha ya Bongofleva?
Si ni sawa na kusema madangulo na wahudumu wake wawe wanasitisha huduma pale azana ikilia.
Kwanza haya mambo yanafikaje uko. Dini zote wasimamishe michezo uwanjani kisa kuna Mungu wa imani fulani yuko anaabudiwa muda huo. Tusile kisa kuna watu wamefunga, tusiuze kitimoto, tununue nyama waliyochinja wao. Aisee hebu tusubiri Afande Sele afe kifo kibaya, bado siku ngapi vile...