BAKWATA yampa Cheti cha Pongezi Rais Uhuru Kenyatta kwa kusitisha hotuba ili kupisha adhana!

BAKWATA yampa Cheti cha Pongezi Rais Uhuru Kenyatta kwa kusitisha hotuba ili kupisha adhana!

Kenyatta alinyamaza kwa mshangao inakuaje shughuli kubwa Kama Ile serikali ya Tanzania ilishindwa kuzibiti mapema kilichotokea, ilitakiwa waumini waruhusiwe kuendelea na ibada ila kipaza sauti kisitumike mchana ule.
Huo..mshangao ndio dakika mbili nzima.....?
 
Waafrika muwe makini na dini au imani hizi zilizokuja toka mbali kwa majahazi na merikebu, zitawagawa sana msipokuwa makini.

 
Na mmeshangilia kweli
Kwani wewe mwenzetu unamjua huyo aliyefanya hicho kituko cha mwaka cha kuingilia taratibu wa watu na imani yao ibadani? Nitajie ili tumshangae aliwaza nini hadi kufanya hicho kituko cha ajabu?
 

Bakwata imetoa Cheti cha pongezi kwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa kitendo chake cha kusitisha hotuba yake wakati wa kumuaga hayati Magufuli ili kuheshimu adhana ya ibada ya adhuhuri.

Cheti hicho kimesainiwa na Mufti sheikh mkuu Aboubakar Zubeir.

RIP Magufuli.
Hicho cheti ni Fake,cheti halisi huwa na sahii ya mtoa cheti na tarehe
 
Subiri taarifa ya habari baadae watakuwekea bwashee!
Sitoshangaa, kwa vile Kenya wamefanya lazima na Tanzania wa Copy and paste. Hili tukio lilitokea Tanzania sasa hao BAKWATA walikuwa wapi?
Au mpaka wawaone jirani zetu ndio na wao akili zao huwaza?
 

Bakwata imetoa Cheti cha pongezi kwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa kitendo chake cha kusitisha hotuba yake wakati wa kumuaga hayati Magufuli ili kuheshimu adhana ya ibada ya adhuhuri.

Cheti hicho kimesainiwa na Mufti sheikh mkuu Aboubakar Zubeir.

RIP Magufuli.
Hicho cheti sio cha kweli, au ulitumiwa wewe Digitaly bila ya kuwa scarned?
 
Acha mambo ya ajabu. Fiesta isimame kisa azana? Kwani dini ya Kiislamu inaruhusu kucheza na kuhudhuria matamasha ya Bongofleva?
Si ni sawa na kusema madangulo na wahudumu wake wawe wanasitisha huduma pale azana ikilia.

Kwanza haya mambo yanafikaje uko. Dini zote wasimamishe michezo uwanjani kisa kuna Mungu wa imani fulani yuko anaabudiwa muda huo. Tusile kisa kuna watu wamefunga, tusiuze kitimoto, tununue nyama waliyochinja wao. Aisee hebu tusubiri Afande Sele afe kifo kibaya, bado siku ngapi vile...
 
Ni tahadhari tu.

Isije ikawa ni mwanzo wa njia ya kuwashirikisha wasioamini katika imani hiyo kushiriki kwa lazima.
 

Bakwata imetoa Cheti cha pongezi kwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa kitendo chake cha kusitisha hotuba yake wakati wa kumuaga hayati Magufuli ili kuheshimu adhana ya ibada ya adhuhuri.

Cheti hicho kimetolewa na Mufti sheikh mkuu Aboubakar Zubeir.

RIP Magufuli.
Jambo zuri wamefanya KWA Hili,kenya wanabahati Sana kua na kiongozi wa aina hii
 
ILIBIDI MUOMBE MSAMAHA KWA KUFANYA FUJO KWENYE SHEREHE ZA KITAIFA.

HIVI MLISHINDWA KUPUNGUZA SAUTI KWELI? MBONA MISIKITI YA VIJIJINI ADHANA INAPIGWA BILA MASPIKA?

MLIKOSA USTAARABU HALAFU MNASINGIZIA MUNGU.

mungu wenu hawezi kusikia bila kutumia maspika?
 

Bakwata imetoa Cheti cha pongezi kwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa kitendo chake cha kusitisha hotuba yake wakati wa kumuaga hayati Magufuli ili kuheshimu adhana ya ibada ya adhuhuri.

Cheti hicho kimetolewa na Mufti sheikh mkuu Aboubakar Zubeir.

RIP Magufuli.
huo muda wangetumia kumuandiki barua mheshimiwa rais HASSAN awatoe UAMSHO huko GEREZANI
 
Vaa viatu vya lissu umiminiwe risasi 38 kisha 16 ziingie mwilini ,uwe kwenye coma kwa siku 5 ,damu zaidi ya 90% ilipotea,ufukuzwe ubunge,usipewe fedha za matibabu kisa "MTU FURANI" kakataa then huyo "MTU FURANI" umuonee huruma wakati alikuwa anataka ufe? Kufichua Ndege kukamatwa ndio usaliti? Dunia kijiji hauwezi kuficha kitu,kuhoji elimu ndio unaua mtu?

Kwa hiyo kwa sababu alimiminiwa risasi hivyo basi hatoweza teleza kwa kila analofanya kwa wale anaodhani wamemkosea? Kwa hiyo yuko sahihi kwenye kila jambo ?
 
Tutafute pia utaratibu kunapokuwa na shughuli za kijamii kama fiesta, mechi ya mpira, gwaride la maadhimisho n.k tuwe tunasitisha kinachoendelea mara tusikiapo adhana.
A slippery slope to where?

Mungu anaabudiwa kwenye nyumba iliyopangwa. Wanaotaka kumwabudu waende huko sio kuingilia matukio mengine yanayoendelea nje.

Wasishirikishwe katika kuabudu watu wasiohusika na ibada.

Na majirani wanaoishi karibu na nyumba hizo, na wao watalazimika kuwa wanaacha shughuli zao kila inapopita sala/adhana?
 
Amemiminiwa risasi na nani? Mbona kwa hilo la risasi hatoi ushirikiano kwa vyombo vya usalama??
Huko twita kunamsadaije.

Halafu hivi Tundu ni muumini wa imani gani? Sababu waanzilishi wa imani zetu ndio role models wetu. Nina uhakika hata anayejidai kumuamini kiimani anaweza kumtukana tuu

Kwa misingi ya imani, mila, desturi na malezi Tundu atabaki kuwa Tundu... namaanisha Tundu lenye kutoa chafu tuu jamii. Binadamu gani asokua na soni jamaniiii kha😐
So mkuu mnasema mh lissu alijipiga Marisa's I?acheni hizi, lissu ni shujaa wa afrika, amepigwa Marisas kibao na bado akaludi endesha kimbunga 2020 lissu, na kidogo kiondoke na taulo ya mtu, mh lissu ni simba,binafsi nilimuona KWA mbali wakati anafungua tawi la chadema nzovye mbeya, wakati wa ufungunzi wa kampeni, nikiwa kikazi mbeya mda huo , mwili ulisisimka, yule ni roho inayotembea, mnaomsemea mabaya mtakufa nawambieni , hachana na hii Tabia nawambia
 
Back
Top Bottom