Kama akili Kama zako sawaMbona kama unateseka? umeumia Eee!
Wenye akili wameona kua kitendo cha Kenyata ni cha kiungwana na kina funzo kubwa la kila imani kuheshimu imani ya wengine,
kama wewe uwezo wako wa kufikiri umekufikisha na kuona kua jambo hilo ni kitu petty basi endelea tu kuwaza hivyo hivyo ila usilazimishe kila mtu awaze kama wewe.