BAKWATA yataka CASINO ya Palm Village ifungwe, inaleta Usumbufu kwa Viongozi Wastaafu

BAKWATA yataka CASINO ya Palm Village ifungwe, inaleta Usumbufu kwa Viongozi Wastaafu

Na sisi tutasema vile vipaza vya kila baada ya masaa kadhaa ni kelele kwa watu wengine...
uayo haki ya kwenda mahakamani kupinga au kwa watu wamazingila hili viondolewe lakini ushie hapo tu na makanisa yanayo kesha kwa vilio na miziki watu awalali
 
Usumbufu gani!? Aliyewahi kusikia casino lolote hapa Tanzania linaleta usumbufu kwa watu wanaozunguka eneo hilo atuambie hapa..usumbufu uwe either mziki mkubwa au fujo za walevi...
Tunajua kweli kwenye makasino kuna mambo mengi ya kidunuia lakini Casino ni moja ya sehemu tulivu sana huwa haina makelele hata kidogo sema hawa nao wanapenda sana umwinyi na unafiki!
 
Ni kweli dini inakataza kamari, ila hapa bakwwata wangepiga kimya, wao wakataze misikitini huko, kwenye shura mbalimbali.
Sio tamko,
Halafu tamko lenyewe limekaa kiubaguzi, kisa tu kuna wastaafu.

Haya mimi nilipo kuna bar pembeni mziki kutwa kucha, so niende nikaseme kwao wamisemee au.
Tunaishi kwenye nchi si ya Kiislamu 100% mengine yatupite tu, kila mtu ajizuie nafsi yake kw maovu, aitunze familia yake na maovu kisha watu wake wa karibu, wengine tuwe tunapeana nasaha tu, akikusikia hewala hataki, hakuna kulazimishana.
Sahihi kabisa chief
 
Kama Kuna kitu sielewi...hivi pale mjini upande huu kanisa la kkkt upande huu casino mbona sijawahi sikia wakilalamika ..Mbona mtaani makampuni ya betting yamejaa na vijana wanajazana humo kutwa Zima wanabet hawasemi kitu ,Kwa hiyo mmonyoko wa maadili Kwa vijana wadogo ni sawa ila usumbufu Kwa wakubwa ndio kipaumbele. Pia Hii casino la palm village sidhani kama liko rough watu kuingia na kutoka Kwa kiwango kikubwa wanachosema maana wanaoenda hapo kucheza sio watu wa Hali ya chini kusema watajazana na usumbufu...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo ni elimu dunia ni kidogo sana kwa viongozi wa bakwata, wanaishi kalne ya saba
elimu ya dunia iasemaje kuhusu kasino kwenye maeneo ya watu? fafanua we msomi wa elimu ya dunia
 
Kama wanalipa Kodi,wanatoa ajira,hawawasumbui--shida iko wapi?
na hao wastaafu si ndo ma al-hajj?
 
Ikifungwa wengine watapata shida kwa kukosa ajira, maisha ni kuvumiliana maana maisha yenyewe ni mafupi.
 
BAKWATA hebu kueni serious hata Mara mojamoja basi,hivi nyie ni wa kuwatetea viongozi wastaafu wa serikali kweli wakati wao bado wana nguvu ya kuongea na viongozi waliopo madarakani?

Mbona kuna mambo mengi sana yanayogusa watu wa kawaida,mfumuko wa bei,kushuka maadili,ugumu wa maisha nk,hayo yote hamyaoni?
 
Kama mashekh wako wanapinga ushoga basi wawe wawazi sio kulazimisha biashara iliyosajiliwa kihalali kifungwa kwa kisingizio cha usumbufu. Halafu hao wastaafu ni mafisadi tuu natamani wangekuwa wanasumbuliwa kweli

Wakubwa lazima watumie tafsida kwenye maongezi yao ukiona mkubwa anaongea ongea tu bila tafsida inabidi utambue atakuwa mkubwa kwenye sehemu za siri tu ila kichwani hamna kitu
 
Kamari za kwenye maradio hawayakemei hawa vp

Ova
 
Hebu jenga hoja tuone uhusiano wa casino na ushoga.

Akili kichwani kwako mkuu, nenda hapo Kwa dida kinondoni ndio utajua ushoga na makasino vinaendana vipi? Dida hapo kinondoni ana kipub tu wanajaa mashoga kama 200 Na maboss wa kununua hao mashoga kama 100 hivi, sasa hicho kipub tu cha dida huko kasino inakuaje?
 
Wanaosapoti hilo CASINO lisifungwe wote mnasapoti USHOGA yaani mnasapoti UPINDE WA MVUA [emoji304] bila wenyewe kujijua; alaf mkiona watoto wa kiume wamekuwa wabovu mnalalamika hamtakiwi kulalamika basi kwani humo panakuwa makazi ya USHOGA, wafurahieni MASHOGA sio kutwa kuanzisha nyuzi za MASHOGA wakati mnawasapoti, MASHOGA NYIE

KATAENI MPAKA MKUBALI MNAOPINGA HILO KASINO KUFUNGWA MNASAPOTI USHOGA [emoji304]BILA KUJIJUA NA WENGINE MNAJUA WAZI MNATETEA UPINDE WA MVUA [emoji304] KWA MASLAHI YENU WENYEWE
 
Akili kichwani kwako mkuu, nenda hapo Kwa dida kinondoni ndio utajua ushoga na makasino vinaendana vipi? Dida hapo kinondoni ana kipub tu wanajaa mashoga kama 200 Na maboss wa kununua hao mashoga kama 100 hivi, sasa hicho kipub tu cha dida huko kasino inakuaje?
Una miaka mingapi chief??
 
KWENYE UZI HUU NDIO UTAWEZA UKAHESABU MASHOGA [emoji304] KUPITIA COMMENT MASHOGA KIBAO HUMU KAMA UNABISHA HESABU COMMENT ZA WANAOPINGA HILO CASINO KUFUNGWA

MASHOGA [emoji304] NYOMI YAANI
TANZANIA KWA WINGI HUU WA MASHOGA USHOGA HAUWEZI KUISHA- HAYA WANAUME KAMA MABINTI ENDELEENI NA JITIHADA ZENU ZA KUENDELEZA USHOGA [emoji304]
 
NA NYIE NYIE MASHOGA [emoji304] NDIO MTAKUJA NA NYUZI ZA KUPINGA USHOGA [emoji304] YAANI NI MASHOGA WAZUGAJI TU MNAJIFANYA WAZIMA KUMBE NI MASHOGA [emoji304]

MASHOGA [emoji304] KIBAO HUMU JF
 
Back
Top Bottom