jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
nchi hii lini watu mtabadilika na kuelimika hao masheikh wametoa kelo yao mawazo yao nyiyi kwa ushenzi wenu mnaaza kuwashutumu mala vipaza sauti kwenini msiheshimu mtazamo yao?
wewe kama unakeleka na vipaza sauti nenda mahakamani au kwenye viombo via habari ukaoe kelo yako mtazamo wako kuhusu vipaza sauti mtazomo wako mawazo yako tutayaheshimu kuheshimu mawazo mtazamo wa mtu huo ndio utu vinginevio ni ushezi
Kwanini hao mashehe ubwabwa wasiende mahakamani?kama wanaona kero uwepo wa hiyo casino,hawana legality ya kutoa huo waraka mana wao sio wasimamizi wa sheria,walipaswa wafikishe kero yao kwenye vyombo vya kisheria.
Walicho kifanya ni ujinga na kukosa weredi.