Sawa ila kwa maana angetaka ausitishe kama ile Bandari ya Bagamoyo angeshindwa?Ila watanzania mna ujinga Sana sijui ni madhara ya elimu tunayopata Hadi tunAshindwa kutafuta taarifa.
Barabara za lami na mataa unayoyaona mitaani kwenye majiji yote Ni mradi wa Dar metropolitan project , huu mradi aliusaini kikwete na unaenda kuis
Hata Nyerere alikopa acheni ujinga!Walinda legacy wamechachamaa! 😁😁😁
Magufuli alikuwa anakopa utadhani hakuna kesho!
Aina ya mikopo aliyokuwa akichukua Magufuli siyo ya masharti nafuu ni kitanzi kitupu!
Hapa hakuna kutetea legacy Ni ukweli dhidi ya upotoshaji.Huu uzi ni mzuri kwa maslahi mapana ya taifa ila naona umegeuzwa kuwa battle kati ya watetea legacy vs waponda legacy
Yeye alikuwaanasema pesa zote ni za ndani. Sasa hiyo mikopo imetoka wapi na alukuw anatupiga fix ili iweje.Nafikiri alikopa kulingana pia na uwezo wa nchi! Unajua ukuaji wa uchumi ndo uwezo wa kukopesheka pia! Na utambue miaka yote tumekopa lakini kilichokuwa kinafanyika cha maana hakikuwepo! Ila kwa vile wote mmegeuka wakosoaji wa Maguguli ili kumlinda mama! Mwambie apambane asisingizie Madeni hata Marekani wanamadeni ya kutisha!
Itaje hiyo miradi ya hovyo.Afute miradi ambayo jamaa yako alishatufunga kwenye mikataba ya hovyo? Unadhani yeye ni kama jamaa yako ambaye alikuwa anafuta tu miradi ili apate masifa jukwaani mwisho wa siku ikawa inatucost kama taifa? Makesi mangapi tumegaragazwa enzi za utawala wake sababu ya maamuzi yake ya kindezi na masifa ya kijinga? Ndege zetu zilikamatwa na kuliletea aibu taifa sababu kubwa si ilikuwa maamuzi yake ya kutotumia akili? kifupi system ilishamchoka na ndiyo maana........Uwezo wa Mother ni mkubwa mnoo, mtu anayejiamini hanaga makeke, ukiona mtu makelele mengi, kugawa gawa mahela hovyo barabarani, kununua jogoo kwa laki moja ili kufurahisha watu ujue hamna kitu huyooo, empty head
Hahaha Nani atatumia uwanja wa chatoYeah japo mnaponda ila aheri kufanya vitu vinavyoonekana! Hautakuwa na maana leo ila mbeleni utakuja kusaidia watu!
Kwani angetaka hela zile aweke mfukoni au agawane na jamaa zake angeshindwa?
Ndio maana yake si utalipa wewe unategemea kulipiwa!Yeye alikuwaanasema pesa zote ni za ndani. Sasa hiyo mikopo imetoka wapi na alukuw anatupiga fix ili iweje.
Hujaelewa, kwanini JPM alitudanganya kuwa anatumia fedha za ndani wakati anakopa?Tupe na thamani ya miradi iliyotokana na deni, kama uwiano wa deni na uchumi kukua ni 30% huko kutendwa kunatokeaje?
Anzia upanuzi wa bandari, SGR, Upanuzi wa highways, mabarabara ya mitaa, stand za mabasi nchi nzima, New mwendokasi roads, vituo vya afya nchi nzima, Hospitali za wilaya nchi nzima, Mashule, Ndege, upanuzi wa viwanja, ujenzi wa Dodoma plus Ikulu ya Chamino, usambazaji umeme kila kijiji, vivutio vya utalii, Hydropower ya Nyerere na vingine vingi. Ulitegemea hela haitumiki?
Then go back angalia uwiano wa uchumi na ukuaji wa madeni! Njoo kwenye probability means of return. Angalia makusanyo per annual sio kuandika kinafiki.
Tuliambiwa anajenga miradi kwa pesa zetu za ndani kumbe usanii tu, matrilioni yote hayo aliyokwapua mbona miradi inasuasua pesa ziko wapi? Halafu umeme vijijini na baadhi ya miradi inajengwa kwa SHERIA ya tozo kwa watanzania, huyu si alisema sisi ni Dona kantri huko kwa mabeberu nini kilimpeleka Hadi kutuachua laana za madeni?Tupe na thamani ya miradi iliyotokana na deni, kama uwiano wa deni na uchumi kukua ni 30% huko kutendwa kunatokeaje?
Anzia upanuzi wa bandari, SGR, Upanuzi wa highways, mabarabara ya mitaa, stand za mabasi nchi nzima, New mwendokasi roads, vituo vya afya nchi nzima, Hospitali za wilaya nchi nzima, Mashule, Ndege, upanuzi wa viwanja, ujenzi wa Dodoma plus Ikulu ya Chamino, usambazaji umeme kila kijiji, vivutio vya utalii, Hydropower ya Nyerere na vingine vingi. Ulitegemea hela haitumiki?
Then go back angalia uwiano wa uchumi na ukuaji wa madeni! Njoo kwenye probability means of return. Angalia makusanyo per annual sio kuandika kinafiki.
Sasa kwanini alikuwa anadanganya anatumia pesa za ndani wakati kimsingi alikuwa anakopa na miradi mingine ilikuwa funded na international financial entities kadhaa?Sawa ila kwa maana angetaka ausitishe kama ile Bandari ya Bagamoyo angeshindwa?
Kwanini alidanganya kuwa hakopi Bali anatumia fedha za ndani?Hamna nchi isiyokopa wewe, na hamna anayechezea fedha, acha kuamini hizo stories zenu za vijiweni na chuki za kijinga! And kama wewe kwenye familia yako unategemea kipato kimoja tu kuiendesha basi wewe ni wa hovyo kabisa
Ni siasa tu ile kama ambavyo baba yenu mpendwa alikuwa anaunda tume ya uchunguzi kwa kila jambo hata yalioko dhahiri kabisaSasa kwanini alikuwa anadanganya anatumia pesa za ndani wakati kimsingi alikuwa anakopa na miradi mingine ilikuwa funded na international financial entities kadhaa ?
Kwanini alikuwa si mkweli
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Hapo Ndipo Ninakowachukia Wanasiasa na Siasa Zao za Uongo na Unafiki. aka "Siasa za Uchwara".Magufuli katutenda deni la taifa, trilioni 78 Samia msalabani
Jamhuri October 26, 2021
Na Deodatus Balile
Nimemshangaa kwa kweli, kwamba kwa andiko lake ndio Katiba ikachukua mkondo wake utadhani Katiba ilikuwa kitu cha siri na yeye ndiye pekee alikuwa nayo hivyo kuwafumbua macho watu kwa andiko/mahojiano yake.Kwa hiyo Balile anataka kuuaminisha umma kuwa asingeandika andiko lake Samia asingeapishwa? Nshomile kwa sifa jamani! Suala la Kikatiba liwe influenced na andiko la Balile! Kwenye madeni hapo sawa, lkn kwenye uapisho wa Mama Samia, huna chochote kushupaza shingo mtani, huusiki kwa lolote deogratius Balile
Kuna wakati huwa naona bora wachagga kuliko wahaya!Ni aheri deni lipae ila vitu viwe vinaonekana wazi, hebu tunakanyaga lami za kueleweka na barabara za kiwango cha zege mpaka mitaani! Wakati unalalamika kutendwa na Magufuli mkoonduh wako unapepea kuelekea ulipojenga Mbezi Kibanda Cha mkaa kupitia barabara 8 za lami huku ukipaa toka kwenye kijazi interchange.
Je, unakumbuka ni kero kiasi gani ulizipata kwa kukaa masaa zaidi ya 2 kuvuka tu eneo la Ubungo maziwa mpaka ubungo maji tokana na msuko suko wa magari?
Mapesa yote yaliyokopwa yalitakiwa yamalize deni na tubaki na chenji, hayo matrilioni mwendazake kaenda nayo?Wewe Balile acha unafiki! Mama kakopa hela ya UVICO na ile miradi ni kudanyanya wananchi ili waone anafanya kazi! Nambie sasa miezi sita angalia mwenendo wa miradi inavyosuasua mfano, Ujenzi wa barabata nyungi unasuasua hata mwendo kasi Dar bila shaka unaona, ujenzi wa madaraja makubwa kama Mto wami na Busisi!
Kwa ujumla hakuna jipya! Huo mkopo unaodai ukweli na uwazi ni mkopo wa Corona na kwa taarifa yako pamoja na tozozote ila mapato yamepungua ila kwenye media mnaambia anakusanya trilion karibia mbili kwa mwezì!
Ubaya wa sisi watanzania tumewaachia wanasiasa watueleze kila kitu kuhusu nchi yetu. Hatuna muda wa kusoma na kufuatilia Mambo ya nchi yetu. Mwanasiasa kokote Duniani ni mtu Kama shetani.Sawa ila kwa maana angetaka ausitishe kama ile Bandari ya Bagamoyo angeshindwa?
Hahahahah ubora katika lipi mzee mwenzangu?Kuna wakati huwa naona bora wachagga kuliko wahaya!
Aggressiveness inakaribisha kipondo cha polisi ccmUbaya wa sisi watanzania tumewaachia wanasiasa watueleze kila kitu kuhusu nchi yetu. Hatuna muda wa kusoma na kufuatilia Mambo ya nchi yetu. Mwanasiasa kokote Duniani ni mtu Kama shetani.
Hili gape tunalowapa au udhaifu wetu watanzania ndiko wanakotudanganyia na kutuchapa. Laiti tungekuwa ni Raia aggressive wa kufualtilia kila kitu Hakuna raisi angekuwa anasema "Anatoa hela" au anatumia pesa za ndani wakati Deni la nchi kila siku linakua.