Unajenga reli kwa miaka 6 na bado haijakamilika. Haiingizi fedha yoyote na marejesho unapeleka si ukichaa huu. Mkopo ni ili kukamilisha mambo haraka haraka hela ianze kutengenezwa.
Jamaa wa hovyo ni yule anae pewa taarifa za hovyo nakuzipokea kama zilivyo Kama wewe..Jamaa alikuwa wa hovyo sana hakustahili hata kuwa barozi wa nyumba 10,
Ilikiwa ni Siasa chafu sio?Ni siasa tu ile kama ambavyo baba yenu mpendwa alikuwa anaunda tume ya uchunguzi kwa kila jambo hata yalioko dhahiri kabisa
Lakini ameanika.ukweliMzee wakati wa Mwendazake hiyo tovuti ya BoT si ilikuwepo, mbona hukuitumia na kuleta taarifa kama hizi? Nakumbuka kuna wakati gazeti lako lilisifiwa hadharani na JPM kwa kuibua uozo sijui bandarini ama wapi lakini hili ambalo unasema linatutoa utumbo hukulisema. Leo ndio umeliona, kweli ya Mungu mengi.
Achana na vyanzo vya wanasiasa nenda BOTMleta mada ulivyo zezeta unafikiri sisi wote humu na mazezeta Kama wewe..
Hilo deni la 78T unalosema kaliacha Magufuri umelitolea wapi wakati bajeti ya serikali ya mwisho kusomwa jun2021 na waziri wa fedha Mwigulu inasema Hadi kufikia April 2021 deni la taifa lilikuwa jumla ya 60.9T?
Angalia screenshot hiyo harafu urudi utueleze hiyo taarifa ya kipumbavu ulipo itoa.View attachment 1987978
Unafiki at the maximum kwa hao wanaopenda kuitwa waandishi wa habariMzee wakati wa Mwendazake hiyo tovuti ya BoT si ilikuwepo, mbona hukuitumia na kuleta taarifa kama hizi? Nakumbuka kuna wakati gazeti lako lilisifiwa hadharani na JPM kwa kuibua uozo sijui bandarini ama wapi lakini hili ambalo unasema linatutoa utumbo hukulisema. Leo ndio umeliona, kweli ya Mungu mengi.
Ulikuwa uongo Mkuu, sifa za majukwaani, nyuma ya pazia alikuwa analiumiza taifa! Unadhani kwa nini nguvu kubwa ilitumika kufunga watu midomo? Hivi mtu kama ni msafi kwa nini uogope watu kuongea?Mlikuwa mnatutangazia kuwa tunafanya maendeleo kwa fedha za ndani, hayo madeni yanatokana na nini?
Alikuwa anakopa kwa siri lengo nikuwadanganya bongolala kwamba anatumia Hela za ndaniAnd alikuwa anakopa kwa siri as if hiyo hela angelipa kutoka mifukoni mwake, akiwa majukwaani anawatukana mabeberu, Usiku anawapigia simu kuwakopa hela!! Trl 29 kwa miaka 5 ni nyingi sana, and sijui kafanyia nini hiyo hela, maana mamiradi yake yote yapo under 50% ya utekelezaji
Umeona hapo Kuna taarifa kutoka kwa mwanasiasa au kutoka wizara ya fedha na mipango ikiwemo na hiyo BOT
Hili la uwongo kwakweli hata mimi silipendi kabisa....I like his vision, doings na daring character kisha kujali maisha ya wengi hasa wasiojiweza lakini laku danganya kwakweli I am against...Shida ya mwendazake na wapambe wake ni uongooo kuupa kiti sebuleni
Tatizo lako hujui maana ya pesa za ndani. Nyumbani kwako ukikopa benki ukajenga nyumba na kulipa deni kwa mshahara wako utasema benk ilikujengea??????????????????????????????????????????????? hebu ujisumbue kidogo kufikiri bhanaHayati alitwambia tunajenga hivyo vitu kwa pesa za ndani - Sasa deni la Taifa inakuwaje limekuwa kubwa namna hii?
Airtanzamia inatua Chatto mara tatu! kwa wiki! Ingia kwenye website ya airtanzania umsikie Mkurugenzi hata wiki iliyopita airtanzia walitoa ufafanuzi huo!Kwa ulie fikia ukomo wa kufikiri Kama wewe hauna faida, kwa waliofungua akili na kuwa na mawazo chanya unafaida kubwa Sana Ni suala la kuamua tu.
Tuna kikosi Cha anga pale Mwanza vipi kikihamishiwa chato tukaachana na huo uwanja wa kiraia.
Nchi yetu Haina uwanja mkubwa wa kijeshi ndio huo hapo sasa tunashindwa kuutumia.
Tusijiruhusu kuwa Ziro brain kuwa na mawazo hasi na lawama kibao,tuwaze chanya tusonge mbele.
Hahaha, and aliyemwambia jamaa kukopa ni aibu ni nani? Mabiashara makubwa yote duniani yanaendeshwa kwa mikopo, nchi nyingi duniani zinajiendesha kwa mikopo, mikopo ndiyo inasababisha hela isambae!! Leo hii mabank yakikosa wakopaji yote yanafail...!Alikuwa anakopa kwa siri lengo nikuwadanganya bongolala kwamba anatumia Hela za ndani
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Pesa unayoipata direct kwa kuuza huduma au bidhaa si sawa na ya mkopo wa benki/taasisi za biashara, maana kila senti moja ya mkopo ina riba juu yake, yaani ukikopa shilingi hulipi shilingi, utalipa shilingi na ziada!Tatizo lako hujui maana ya pesa za ndani. Nyumbani kwako ukikopa benki ukajenga nyumba na kulipa deni kwa mshahara wako utasema benk ilikujengea??????????????????????????????????????????????? hebu ujisumbue kidogo kufikiri bhana
Hakuna haja ya kupamba hapa, mkopo ni mkopo na siyo pesa zako. The point is alipokopa alifuata utaratibu? Alisema ukweli kwa raia?Tatizo lako hujui maana ya pesa za ndani. Nyumbani kwako ukikopa benki ukajenga nyumba na kulipa deni kwa mshahara wako utasema benk ilikujengea??????????????????????????????????????????????? hebu ujisumbue kidogo kufikiri bhana
Kuna tofauti ya kukopa kwa riba na kutumia fedha zako za mapato yako.Wasipokuelewa wapinga mwendezake umeshatimiza wajibu wako wa kuelimisha.
Kazi inabaki kwao.
Wewe nawe ni team msoga miradi hiyo aliisaini Kikwete waziri wake wa miundombinu alikuwa nani? Huyo kikwete kwa akili yako alikuwa na mda wa kufatilia ujenzi? Watu wanaangalia aliyetekeleza mradi hapa ni Magufuli! Kikwete wako chini ya REA ya waziri Ngereja walifanya nini cha maana?Sawa ila kwa maana angetaka ausitishe kama ile Bandari ya Bagamoyo angeshindwa?
Nafikiri alikopa kulingana pia na uwezo wa nchi! Unajua ukuaji wa uchumi ndo uwezo wa kukopesheka pia! Na utambue miaka yote tumekopa lakini kilichokuwa kinafanyika cha maana hakikuwepo! Ila kwa vile wote mmegeuka wakosoaji wa Maguguli ili kumlinda mama! Mwambie apambane asisingizie Madeni hata Marekani wanamadeni ya kutisha!
Na mkopo huo unatakiwa kuwekeza kwenye vitu vinavyo zalisha...Mikopo siyo tatizo, tatizo ni unatumia kufanya nini...Ukikopa kununua maandazi ya kula ni shida lakini ukikopa ununue unga upike maandazi ya biashara kuna tatizo gani?Pesa unayoipata direct kwa kuuza huduma au bidhaa si sawa na ya mkopo wa benki/taasisi za biashara, maana kila senti moja ya mkopo ina riba juu yake, yaani ukikopa shilingi hulipi shilingi, utalipa shilingi na ziada!