Baloteli asema msimfananishe tena Messi na mchezaji namba 7 wa Juve

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akiwepo barcelona lakini.. Nje ya hapo ni fala mmoja tuu
Fala anaeshika record yakuzifunga team za england kama mchezaji wa 4 wakati yeye haichezei hiyo league je hayo siyo maajabu
 
Jibu liko hapo mkuu mbona
Usichanganye Madaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji57] Alizifunga hizo timu akiwa Barcelona so Hakuna point hapoo kalambe lolo Au messi ashawahi kwenda kwa mkopo New castle[emoji57][emoji57]
 
Usichanganye Madaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji57] Alizifunga hizo timu akiwa Barcelona so Hakuna point hapoo kalambe lolo Au messi ashawahi kwenda kwa mkopo New castle[emoji57][emoji57]
Naona unaleta league ndg ila ukweli uko wazi Mess ni bora kuwahi kutokea
 
Naona unaleta league ndg ila ukweli uko wazi Mess ni bora kuwahi kutokea
Messi akiwa nje ya barcelona ni Fwala mmoja tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ronaldo kacheza Ligi tatu tofauti na Kote alikuwa Best Scorer na top... UEFA kama zotee kabebaa... So kalambe lolo.. Messi yupo vizuri ila Ronaldo ni best zaidiii... He can stand alone na kuwainua wenzakee... messi anahitaji wakumpaaaa[emoji57]
 
Naona wewe huna tofauti na huyu maana uweelewa wako uko na walakini so jiunge nae mkalambe hiyo kitu ya mume wenu
 
Akili yako inauzwa wapi mkuu? Sio kwa ubora huu.
Kwamba Messi hadi apewe ila Ronaldo anaweza kukaa peke yake na kuwainua wenzake!!!
 
Mimi ni mshabiki Wa damu Wa Man U ila kwa mateso tuliyoyapata toka kwa Messi imebidi mwanangu nimpe jina Lionel huyo mchezaji ni unplayable!
 
Akili yako inauzwa wapi mkuu? Sio kwa ubora huu.
Kwamba Messi hadi apewe ila Ronaldo anaweza kukaa peke yake na kuwainua wenzake!!!
Kabisaa... Ndo maana messi nje ya Barca hakuna kitu anaishiaga kuliaa tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ni mshabiki Wa damu Wa Man U ila kwa mateso tuliyoyapata toka kwa Messi imebidi mwanangu nimpe jina Lionel huyo mchezaji ni unplayable!
Hata me nakachukiaaa lakini Kakiwa barcaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Argentina na Portugal ipi timu yenye wachezaji wazuri??
 
Kucheza fainali ni hatua kubwa kwa Messi au kuchukua ndoo?!
Acha kumshusha Messi.. sema tu hana lolote Taifa.
 
Balloteli IQ yake ndogo..linajitoa kama yeye sio mchezaji..hataki uchezaji bora?.ndio maana wazazi wake walimuuza utumwani
 
Balloteli IQ yake ndogo..linajitoa kama yeye sio mchezaji..hataki uchezaji bora?.ndio maana wazazi wake walimuuza utumwani
Mwenzio akifanya vizuri mpe sifa yake... Mwenye WIVU wa kijinga tu ndo atamponda anpefanya mazuri
 
Kwa mujibu gazeti la mwanachi, katika misimu sita aliyocheza la liga, ronald amemzidi messi mabao 50, sasa amemkimbia vp?
Ronaldo kwenda Juve alionyesha udhaifu wake kumkimbia Messi,kama mwanaume angebaki Spain aende hata Atletico Madrid
 
Mario Barotel ndio nani? Kwamba yeye akiongea ndio ameamua kuhusu soka? Tufuate anachoona yeye?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…