PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,106
- 14,353
Ni kweli mkuu maana kuanzia dk ya 60 nilikuwa namtukana kocha kwa nn hamuingizi Dembele ila daaah alipoingia nilijuta kabisa maana ilitakiwa wafe 5 waleDembele katuzingua sana, zingefika 5....ifikie wakati Messi awe anafunga yeye tu.
Kweli nimeamini Dembele alitakuwa aingie dk ya 97 kipind mpira unaisha