Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

Mtu ukishakuwa na mfungamano na imani ya kidini basi wewe ni mdini. Sababu kubwa zilizokupelekea wewe kuwa mdini si nyingine bali ni kutokana mazingira uliyokulia na sababu za ziada za kiikolojia na wala si vinginevyo.

Elimu ya kidini uliyoipata ndiyo inakufanya wewe kuwa na sehemu maalum unazopendelea kwenda kusali na kumuabudu Mungu wako wa kidini. Na kwa hakika kitu hiki ndicho kinakufanya uzidi kuwa mdini na hata kuwaona wale wenye imani ya kidini inayofanana sana na wewe ni watu waadilifu zaidi na ambao unapaswa kuwaamini.

Kwa kuwa kila mtu ana dini yake, basi kwenye uongozi wa ajira nyeti kinachopaswa kuangaliwa ni wasifu wa muhusika katika vigezo vya elimu, uzoefu, ujuzi na stadi muhimu katika kazi husika. Kuna uwezekano mdogo sana ktk jamii yetu ya Kitanzania kumpata mtu asiye na mfungamano wa kidini.

Lazima tutambue ukweli ya kwamba yapo mashinikizo kutoka ndugu, jamaa ama marafiki, viongozi wa kidini ama wazee wa kidini ambayo humfanya kiongozi kutoa ajira kwa njia ya mifungamano ya kidini. Lakini pia tutambue ya kwamba kihistoria kile alichokifanya ktk utendaji wake wa kazi kilikuwa cha kutukuka na kupelekea matokeo chanya kwa taifa letu?
 
Kwa mnyukano humu wa dini,naona TPA apewe mtu ambaye ni pagani
Au mnasemaje

Ova
 
Vp mwendazake alivyowajaza wenzake?????au kwenu limekaa poa tu
Hatukuwahi muunga mkono mwendazake tangu zamani Sasa akiwa kaburini tunampinga wazi wazi bila unafiki

Alikuwa dikteta uchwara katika kila kitu .

So huna la ziada

Dau [emoji777] no Yule Ni jihadist tunashukuru kwa utumishi wake .

Abakie huko huko ubalozini Hadi atakapostaafu

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
lete takwimu co hzo bla bla zenu mnazomezeshwa jmosi na jpl
Hatukuwahi muunga mkono mwendazake tangu zamani Sasa akiwa kaburini tunampinga wazi wazi bila unafiki

Alikuwa dikteta uchwara katika kila kitu .

So huna la ziada

Dau [emoji777] no Yule Ni jihadist tunashukuru kwa utumishi wake .

Abakie huko huko ubalozini Hadi atakapostaafu

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Itakuwa poa
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png


Tatizo anayependekezwa ana record mbaya ya kuendekeza udini

Walete muislamu au mlokole mwingine Ila sio Dau

Sent from my TECNO P703 using
Ila huyo D apumzike tu ashakula vya kutosha

Ova

JamiiForums mobile ap

Aliwaajiri na vyeti vya kufuzu kukariri Quran
SASA kama ni kweli aliwaajiri KWA vyeti vya kufuzu kukariri qur an basii itoshe kusema kwamba hao waislam wana weledi mkubwa Sana wa kazi,wamechapa kazi hadi makafiri mnafikia hatua ya kulitaman hilo shirika,basi ni wakati dada waislam wapewe mashirika mengine,maana wagalatia mmefeli
 
Inaleta faraja pia kama mnasema aliwapa nafas nyingi waislam,mkitaka awape kina nan SASA,na kama ni kweli wapo waislam wengi aliowapa nafas mfano huko Nssf na wameonesha weledi wa kaz had shirika kuwa Giant hivyo basii inatakiwa waislam hao wazid kupewa nafas nyingine nyiingii zaid kwenye mashirika mengine,ni watendaji kazi,shida wagalatia mkipewa nafas mnachowaza ni kuiba pesa za umma na kwenda kujenga makanisa na kukimbilia kutoa sadaka na fungu la kumi,utadhan fedha hizo mmetolea jasho vile
 
Acha hzo dramas lete takwimu ya hao aliowajaza,tatizo lenu mnajifanya mna hati miliki na hii nchi,ndomana majizi makubwa nchi hii mengi ni yale ya jpli na jmosi

Wagalatia hakuna wanachojua zaid zaid ya wiizi tuh,wao wakipata nafas huko serikalin wanavyowaza ni upigaji na ufisadi tuh basii,hii nchi imefikishwa sehem mbaya sana KWA sababu ya hawa jamaa,

Mwendazake alipokuja na vita ya vyeti fake na watumishi hewa alidhan atakutana na waislam,kuja kustuka ni makanisa tupu yamejazana yanakula mishahara ya dhulma tuuh,kawanyoosha sana
 
Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?

Hii ndiyo tabia ninayoishangaa.kwanini tuna zunguka humo humo.kwani hatuna wataalamu wengine humu ndani jamaniiii.Mimi niliwahi shauri tutafute hata watu walioko kwenye private sector waje waendesha public sector badala ya ku- recycle watu hao hao
 
Mzee baba ni nani? au unaongelea Magufuli aliyewajengea Bakwata bonge la msikiti pale Kinondoni?

Zile ni shobo zake tuh,kwan aliombwa ajenge au miyeyusho yake tuh ya kutaka kujikosha kwamba Hana chuki ni uislam Ili hali ukweli unajulikana??

Sisi tulikuwa tunamchora tuh,kafir ni kafir tuh,toka lin kafir anijengee Mimi misikiti,we uliskia wapi??wee uliskia wapi,nakuuliza uliskia wapiii
 
Hii ndiyo tabia ninayoishangaa.kwanini tuna zunguka humo humo.kwani hatuna wataalamu wengine humu ndani jamaniiii.Mimi niliwahi shauri tutafute hata watu walioko kwenye private sector waje waendesha public sector badala ya ku- recycle watu hao hao
Wataalam mbona wapo wengi tuh??

Tatizo wagalatia wengi ni wezi,ukimpa nafas yeye Cha kwnza anachowaza ni kupiga pesa tuh
 
Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?

Keshaonyesha uwezo wake. Imetosha kwenye mashirika ya umma. Wapewe wengine wenye uwezo wa kuongoza au waandaliwe wengine wenye uadilifu na uwezo wa kuongoza. Tanzania isianze kutegemea mtu mmoja tu awe ndio kila kitu
 
Hakika umemaliza
Wagalatia hakuna wanachojua zaid zaid ya wiizi tuh,wao wakipata nafas huko serikalin wanavyowaza ni upigaji na ufisadi tuh basii,hii nchi imefikishwa sehem mbaya sana KWA sababu ya hawa jamaa,

Mwendazake alipokuja na vita ya vyeti fake na watumishi hewa alidhan atakutana na waislam,kuja kustuka ni makanisa tupu yamejazana yanakula mishahara ya dhulma tuuh,kawanyoosha sana
 
SASA kama ni kweli aliwaajiri KWA vyeti vya kufuzu kukariri qur an basii itoshe kusema kwamba hao waislam wana weledi mkubwa Sana wa kazi,wamechapa kazi hadi makafiri mnafikia hatua ya kulitaman hilo shirika,basi ni wakati dada waislam wapewe mashirika mengine,maana wagalatia mmefeli
Mimi nasema hafai syo kwa sababu ya dini yake,ila apumzike tu
Mbona janguo nlikuwa namkubali

Ova
 
Wataalam mbona wapo wengi tuh??

Tatizo wagalatia wengi ni wezi,ukimpa nafas yeye Cha kwnza anachowaza ni kupiga pesa tuh
Nchi hii wote wezi hakuna cha mgalatia wala hao waislam wote wapigaji tu wakipata nafasi...we mwenyewe hapo ukipewa kitengo
Utapiga,mimi nikipewa kitengo ndy mtakomaaa

Ova
 
SASA kama ni kweli aliwaajiri KWA vyeti vya kufuzu kukariri qur an basii itoshe kusema kwamba hao waislam wana weledi mkubwa Sana wa kazi,wamechapa kazi hadi makafiri mnafikia hatua ya kulitaman hilo shirika,basi ni wakati dada waislam wapewe mashirika mengine,maana wagalatia mmefeli
Hakuna lolote



Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Dr. Dau ni mtu mwadilifu na muungwana sana, hana tabia ya kupandisha mabega juu.
Mchapa kazi hodari,

ni kiongozi aliye aminiwa karibu na maraisi wote,
Hayati Rais Mkapa, Hayati Rais Magufuli, Rais mtaafu Kikwete. ukiaminiwa na wakuu wa nchi kama hao wewe na mimi nani haswa mpaka tutie dosari?! sana sana tutapika majungu na fitina tu basi. chuki binafsi.

lkn DR. Dau ni Visionary leader. ikimpendeza mwenye mamlaka ampe tu.
 
Back
Top Bottom