Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

Wenyewe wamekuja bado FF!
Wagalatia hamna jema,

After all sisi hamtupi tabu,tunajua christians na washirikina KWA ujumla hamtupendi,chuki mliyonayo mioyoni mwenu ni kubwa kuliko hii mnayotuonesha huku mitandaoni au hata machoni,tunalijua hilo,and we don't need to be loved by you galatians,sisi tuna mungu wetu na nyinyi mna mungu wenu,hatujawakosea kitu chochote nyinyi AJabu mnatuchukia,the only reason you hate us it's because we are Muslims,na sisi hatutaacha kuwa waislam eti KWA kuwa wagalatia mnatuchukia,no way galatians,

Alituchukia nyerere where is now?alituchukia mkapa where is he now?Alituchukia Magufuli tell me where is he now?

They are very very dead and waislam tupo na uislam upo na utaendelea kuwepo!!
 
So,what do you want to say...

Kwamba Magufuli alikua better kuliko JK??in which ground for example

Hebu compare and contrast,baina ya Magufuli na kikwete tuone,je ndiyo kusema ufisadi ulioandoka zama za Magufuli??Mbona ndiyo ulizid kushika mizizi,je hilo deni la Taifa limekuwaje limepungua au limeongezeka,uchumi je,na vip kuhusu hivyo viwanda alivyokuwa ana hubiri,

If he was better,why you prayed that he should die??Mnakubali kipi na miata kipi??

Goal au penalty??kipi Mnakubali maana hamuelewekii waimba kwayaa
Sasa unataka kulinganisha JPM na JK?
Mwanaume na muuza sura?
Fighter na mzururaji?

Anyway tuna utamaduni wa kuenzi viongozi wetu wa juu ngoja niishie hapa nsije kukufuru mila na desturi.
JK alirithi uchumi imara sana, wakati anaingia dola 1 ilikuwa sh, 1000 ya kitanzania, wakati anatoka shilingi ilishafika hadi 2300 kwa dola moja. Yote hii ni JK kujenga uchumi feki wa biashara za kichuuzi badala ya kujenga uchumi wa viwanda na uzalishaji.

Baadhi ya viwanda alivyohubiri JPM vimeanza kufanya kazi ikiwemo smelter ya kuchenjua dhahabu huko Mwanza.
Narudia tena usijaribu tena kufananisha JPM na vitu vya ajabu ajabu, utachekwa.
 
Don't you run away,mention ufisadi ambao kaufanya yeye kama yeye,na hatua zilizochukuliwa juu yake,

Kama hauna sisi tuna generalize kuwa ni yale yale,chuki za kuona waislam wasiwe na nafasi katika utendaji wowote ndan ya Taifa hili,

After all nyinyi mnafanya nin zaid zaid ya ufisadi tuh,ni ufisadi na kukimbilia kuungama KWA maaskofu wenu na kutoa sadaka makanisani...
yani since umeingiza maswala yenu ya imani zenu za kidini kwangu nitabaki kutazama minyukano yenu kwasababu mimi sio muumini wa kibwagizo cha udini.
Siku njema n'jomba nchumali.
 
Sasa unataka kulinganisha JPM na JK?
Mwanaume na muuza sura?
Fighter na mzururaji?

Anyway tuna utamaduni wa kuenzi viongozi wetu wa juu ngoja niishie hapa nsije kukufuru mila na desturi.
JK alirithi uchumi imara sana, wakati anaingia dola 1 ilikuwa sh, 1000 ya kitanzania, wakati anatoka shilingi ilishafika hadi 2300 kwa dola moja. Yote hii ni JK kujenga uchumi feki wa biashara za kichuuzi badala ya kujenga uchumi wa viwanda na uzalishaji.

Baadhi ya viwanda alivyohubiri JPM vimeanza kufanya kazi ikiwemo smelter ya kuchenjua dhahabu huko Mwanza.
Narudia tena usijaribu tena kufananisha JPM na vitu vya ajabu ajabu, utachekwa.

Ha ha ha ha,

You must be so so crazy man,

Unataka kumfananisha kijana wa madrasa JK na huyo kijana wako wa kipaimara mwenye roho mbaya??

Unataka kumfananisha born town JK na yule mshamba wako mchunga ng'ombe hata kuongea tuh lugha kiswahili fasaha hawez??

Records zipo na zinajieleza zenyewe,huo uchumi alioujenga huyo mwendazake uko wapi kila mtu nchi hii amemuacha akilia??

Sisi wakulima wa korosho ametuachia balaa,wafanya kaz amewaachia vilio,wafanya biashara wamefunga kila kitu,wawekezaji wamekimbia,vyombo vya habari kavisulubisha,wapinzan kawapiga risas,
.udini na ukabila ndiyo ikawa nguzo yake kuu,hadi wanaCCM wenzake kama Nape na kinana,plus membe wakamuita ni mshamba we utawezaje kumtetea..

Vijana wa madrasa are the best presidents ever,we are much proud of them starting from Mwinyi,Kikwete and now SAMIA,utatuambia nin??

We run this country accordingly
 
Huyu dau hafai pia apumzike tu
Kwani nchi hii haina vichwa vipya
Kila teuzi mnawangangania wale wale

Ova
 
Hv nan anaweza kuleta takwimu za wafanyakazi wte wakat wa Dr.Dau????kama yupo humu alete co hzo bla bla huu unaozungumzwa udin upo kitambo sana na kuna kund fulani linahisi hii nchi wanahaki nayo sana.
Hivi kwa nini likija swala la Imani na dini almost wote tunakua wajinga na wapumbavu? Yaani akili jnagoma kabisa!!!!


Na kwa nini tuamini mstaafu ndo mwenye uwezo wa kufanya vizuri wakati tuna taifa limejaa vijana? Pathetic!
 
That's very ridiculous comment,

Shida yenu wagalatia akili zenu mmezijaza chuki had mnashindwa kuwa na common Sense,hilo ni shirika la umma,anaweza kiongoz akachukua pesa eti akawasomeshe ndug zake kutokana na utashi wake,

Kila shirika la umma lazima liwe linafanyiwa ukaguz kila mwaka,kwann hayo madudu unayoyasema yasiwekwe waz na yakaonekana,una elimu gan ww jamaa,au una umri gan,usikute tunachart na watoto bado mko mnaish KWA shemej zenu hapa,

Reasoning ya AJabu kabisa

Wewe acha kelele,kwanza kwa mujibu wa dini yenu hamtakiwi kufanya kazi. Mnatakiwa kukaa ndani ili mswali vizuri,ona makampuni ya kiarabu yalivyoajiri foreigners kibao.
 
Well said,hii mijamaa ina roho mbaya sana huku wakidhani wana hati milik ya hii nchi ,ahmaku wakubwa hao
We are always telling fellow christians,

This is our country,hakuna iman yenye hati miliki hususan katika utumishi wa umma,tukianza kufumua data kwenye Taasis za umma baina ya waislam na wakristo,waliojaa ndan ya hizo taasisi ni nyinyi wakristo,huwez kuwakuta waislam kabisa,ilishazoeleka ajira mnapeana KWA vimemo kila mnapokutana huko kwenye ibada zenu either za jumamosi au juma pili na kadhalika,na nyinyi wenyewe ni mashahid katika hilo,na ikitokea we muslims tukidadis suala hilo mmekuwa mnakuja na hoja ya kwamba waislam hawana shule,kwahiyo mnajustify nyinyi kukaa huko kwa kigezo kuwa waislam hawana shule,

Too bad,imetokea Nssf huko wameonekana waislam wamepata nafas ya kutumikia taifa hili tena kwa weledi mkubwa kabisa mnawaita wadini,so mkitakaje??hao waislam ambayo hawaonekani kwenye Taasis zingine ambao hawana shule mbona hiko Nssf wapo wameitoa wapi hiyo shule??

Je,hao waislam waliopo Nssf Wana qualifications au hawana,kauli zenu mnazozitoa hazijaanza leo,na tunajua hazitakuja kuisha leo,

Give us a break,chuki hizi mnazonionesha KWA waislam kama watanzania wenzenu mnataka mwisho wake uwe wa namna gan??
 
Hahaa ndo zao hao na ktk majiz makubwa nchi hii yanatokea upande wao huku yakijitia upofu
Kama hao waislam wana sifa wakiajiriwa ni dhambi??

Wewe ukitaka vip,awaajiri wakristo mkaibe pesa Ili juma pili mkatoe sadaka makanisani??

Maana ndicho mlichozoea,kuiba pesa za umma kisha kukimbilia kuungama KWA maaskofu wenu na kutoa sadaka au fungu la kumi,
 
Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Uongozi siyo vyeti, siyo umri.... Muhimu sana ni busara! Huyo mtu wako alichokuwa anafanya NSSF alionesha hana busara.
 
Kwani jamaa aliye pelekwa Bandarini badala ya Kakoko ana mapungufu gani - mbona alipokuwa Mwanza taasisi ya vyombo vya usafiri wa majini NCHINI alihimudu sana sana - dogo yule kichwa sana na wala mama Samia hatajilahumu kumtehua kwenye wadhifa wa Ukurugenzi wa TPA hapo ali hit a bull's eye - katika moja ya teuzi zake ambazo aliwahi kufanya hivi karibuni hapo ndipo alipatia kweli kweli na hata siku moja mama Samia hatajutia uteuzi wa dogo huyo kuwa DG wa TPA.

Hizi tabia za kutaka kulazimisha ku-recycle baadhi ya Watanzania wenzetu kwenye mashirika fulani au Serikalini, tabia hii sio fresh hata kidogo.
Erick ni kichwa tangu zamani.

Ni wale makaka fulani walikuwa wanafunga kambi Maktaba ya Taifa hapo kati miaka hiyoo.

Nilivyoona huu uzi nikasema amefanya kosa gani mpaka watu wanataka atolewe?
 
Acha hzo dramas lete takwimu ya hao aliowajaza,tatizo lenu mnajifanya mna hati miliki na hii nchi,ndomana majizi makubwa nchi hii mengi ni yale ya jpli na jmosi
Dau alikuwa na roho nzuri kujaza waswalinah pale nssf.

Huyu mzee wa kijiwe Cha saigon abaki huko huko ubalozini.



Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom