Nani SASA kaacha kuyaendeleza,dau au aliefuatia baada ya Dau??
Ile ni long-term investment,ukitaka iweje sasa,kama umemuondoa na aliekuja hajaendeleza unampa lawama nani,
After all he has done a lot of things,mbona hamuvitaji badala yake mnaegemea kwenye weakness,
Hilo daraja la kigambon are you blind about that??Ameacha legacy na always legacy yake itajibeba yenyewe,
Nani alikua hiyo Nssf before Dau hajashika hatam hapo?it's a giant company na hiyo ni kutokana na utawala wake,mnabisha??
Msione vyaelea,vimeundwa...mnachojua nyinyi ni kupika chuki na majungu tuh