yaweza kuwa sawa anaiba kongo anapeleka Rwanda lakini Mitanzania mijizi inaiba Tanzania inapeleka ugenini sasa bora ni yupiKagame mwizi Tu Hana lolote, anaiba Mali za Congo na kupelekwa kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaweza kuwa sawa anaiba kongo anapeleka Rwanda lakini Mitanzania mijizi inaiba Tanzania inapeleka ugenini sasa bora ni yupiKagame mwizi Tu Hana lolote, anaiba Mali za Congo na kupelekwa kwake
Sasa walikuwa wanamtuhumu kwa lipi? Yule aliyetuhumiwa baraza na ushahidi ukawekwa ndio kwanza akapandishwa cheoWakristo nssf walikuwa wengi kuliko waislamu
Hujui kitu unalaghai Umma,Huyo jamaa hapana, ni Mdini sana na Mbaguzi, aliwatesa sana Wakristo alipokuwa NSSF.
Wakristo walikuwa wakiapply kazi NSSF hata kama wana sifa timilifu anawaengua na kuwajaza Waislam wenzie mpaka alipokuja kushtukiwa
Kilichombeba ni vile alikuwa rafiki na business partner wa Magufuli, akahusika kwenye kuijenga Kigamboni bridge na majengo mengine kupitia ile kampuni ya JPM ya uhandisi
Baada ya kushtukiwa J.P Magufuli akampatia Ubalozi na kuahidi kumlinda
Tutapishana sana na mikeka kwenye corridor za bandarini
Amekula sana keki ya Taifa inatosha.
Ni kweli wana sifa walizopata madrasa
Daaah wa bongo mna maneno, ilo la udini ni kweli alikuwa anawapa scholarship wanafunzi wa Dini yake tu kupitia mfuko wa Nssf, baada ya kuondolewa Nssf tu marafiki zangu walikuwa wanasomeshwa na dau walishindwa kuendelea ma masomo wakaacha chuo tukawa nao mtaani.Huyo jamaa hapana, ni Mdini sana na Mbaguzi, aliwatesa sana Wakristo alipokuwa NSSF.
Wakristo walikuwa wakiapply kazi NSSF hata kama wana sifa timilifu anawaengua na kuwajaza Waislam wenzie mpaka alipokuja kushtukiwa
Kilichombeba ni vile alikuwa rafiki na business partner wa Magufuli, akahusika kwenye kuijenga Kigamboni bridge na majengo mengine kupitia ile kampuni ya JPM ya uhandisi
Baada ya kushtukiwa J.P Magufuli akampatia Ubalozi na kuahidi kumlinda
Tutapishana sana na mikeka kwenye corridor za bandarini
Amekula sana keki ya Taifa inatosha.
Siungi mkono hata chembe huyu mtu ni mdini na fisadi mkubwa! Aliachwa tu basi lkn alitakiwa awe segerea.Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Hata field ukienda na jina la kinanihii linapigwa chini...niliwahi kuwasaidia madogo kuomba hapo NSSF wale wa upande mwingine walikuwa wakikosa na upande wake walikuwa wakipata kwa miaka mitatu mfululizo, nikaelewa vigezo na masharti ya kuzingatiaDaaah wa bongo mna maneno, ilo la udini ni kweli alikuwa anawapa scholarship wanafunzi wa Dini yake tu kupitia mfuko wa Nssf, baada ya kuondolewa Nssf tu marafiki zangu walikuwa wanasomeshwa na dau walishindwa kuendelea ma masomo wakaacha chuo tukawa nao mtaani.
Akajenge na hapo msikiti ai??
Siungi mkono hata chembe huyu mtu ni mdini na fisadi mkubwa! Aliachwa tu basi lkn alitakiwa awe segerea.
Sawa sawia, ova.Watupe TPA tutaisimamia
Mkurugenzi ntakuwa mimi
Mkurugenzi wa masuala ya fedha
Ntamuweka mwanangu Magonjwa Mtambuka mambo lazima yaende
Ova
Daaah wa bongo mna maneno, ilo la udini ni kweli alikuwa anawapa scholarship wanafunzi wa Dini yake tu kupitia mfuko wa Nssf, baada ya kuondolewa Nssf tu marafiki zangu walikuwa wanasomeshwa na dau walishindwa kuendelea ma masomo wakaacha chuo tukawa nao mtaani.
kwani dau ndo mwenye uwezo wa kuindesha bandari pekee yake na je yy huo utalaam aliusomea wapi ambako wengine hawawezi?Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Dau huyu-huyu aliyetia hasara NSSF ?
haya ya udini sasa mtamalizana wenyewe huko.Kindly mention,ni hasara zip dau kazileta Nssf?
And if it's so,why mwendazake asimtumbue na instead akampa ubalozi,alihofia nin??
Alihofia udini au,maana wagalatia hamuelewekii mnasimamia kwenye nin,
Very Astonishing
Yale mapagale magorofa yaliyopo Kigamboni yaliyotelekezwa kwa hasira ilikuwa wakati nani akiwa CEO wa NSSF?
Je kwanini yale mapagale yamesuswa kuendelezwa?
Je hasara ile itakuwaje fedha za wananchi kupotelea pale?
Basi tumpe Mgalatia GWAJIMA. Nafikiri hii inapendeza au mnasemaje?Dau no [emoji777]
Let him stay there ubalozini.
We can't deal with jihadist every time .
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Huu ni mfuko ulitoa mafao duni kabisa.kwa mstaafu mwenye sifa mfanano katika ajira unaambulia nusu ya pspf au lapf.Sasa ikawaje chini yake nssf ilikua inalipa wastaafu kwa wkt?
Sa hivi tumeweka watakatifu huko kwny mifuko ya kijamii na matokeo yake wastaafu wanakaa mpk miaka 3 hajalipwa mafao.