Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

Kutokana na swali lako, unaamini balozi Dau kuwa ni mtu sahihi kuisimamia bandari?
Rekodi yake si iko wazi; na sidhani kama kuna Rais ambaye hajamuamini kumpa madaraka makubwa. Haya maneno mengine ni tuhuma na madai ya watu hatujui ukweli ni upi kwani sidhani kama yote yanayosemwa juu yake yangekuwa kweli angeendelea na utumishi serikalini. Suala la perfomance na strategies zake kuendesha shirika yanahojika kwani mimi nilikuwa na tatizo kubwa naye akiwa na NSSF kutokana na uendeshaji wake. Sijui kama makampuni hayo yanafanana na labda anaweza kuwa na mawazo mapya baadaya ya kuwa Malaysia kwa muda hivi.
 
Mkuu Balozi Dau tena? Kule kwenye pesa za wenyewe kule sijui NSSF si aligeuza shamba la bibi au namfananisha?
Atafilisi Bandari.Wameifilisi nsssf hadi wanachama wamekosa mafao yao eti hadi miaka 60 ndo upewe chako sababu ya wachache kina dau na mwendazake huu ni wizi na uporaji wa haki.
 
Mimi ni mkristo Ila ningeulizwa Leo hii mashirika yote makubwa ningeweka watu wafuata
1. Bandari- Dr Ramadhani Dau

2. ATCL- Nehemia Mchechu

3. National Housing- Kelvin Twisa- sijui yuko wapi nowdays?

4. Tanesco- Charles Kimei
Kuwa na jina la KIKRISTO ......?? Hata Shetani alikuwa Mbinguni

hapo kuna kila Dalili kwenye list yako kukawa na

1. MALIASILI NA UTALII (Nyalandu)

2. ELIMU (Mungai)* [ondoa neno RIP]

3. MIUNDOMBINU (Chenge)

4. MADINI (Kafumu)

5. TRC/ TRL (Abood, SHABIBY au HANSPOPE)


6. ATC (Lau Masha)

7. BANDARI (Ndugai)

8. TRA (MASAMAKI, wa nyumba 71)

9. Kuzuia Madawa ya kulevya ( CHID BENZ na TID)
 
...as a result hata kahatua kadogo tulikokapiga kwenye utawala Bora enzi za JK ameondoka nako.
Watu bana! Kama vile hatukuwepo enzi za JK....utawala gani bora ule uliolea ufisadi wa kiwango kile hadi kufikia nchi iuzwe.

Hakukuwa na utawala bora wala ninj enzi za JK, ni uzembe uliokithiri na loop holes za kutosha ndizo mnaziita utawala bora.
 
Ataboronga kama alivyofanya NSSF ukiachia mbali kuanzisha upendeleo wenye sura ya udini.
Hapa ndipo ninapoamini dini ya Haki ni uislam mbona akifanya asiyekuwa muuislam hauitwi udini. Kuna msemo usemao mti wenye matunda ndo unaotupiwa mawe.
 
Dau anatosha pale TPA, na aliwahi kuwa Marketing Director kabla ya kwenda NSSF, hivyo anaijua kinagaubaga TPA.
Mama awapuuze wenye mimba za chuki za kidini dhidi ya waislam na amkabidhi bandari tusonge mbele
 
Huyo jamaa hapana, ni Mdini sana na Mbaguzi, aliwatesa sana Wakristo alipokuwa NSSF.

Wakristo walikuwa wakiapply kazi NSSF hata kama wana sifa timilifu anawaengua na kuwajaza Waislam wenzie mpaka alipokuja kushtukiwa

Kilichombeba ni vile alikuwa rafiki na business partner wa Magufuli, akahusika kwenye kuijenga Kigamboni bridge na majengo mengine kupitia ile kampuni ya JPM ya uhandisi

Baada ya kushtukiwa J.P Magufuli akampatia Ubalozi na kuahidi kumlinda

Tutapishana sana na mikeka kwenye corridor za bandarini

Amekula sana keki ya Taifa inatosha.
Dau hajawahi kuwa mdini hata siku moja
 
Cabinet ya watu 30 Waislam watatu wakristo 27, hapa sio udini tunaangalia Utendaji kazi

NSSF Waislam 40%, Wakristo 60% hapa tunasema Waislam wanapendelewa

Tunaishukuru sana Corona kwa kutulipizia kisasi
Dau ni mtu hatari sana kwa umoja wetu,ni mdini aliyepitiliza
 
Cabinet ya watu 30 Waislam watatu wakristo 27, hapa sio udini tunaangalia Utendaji kazi

NSSF Waislam 40%, Wakristo 60% hapa tunasema Waislam wanapendelewa

Tunaishukuru sana Corona kwa kutulipizia kisas
Haya kaingia taliban madarakani ngoja tuone atakavyoteua watu wa madrassa
 
Kwani kodi mnalipa peke yenu?
Kwanini mnakuwa wabinafsi kiasi hicho?

Mkipewa hayo madaraka kwanza mnakuwa Makatili sana hata kwa Wapakwa mafuta wenzenu!

Mnamtandika Risasi mwenzenu, mnamnyima stahiki zake za kutibiwa na posho zake mnazuia Gari yake mnaishikilia halafu bado mnajifanya eti mnapendana unafki mtupu

Mara zote mkishika nafasi ya Juu ya Nchi basi Ukatili na uonevu hutamalaki sana

NSSF sasa hivi mnamalizana wenyewe kwa wenyewe, Wazawa vs Wahamiaji toka PPF

Haya kaingia taliban madarakani ngoja tuone atakavyoteua watu wa madrassa
 
Kwani kodi mnalipa peke yenu?
Kwanini mnakuwa wabinafsi kiasi hicho?

Mkipewa hayo madaraka kwanza mnakuwa Makatili sana hata kwa Wapakwa mafuta wenzenu!

Mnamtandika Risasi mwenzenu, mnamnyima stahiki zake za kutibiwa na posho zake mnazuia Gari yake mnaishikilia halafu bado mnajifanya eti mnapendana unafki mtupu

Mara zote mkishika nafasi ya Juu ya Nchi basi Ukatili na uonevu hutamalaki sana
Mbona Somalia, Afghanistan, Iraq nk mnauana wenyewe kwa wenyewe
 
Tunazungumzia Tanzania, inakuaje unahamisha Magoli?

Kama kuhamisha Magoli nami ntakwambia Southern of Sahara, Latin America, Mauaji ya weusi huko US na kwingineko

Tunazungumzia Tanzania, kwanini nyinyi ni makatili sana? Hata maeneo yenye record za kuuana, kuchinjana hapa nchini ni kwenu?

Kila Jumapili upo kanisani kuhutubia na kuomba uombewe ukitoka hapo unakwenda kuvamia Account binafsi za watu unakomba pesa halafu unasoma takwimu za kuongezeka kodi


Mbona Somalia, Afghanistan, Iraq nk mnauana wenyewe kwa wenyewe
 
Huyo jamaa hapana, ni Mdini sana na Mbaguzi, aliwatesa sana Wakristo alipokuwa NSSF.

Wakristo walikuwa wakiapply kazi NSSF hata kama wana sifa timilifu anawaengua na kuwajaza Waislam wenzie mpaka alipokuja kushtukiwa

Kilichombeba ni vile alikuwa rafiki na business partner wa Magufuli, akahusika kwenye kuijenga Kigamboni bridge na majengo mengine kupitia ile kampuni ya JPM ya uhandisi

Baada ya kushtukiwa J.P Magufuli akampatia Ubalozi na kuahidi kumlinda

Tutapishana sana na mikeka kwenye corridor za bandarini

Amekula sana keki ya Taifa inatosha.

We are always telling fellow christians,

This is our country,hakuna iman yenye hati miliki hususan katika utumishi wa umma,tukianza kufumua data kwenye Taasis za umma baina ya waislam na wakristo,waliojaa ndan ya hizo taasisi ni nyinyi wakristo,huwez kuwakuta waislam kabisa,ilishazoeleka ajira mnapeana KWA vimemo kila mnapokutana huko kwenye ibada zenu either za jumamosi au juma pili na kadhalika,na nyinyi wenyewe ni mashahid katika hilo,na ikitokea we muslims tukidadis suala hilo mmekuwa mnakuja na hoja ya kwamba waislam hawana shule,kwahiyo mnajustify nyinyi kukaa huko kwa kigezo kuwa waislam hawana shule,

Too bad,imetokea Nssf huko wameonekana waislam wamepata nafas ya kutumikia taifa hili tena kwa weledi mkubwa kabisa mnawaita wadini,so mkitakaje??hao waislam ambayo hawaonekani kwenye Taasis zingine ambao hawana shule mbona hiko Nssf wapo wameitoa wapi hiyo shule??

Je,hao waislam waliopo Nssf Wana qualifications au hawana,kauli zenu mnazozitoa hazijaanza leo,na tunajua hazitakuja kuisha leo,

Give us a break,chuki hizi mnazonionesha KWA waislam kama watanzania wenzenu mnataka mwisho wake uwe wa namna gan??
 
Sema alishutumiwa kwa udini na alichafuliwa sana pale NSSF so inawezekana akawa na uwezo but akashutumiwa tena.
Zile ekari moja kununuliwa milioni 800 nani alikuwa kiongozi, kama hamna mwenye sifa bora ikodishwe menejimenti toka nje ikabidhiwe kuendesha
 
Harufu za Udi na Ubani zitatuumiza vichwa kila uchwao leo huko maofisini, jalini na afya za wengine sheikh, kuweni na huruma.

Records za waislam wengi ambao wamekuwa wanatumikia taifa hilo mfano wao kama Dr Dau na Professor Assad ni extra ordinary,hampendezwi KWA hilo badala yake mnawatizima KWA jicho la chuki za kidini,once upon a time Gwajima alikuwa anawahubiria huko makanisani kuwa eti Prof Assad kageuza Ofc ya CAG kuwa misikiti,just imagine chuki zilizo pita mipaka kabisa,anabadili vip ofc kuwa msikit,na tunajua haya mnayoyaongea ni fikra za nyinyi mlio wengi ila sisi hamtusumbui tunawajua na tutaenda sawa
 
Back
Top Bottom