TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,465
- 3,459
Fisadi uyo jela inamuitaWamrudishe kankoko mbona kafanya vizuri na kupita mbali watangulizi wake waliopita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fisadi uyo jela inamuitaWamrudishe kankoko mbona kafanya vizuri na kupita mbali watangulizi wake waliopita
Hapana, awekwe Sheikh KipozeoKwaiyo awekwe askofu gwajima
Kutokana na swali lako, unaamini balozi Dau kuwa ni mtu sahihi kuisimamia bandari?Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Umepata Iftar kweli leo bidada?So una shauri awekwe mchungaji siyo!
Hivi hua mnakuaga na mihemuko na mitazamo ya kidini pindi akipatikana muislamu mwenye kuwa na chembe ya dini eehhh?
Nyi shida yenu mpate muislamu mnywa pombe mla wake za watu na mla nguruwe ndo mnaona sawa,Hebu kueni na akili sometimes.
Mmejaza Bible na picha za TB Joshua za mkono maofisi ya serikali na watu Wala hatuna Habari lakini nyinyi mswala Basi roho zinawaruka kutaka kutoka.pungizeni maujinga yenu huko
Ngoja tubonge na mama SamiaInawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Watu wengi wanamzungumzia kwa Udini na ni mtu mbaguzi sana: kuwa hapendi watu wa dini nyingine tofauti na waislamInawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Kuna kitu hakiko sawa katika muundo wa utumishi katika nchi yetu.Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Huyo jamaa simpendi kwa mambo yake mengi ya hovyo; lakini kwa kauli kama hii, ningemwambia aje kama jana vile!Kagame aliwahi kusema ukinipa tu bandari, kutokana na Nchi 8 zote kutegemea kupitishia mizigo Bandari ya Dar,ukinipa hiyo Bandari tu nina uwezo wa kuendesha Nchi achilia mbali rasilimaliz ingine kama mafuta,Gesi,dhahabu,Maliasili na Ardhi.
Ilionekana kama bango kwa Rais Kikwete,lakini ukweli ni kuwa Kagame alisema ukweli mtupu.
Tanzania hatujawahi kupata kiongozi mzalendo na mwenye akili,hatukupaswa kuwa masikini kiasi hiki-we all imbeciles.
UDini ni kasumbua ya kimasikini na wenye roho mbaya!Watafute na eneo la kumhengea msikiti hapo Bandarini. Wako watu walisomea shule za Ukristo lakini baada ya ekimu hizo wakawa fimbo kwa wale waliotoa sadaka zao kuwezeshwa kusoma kwao.
CASIAN NGAMILO kweli alikuwa ni mbobezi .alianzia pata odhoefu wa mambo ya bandari toka akiwa iliyokuwa NASACO kama SHIPPING MANAGER ambapo alifanya lazi kwa ufanisi mkubwa mpaka alipokuja kufanywa mamager wa Bandari ya Dar...wakati JPM ameingia madarakani kila kiongozi alikuwa anataka ajionyeshe anafanya kazi kwa kutumbua..Mwakyembe naye akaona apate credit kwa kumtumbua Ngamilo bila kujua utendaji wake ulikuwaje...Mtaalamu wa maswala ya Bandari na amesomeshwa kwa gharama kubwa lakini alipumzishwa kimazingira yasiyoeleweka ni NGAMILO.
Huyu mzee amebobea haswa kwenye maswala ya Bandari nadhani alikosana na Mwakiembe Kama sio mwendazake akaambiwa apumzike.
Huyu ndio aliweza kuondoa msongamnao bandarini ndiye architecture wa Bandari kavu na mengine mengi ambayo yanatumika bandarini. Atafutwe alipo arudishwe hapo bandarini
Mkuu Balozi Dau tena? Kule kwenye pesa za wenyewe kule sijui NSSF si aligeuza shamba la bibi au namfananisha?Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Why Dau?Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
hamtoacha kuwa na roho mbaya kama mwendazake
Huyo hatoleta mabadiliko yoyote hapoDr.Ramadhan Dau sina hata chembe na utendaji wake,wamuweke tu.
Hizi kilele za za udini ni za watu wanye strees za ugumu wa maisha na kukosa ajira.