Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

Sasa ikawaje chini yake nssf ilikua inalipa wastaafu kwa wkt?

Sa hivi tumeweka watakatifu huko kwny mifuko ya kijamii na matokeo yake wastaafu wanakaa mpk miaka 3 hajalipwa mafao.
Kwenye kulipa wastaafu nadhani NSSF unawaonea, NSSF hadi sasa wanalipa on time kabisa, shida ipo kule sijui PSSPF sijui ndio hivyo, wale HAPANA. Tena umewapendelea kwa kusema miezi 3, kuna wastaafu wamekaa zaidi ya miezi 18 hawajalipwa, imagene, kama sio uuaji hicho ni kitu gani?
 
And this country have been underdeveloped by you christians,mmejazana huko maofisi ya serikali hakuna mnachofanya Cha maana zaid zaid ya wiizi na ufisadi tuh,

Thanks God mwendazake alikuja kuwashikisha adabu bila hata yeye mwenyewe kujua kuwa anawaumbua ndug zake,lile zoez la vyeti fake na watumishi hewa imebainika zaid ya asilimia 90 ya hao wenye vyeti fake ni ndug zake christians,aibu kubwa sana imedhihirika kwenye zoez like,

Mmejazana kwenye utumishi wa umma KWA vyeti fake na kuchomeka ajira hewa huku mkizid kulitia Taifa hili hasara juu ya hasara,

Tunashangaa still bado mnakuja kututukana na kukejeli waislam Ili hali nyinyi ndio haswa mnapaswa kukejeliwa na kudhihakiwa
 
Ili akafanye kazi ya kuajiri waislamu pale bandari?

Kama hao waislam wana sifa wakiajiriwa ni dhambi??

Wewe ukitaka vip,awaajiri wakristo mkaibe pesa Ili juma pili mkatoe sadaka makanisani??

Maana ndicho mlichozoea,kuiba pesa za umma kisha kukimbilia kuungama KWA maaskofu wenu na kutoa sadaka au fungu la kumi,
 
Jizi kubwa lile lilitakiwa liwe ndani linatumikia kifungo lakini ndio hivyo eti ni Balozi , shame on us , kama kakutuma ulianzishe mwambie anatakiw awe jela stupid kabisa
 
Watu bana! Kama vile hatukuwepo enzi za JK....utawala gani bora ule uliolea ufisadi wa kiwango kile hadi kufikia nchi iuzwe.

Hakukuwa na utawala bora wala ninj enzi za JK, ni uzembe uliokithiri na loop holes za kutosha ndizo mnaziita utawala bora.

So,what do you want to say...

Kwamba Magufuli alikua better kuliko JK??in which ground for example

Hebu compare and contrast,baina ya Magufuli na kikwete tuone,je ndiyo kusema ufisadi ulioandoka zama za Magufuli??Mbona ndiyo ulizid kushika mizizi,je hilo deni la Taifa limekuwaje limepungua au limeongezeka,uchumi je,na vip kuhusu hivyo viwanda alivyokuwa ana hubiri,

If he was better,why you prayed that he should die??Mnakubali kipi na miata kipi??

Goal au penalty??kipi Mnakubali maana hamuelewekii waimba kwayaa
 
Watu bana! Kama vile hatukuwepo enzi za JK....utawala gani bora ule uliolea ufisadi wa kiwango kile hadi kufikia nchi iuzwe.

Hakukuwa na utawala bora wala ninj enzi za JK, ni uzembe uliokithiri na loop holes za kutosha ndizo mnaziita utawala bora.

So,what do you want to say...

Kwamba Magufuli alikua better kuliko JK??in which ground for example

Hebu compare and contrast,baina ya Magufuli na kikwete tuone,je ndiyo kusema ufisadi ulioandoka zama za Magufuli??Mbona ndiyo ulizid kushika mizizi,je hilo deni la Taifa limekuwaje limepungua au limeongezeka,uchumi je,na vip kuhusu hivyo viwanda alivyokuwa ana hubiri,

If he was better,why you prayed that he should die??Mnakubali kipi na miata kipi??

Goal au penalty??kipi Mnakubali maana hamuelewekii waimba kwa
Jizi kubwa lile lilitakiwa liwe ndani linatumikia kifungo lakini ndio hivyo eti ni Balozi , shame on us , kama kakutuma ulianzishe mwambie anatakiw awe jela stupid kabisa

Alikuibia mkeo,au nini aliiba hebu weka hapa ushahid wa alichookiiba tuone,

Ni makosa yako mwenyew,wewe uliona ni ujanja kuacha shule na kukimbilia kuolewa,mwisho wake chuki yako unawapa watu wasio husika
 
Kwenye kulipa wastaafu nadhani NSSF unawaonea, NSSF hadi sasa wanalipa on time kabisa, shida ipo kule sijui PSSPF sijui ndio hivyo, wale HAPANA. Tena umewapendelea kwa kusema miezi 3, kuna wastaafu wamekaa zaidi ya miezi 18 hawajalipwa, imagene, kama sio uuaji hicho ni kitu gani?
Nimeandika miaka 3 mkuu.
 
Mie nahisi pendekezo la mleta mada lina "hila" ndani yake.......labda afunguke zaidi. Kwa nini kamkumbuka Dau? So ndio huyu huyu wa NSSF? Ama ni Dau mwingine na mzee mwanakijiji mwingine?

Napita tu waungwana!
 
Wale mnaosema dau ni mwizi basi apewe kitengo Tena. Wazungu Wana msemo "Send a thief to catch a thief".

Mtume mwizi akakamate wezi au akikaa mwizi hakuna wezi watakao kuja kuiba.
Umeeleza vizuri wazungu wanamsemo siyo waafrika….kwa mwafrika ukifanya hivyo utakuwa umejiloga mwenyewe.
 
Dau kakaa miaka mingi toka npf hadi nssf lakini huwezi amini hakuna mkristo anaweza kukuletea takwimu kati ya waislam na wakristo wakina nani walikuwa wengi, tz akiajiriwa mkristo ana sifa ila muislam kapendelewa.
Gal 3:1-14
Wakristo nssf walikuwa wengi kuliko waislamu
 
Kagame aliwahi kusema ukinipa tu bandari, kutokana na Nchi 8 zote kutegemea kupitishia mizigo Bandari ya Dar,ukinipa hiyo Bandari tu nina uwezo wa kuendesha Nchi achilia mbali rasilimaliz ingine kama mafuta,Gesi,dhahabu,Maliasili na Ardhi.

Ilionekana kama bango kwa Rais Kikwete,lakini ukweli ni kuwa Kagame alisema ukweli mtupu.

Tanzania hatujawahi kupata kiongozi mzalendo na mwenye akili,hatukupaswa kuwa masikini kiasi hiki-we all imbeciles.
Kagame mwizi Tu Hana lolote, anaiba Mali za Congo na kupelekwa kwake
 
mimi nilifuatilia fao langu la kujitoa enzi za Dau maadam kila kitu kilikuwa sawa nilipewa wiki mbili fedha yangu ikajaa kwenye account sioni ubaya kama mtu bila kujali dini yake anani hudumia vyema bila vikwazo unaweza enda sehemu na kuna mkiristo mwenzako ndo anakuwa kigingi
 
Kama hao waislam wana sifa wakiajiriwa ni dhambi??

Wewe ukitaka vip,awaajiri wakristo mkaibe pesa Ili juma pili mkatoe sadaka makanisani??

Maana ndicho mlichozoea,kuiba pesa za umma kisha kukimbilia kuungama KWA maaskofu wenu na kutoa sadaka au fungu la kumi,

Ni kweli wana sifa walizopata madrasa
 
Back
Top Bottom