Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

Mtaalamu wa maswala ya Bandari na amesomeshwa kwa gharama kubwa lakini alipumzishwa kimazingira yasiyoeleweka ni NGAMILO.

Huyu mzee amebobea haswa kwenye maswala ya Bandari nadhani alikosana na Mwakiembe Kama sio mwendazake akaambiwa apumzike.

Huyu ndio aliweza kuondoa msongamnao bandarini ndiye architecture wa Bandari kavu na mengine mengi ambayo yanatumika bandarini. Atafutwe alipo arudishwe hapo bandarini
Only two people ndio walipaweza pale
NGAMILO NA JENGUO huyu mzaramo acha kabisa......Nyerere anamjua vyema sanap
 
Huyo jamaa hapana, ni Mdini sana na Mbaguzi, aliwatesa sana Wakristo alipokuwa NSSF.

Wakristo walikuwa wakiapply kazi NSSF hata kama wana sifa timilifu anawaengua na kuwajaza Waislam wenzie mpaka alipokuja kushtukiwa

Kilichombeba ni vile alikuwa rafiki na business partner wa Magufuli, akahusika kwenye kuijenga Kigamboni bridge na majengo mengine kupitia ile kampuni ya JPM ya uhandisi

Baada ya kushtukiwa J.P Magufuli akampatia Ubalozi na kuahidi kumlinda

Tutapishana sana na mikeka kwenye corridor za bandarini

Amekula sana keki ya Taifa inatosha.
Sana, huyu jamaa ni kimeo sana. NSSF aliifanya ikawa taasisi ya kiislamu.
 
Ha ha ha ha,

You must be so so crazy man,

Unataka kumfananisha kijana wa madrasa JK na huyo kijana wako wa kipaimara mwenye roho mbaya??

Unataka kumfananisha born town JK na yule mshamba wako mchunga ng'ombe hata kuongea tuh lugha kiswahili fasaha hawez??

Records zipo na zinajieleza zenyewe,huo uchumi alioujenga huyo mwendazake uko wapi kila mtu nchi hii amemuacha akilia??

Sisi wakulima wa korosho ametuachia balaa,wafanya kaz amewaachia vilio,wafanya biashara wamefunga kila kitu,wawekezaji wamekimbia,vyombo vya habari kavisulubisha,wapinzan kawapiga risas,
.udini na ukabila ndiyo ikawa nguzo yake kuu,hadi wanaCCM wenzake kama Nape na kinana,plus membe wakamuita ni mshamba we utawezaje kumtetea..

Vijana wa madrasa are the best presidents ever,we are much proud of them starting from Mwinyi,Kikwete and now SAMIA,utatuambia nin??

We run this country accordingly
Kumbe na argue na mdini, bye!
 
Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Mzee si inadaiwa Dau ni mpigaji sana halafu Mdini(anapendelea waislamu)....unataka kuchafua hali ya hewa...?
 
Kagame aliwahi kusema ukinipa tu bandari, kutokana na Nchi 8 zote kutegemea kupitishia mizigo Bandari ya Dar,ukinipa hiyo Bandari tu nina uwezo wa kuendesha Nchi achilia mbali rasilimaliz ingine kama mafuta,Gesi,dhahabu,Maliasili na Ardhi.

Ilionekana kama bango kwa Rais Kikwete,lakini ukweli ni kuwa Kagame alisema ukweli mtupu.

Tanzania hatujawahi kupata kiongozi mzalendo na mwenye akili,hatukupaswa kuwa masikini kiasi hiki-we all imbeciles.
Hata mwendazake mkuu....?
 
Correct, na infact kabla ya kwenda NSSF alikuwa Director wa marketing pale bandari mpaka mwendazake Mkapa alipompa u DG wa NSSF...
Mzee Mkapa alikuwa akipenda kubadili kile kifupisho cha Ramadhan Dau ( R&D) kwa utani na kumuita Research and Development maana kila anachoshauri basi attachment yake ni research sio blaaa blaa!
 
Mzee si inadaiwa Dau ni mpigaji sana halafu Mdini(anapendelea waislamu)....unataka kuchafua hali ya hewa...?

Waislam gan Tena,na nyinyi mnasema kuwa waislam hawana shule...

Hao alokuwa anawapendelea hapo Nssf ni wepi sass,maana huko Taasisi zingine zoote zimejaa makanisa tuh
 
Waislam gan Tena,na nyinyi mnasema kuwa waislam hawana shule...

Hao alokuwa anawapendelea hapo Nssf ni wepi sass,maana huko Taasisi zingine zoote zimejaa makanisa tuh
Mkuu hujasoma maoni ya wadau humu, nilichofanya ni kufafanua kwamba unaposemwa udini basi ujue anasemwa Muisiramu hapo...yaani ukisikia pale pana udini sana maana yake hapo pana MAISIRAMU wengi...
 
Yani watu wanapenyeza majina kupitia wasaidizi wa Mama ili warudishwe walikokuwa wakifanyakazi hapo nyuma?!

Sasa mama hajiulizi kwanini Huyu mtu atake kurudi alikokuwa ameshafanya kazi?

Hamjiulizi anataka kwenda kumkomesha nani kule?

Je watumishi wataenda kumpokeaje ujio wake?

Au ana maana gani?

Kwanini hamjiulizi mara 2-3 ?

Yani siku hizi unataka kuwa mtindo.

Mungu amsaidie Mama kustuka na kupata busara ya ku deal na watu wa namna hiyo aisee?’!
 
Hakika sindano hiz zimemuingia
Ha ha ha ha,

You must be so so crazy man,

Unataka kumfananisha kijana wa madrasa JK na huyo kijana wako wa kipaimara mwenye roho mbaya??

Unataka kumfananisha born town JK na yule mshamba wako mchunga ng'ombe hata kuongea tuh lugha kiswahili fasaha hawez??

Records zipo na zinajieleza zenyewe,huo uchumi alioujenga huyo mwendazake uko wapi kila mtu nchi hii amemuacha akilia??

Sisi wakulima wa korosho ametuachia balaa,wafanya kaz amewaachia vilio,wafanya biashara wamefunga kila kitu,wawekezaji wamekimbia,vyombo vya habari kavisulubisha,wapinzan kawapiga risas,
.udini na ukabila ndiyo ikawa nguzo yake kuu,hadi wanaCCM wenzake kama Nape na kinana,plus membe wakamuita ni mshamba we utawezaje kumtetea..

Vijana wa madrasa are the best presidents ever,we are much proud of them starting from Mwinyi,Kikwete and now SAMIA,utatuambia nin??

We run this country accordingly
 
Back
Top Bottom