Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Kagame aliwahi kusema ukinipa tu bandari, kutokana na Nchi 8 zote kutegemea kupitishia mizigo Bandari ya Dar,ukinipa hiyo Bandari tu nina uwezo wa kuendesha Nchi achilia mbali rasilimaliz ingine kama mafuta,Gesi,dhahabu,Maliasili na Ardhi.

Ilionekana kama bango kwa Rais Kikwete,lakini ukweli ni kuwa Kagame alisema ukweli mtupu.

Tanzania hatujawahi kupata kiongozi mzalendo na mwenye akili,hatukupaswa kuwa masikini kiasi hiki-we all imbeciles.
 
Mijizi inapigiana chapuo... hii Nchi sio ya babako
 
Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Imekua shida kutokana na ufinyu wa akili...yaaani mnataka kuongozwa na watu wale wale miaka nenda rudi jana kwamba hakuna wasomi wapya,
Wewe unakuwa Dau hivi toka dau aondoke hapa tz hakuna mtanzania mwenye uwezo wa kuongoza bandari?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mkristo Ila ningeulizwa Leo hii mashirika yote makubwa ningeweka watu wafuata
1. Bandari- Dr Ramadhani Dau

2. ATCL- Nehemia Mchechu

3. National Housing- Kelvin Twisa- sijui yuko wapi nowdays?

4. Tanesco- Charles Kimei
Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
 
Mimi ni mkristo Ila ningeulizwa Leo hii mashirika yote makubwa ningeweka watu wafuata
1. Bandari- Dr Ramadhani Dau

2. ATCL- Nehemia Mchechu

3. National Housing- Kelvin Twisa- sijui yuko wapi nowdays?

4. Tanesco- Charles Kimei

Kwani jamaa aliye pelekwa Bandarini badala ya Kakoko ana mapungufu gani - mbona alipokuwa Mwanza taasisi ya vyombo vya usafiri wa majini NCHINI alihimudu sana sana - dogo yule kichwa sana na wala mama Samia hatajilahumu kumtehua kwenye wadhifa wa Ukurugenzi wa TPA hapo ali hit a bull's eye - katika moja ya teuzi zake ambazo aliwahi kufanya hivi karibuni hapo ndipo alipatia kweli kweli na hata siku moja mama Samia hatajutia uteuzi wa dogo huyo kuwa DG wa TPA.

Hizi tabia za kutaka kulazimisha ku-recycle baadhi ya Watanzania wenzetu kwenye mashirika fulani au Serikalini, tabia hii sio fresh hata kidogo.
 
Wale mnaosema dau ni mwizi basi apewe kitengo Tena. Wazungu Wana msemo "Send a thief to catch a thief".

Mtume mwizi akakamate wezi au akikaa mwizi hakuna wezi watakao kuja kuiba.
 
Back
Top Bottom