Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Hata wewe ulichoandika hapa Ni ushuzi unaomezeshwa ijumaa na sheikh wakolete takwimu co hzo bla bla zenu mnazomezeshwa jmosi na jpl
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe ulichoandika hapa Ni ushuzi unaomezeshwa ijumaa na sheikh wakolete takwimu co hzo bla bla zenu mnazomezeshwa jmosi na jpl
Huyu ni mwamba ni balaa. Nili apply kazi pale hadi nikachoka.Huyo jamaa hapana, ni Mdini sana na Mbaguzi, aliwatesa sana Wakristo alipokuwa NSSF.
Wakristo walikuwa wakiapply kazi NSSF hata kama wana sifa timilifu anawaengua na kuwajaza Waislam wenzie mpaka alipokuja kushtukiwa...
Huu ni ushubwada unaotoka katika kunywa cha mlevi konkiAtaboronga kama alivyofanya NSSF ukiachia mbali kuanzisha upendeleo wenye sura ya udini.
Wewe Mjinga huruDau no [emoji777]
Let him stay there ubalozini....
Chuki za kijingaHuyo jamaa hapana, ni Mdini sana na Mbaguzi, aliwatesa sana Wakristo alipokuwa NSSF.
Wakristo walikuwa wakiapply kazi NSSF hata kama wana sifa timilifu anawaengua na kuwajaza Waislam wenzie mpaka alipokuja kushtukiwa....
Jifunze kiswahili na kufikiria ndipo uongee.Huu ni ushubwada unaotoka katika kunywa cha mlevi konki
Mimi nasema hafai syo kwa sababu ya dini yake,ila apumzike tu
Mbona janguo nlikuwa namkubali
Ova
Chini ya dau nasikia magori alifanya madudu makubwa sana na mengine ya aibu lakini huwezi kusikia watu wakiyaongelea!!
Dau anatosha pale TPA, ni msomi, mwenye weledi na uadilifu, KASORO YAKE NI MOJA TU SIO MKRISTO, nasikia ni mvaa vibalaghashia na ni mswalihina kweri.
Kama uliapply na unaitwa Christian, Michael, au Patrick ni lazima ingekula kwako tuHuyu ni mwamba ni balaa. Nili apply kazi pale hadi nikachoka.
Sishangai, Ukweli huwa unauma sanaChuki za kijinga
Kama uliapply na unaitwa Christian, Michael, au Patrick ni lazima ingekula kwako tu
Ewe Maamuma iftar imeanza kukupelekeshae? Kwn huyu Dau na JPM hawakuiba pesa za umma na kupeleka kwenye kampuni zao za ukandarasi?Angekuwa ni mkristo akawa anawachukua wakristo wenzako kama wanavyofanya kwenye mashirika mengine mngeongea?shida nyinyi mkipewa nafas mnaibaaa
Kama mtu ana afya akili haistaafu, na sio kila nyadhifq ifungiwe umri, apana kama anahitajika na yuko medically fit apple hiyo nyadhifa.Hajafikisha umri wa kustaafu?
NSSF ikoje leo na ilipokuwa ikiongozwa na DauSema alishutumiwa kwa udini na alichafuliwa sana pale NSSF so inawezekana akawa na uwezo but akashutumiwa tena.
Alipoiwacha nssf ilikuwa Shiraka lenye faida leo limezorota, na linaongozwa na wakeistoHuyo jamaa hapana, ni Mdini sana na Mbaguzi, aliwatesa sana Wakristo alipokuwa NSSF.
Wakristo walikuwa wakiapply kazi NSSF hata kama wana sifa timilifu anawaengua na kuwajaza Waislam wenzie mpaka alipokuja kushtukiwa..
Mbona Magufuli alikuwa mdini na mkabila hamkusema, au udini ni pale unapofanywa na muislamu tuu. Serekali zake zote zilipendelea wakristo na watu wa kabila lake.Dau kakaa miaka mingi toka npf hadi nssf lakini huwezi amini hakuna mkristo anaweza kukuletea takwimu kati ya waislam na wakristo wakina nani walikuwa wengi, tz akiajiriwa mkristo ana sifa ila muislam kapendelewa.
Gal 3:1-14
Naunga mkono hoja, uchaguzi wa maana sanaMimi ni mkristo Ila ningeulizwa Leo hii mashirika yote makubwa ningeweka watu wafuata
1. Bandari- Dr Ramadhani Dau...
Umenielewa lakini?Mbona Magufuli alikuwa mdini na mkabila hamkusema, au udini ni pale unapofanywa na muislamu tuu. Serekali zake zote zilipendelea wakristo na watu wa kabila lake.
Huu ukweli unaoumaHuu ukweli Au michuki yenu tu ya kijinga