Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

Balozi Dau aletwe Bandari/TPA?

Dau anatosha pale TPA, ni msomi, mwenye weledi na uadilifu, KASORO YAKE NI MOJA TU SIO MKRISTO, nasikia ni mvaa vibalaghashia na ni mswalihina kweri.
 
Huyo jamaa hapana, ni Mdini sana na Mbaguzi, aliwatesa sana Wakristo alipokuwa NSSF.

Wakristo walikuwa wakiapply kazi NSSF hata kama wana sifa timilifu anawaengua na kuwajaza Waislam wenzie mpaka alipokuja kushtukiwa...
Huyu ni mwamba ni balaa. Nili apply kazi pale hadi nikachoka.
 
Huyo jamaa hapana, ni Mdini sana na Mbaguzi, aliwatesa sana Wakristo alipokuwa NSSF.

Wakristo walikuwa wakiapply kazi NSSF hata kama wana sifa timilifu anawaengua na kuwajaza Waislam wenzie mpaka alipokuja kushtukiwa....
Chuki za kijinga
 
Mimi nasema hafai syo kwa sababu ya dini yake,ila apumzike tu
Mbona janguo nlikuwa namkubali

Ova

Apumzike vip na taifa bado linahitaj mchango wake??

Ukiachilia mbali janguo,ni Muislam ila baada ya hapo kila mgalatia anaekaa pale anachowaza ni ufisadi tuh na upigaji,lazima kuwaangalia KWA tahadhari
Chini ya dau nasikia magori alifanya madudu makubwa sana na mengine ya aibu lakini huwezi kusikia watu wakiyaongelea!!

Hawawez zungumza hilo hao wagalatia,si mgalatia mwenzao??

Mi wanachonishangaza ni huko kushupalia wapewe nafas katika utumishi wa umma na wakipewa wanavyowaza ni upigaji na wizi
 
Dau anatosha pale TPA, ni msomi, mwenye weledi na uadilifu, KASORO YAKE NI MOJA TU SIO MKRISTO, nasikia ni mvaa vibalaghashia na ni mswalihina kweri.

Dr Dau mmoja,anawaumiza kichwan mamillion KWA utendaji wake wa kazi uliotukuka,we need more Dauz Ili kusukuma mbele gurudum la Maendeleo,mama ikimpendeza inshallah atamrudisha popote pale anapoona panamfaa,nyie chukien pasukeni hamm uwezo wa kufanya lolote
 
Kama uliapply na unaitwa Christian, Michael, au Patrick ni lazima ingekula kwako tu

Angekuwa ni mkristo akawa anawachukua wakristo wenzako kama wanavyofanya kwenye mashirika mengine mngeongea?shida nyinyi mkipewa nafas mnaibaaa
 
Angekuwa ni mkristo akawa anawachukua wakristo wenzako kama wanavyofanya kwenye mashirika mengine mngeongea?shida nyinyi mkipewa nafas mnaibaaa
Ewe Maamuma iftar imeanza kukupelekeshae? Kwn huyu Dau na JPM hawakuiba pesa za umma na kupeleka kwenye kampuni zao za ukandarasi?
 
Huyo jamaa hapana, ni Mdini sana na Mbaguzi, aliwatesa sana Wakristo alipokuwa NSSF.

Wakristo walikuwa wakiapply kazi NSSF hata kama wana sifa timilifu anawaengua na kuwajaza Waislam wenzie mpaka alipokuja kushtukiwa..
Alipoiwacha nssf ilikuwa Shiraka lenye faida leo limezorota, na linaongozwa na wakeisto
 
Dau kakaa miaka mingi toka npf hadi nssf lakini huwezi amini hakuna mkristo anaweza kukuletea takwimu kati ya waislam na wakristo wakina nani walikuwa wengi, tz akiajiriwa mkristo ana sifa ila muislam kapendelewa.
Gal 3:1-14
Mbona Magufuli alikuwa mdini na mkabila hamkusema, au udini ni pale unapofanywa na muislamu tuu. Serekali zake zote zilipendelea wakristo na watu wa kabila lake.
 
Mbona Magufuli alikuwa mdini na mkabila hamkusema, au udini ni pale unapofanywa na muislamu tuu. Serekali zake zote zilipendelea wakristo na watu wa kabila lake.
Umenielewa lakini?
 
Back
Top Bottom