Tetesi: Balozi Dkt. Wilbroad Slaa afichua siri mpya ya mikakati ya Mbowe kushinda uenyekiti. Apewa mapesa zaidi na Rais Samia na M/kiti CCM kummaliza Lissu

Mna vigeugeu sana nyie watu aisee
 
Siyo msukuma wamachame mlikuwa mnaifanya CHADEMA SACCOS yenu, tuonyeshe hayo matusi.

Wapuuzi nyie wakati anakuwa endorsed 2020 alikuwa hajakuwa kichaa na mropokaji? Uropokaji ameanza kwa kutaka kugombea uenyekiti wa CHADEMA?
Vichaa nyie
Wapalestina(wamachame) wamechafukwa kweli kweli .
 
Kila jambo na wakati wake...

Unajuaje labda alishatengeneza na Mungu wake..?

Pesa zitaliwa na Freeman Mbowe hatakuwa Mwenyekiti nawaambia...

Hizi harakati za kumsaidia huyu jamaa (Mbowe) na kuhakikisha Tundu Lissu hapati uenyekiti hazina tofauti na alivyofanyiwa mwaka 2017 wakati anagombea u - Rais wa TLS...

Aidha hazina tofauti na alivyofanyiwa Boniface Mwabukusi kwrnye uchaguzi wa Rais wa TLS mwaka jana 2024...

Hao TISS, Polisi, na UVCCM chini ya mtu wao kwa jina la Nkuba waliweza kumzuia Boniface Mwabukusi asishinde? Waliweza kumzuia Tundu Lissu asishinde mwaka 2017...?

Kwenye chaguzi ndogo za watu wachache kama hawa wasiozidi wajumbe 2,000 CCM hawawezi kuingiza fitina wala mbinu zao na zikafanikiwa...!!

Wamwage tu hayo wapesa, tutayachukua na hawatapata wanachokitafuta maana MUNGU WA MBINGUNI AMESHAWAKATAA...!!
 
Swali moja ambalo hawajibu, wakati Lissu anakuwa endorsed kugombea urais 2020 hakuwa mropokaji na mtukanaji? Amekuwa mropokaji baada ya kumchallenge Sultani Mbowe
Hela ya Abdul imewapofusha kabisa
 
Nimecheka kwa nguvu vibaya, eti siasa chafu cdm ndio waanzilishi, kwanza una umri gani? Kuelekea uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi hapa nchini wa 1995, makada wa ccm na Nyerere akiwa hai, walikuwa wanazunguka mitaani wakionyesha video za vita ya mauaji ya kimbari ya Rwanda, wakisema mkichagua wapinzani wataleta mauaji kama hayo. Sasa endelea na upotoshaji wako mwingine kwenye waasisi hao wa siasa chafu hapa nchini.
 
Kwani Huyo Slaa amerudi CHADEMA? au ameahidiwa kuwa atarudi, mtu ukiachwa basi achika
Slaaa hata hasiporudi chadema lakini tambua chadema ni mali ya Umma ndo maana wanapewa ruzuku ambayo ni kodi ya wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama ni kodi zao ana haki chadema sio mali ya Mbowe Kenge maji
 
This is crap!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…