Tetesi: Balozi Dkt. Wilbroad Slaa afichua siri mpya ya mikakati ya Mbowe kushinda uenyekiti. Apewa mapesa zaidi na Rais Samia na M/kiti CCM kummaliza Lissu

Tetesi: Balozi Dkt. Wilbroad Slaa afichua siri mpya ya mikakati ya Mbowe kushinda uenyekiti. Apewa mapesa zaidi na Rais Samia na M/kiti CCM kummaliza Lissu

Kama kweli vile ila bado gemu inaendelea mlikuwa wapi nyie maana nona hata wewe walewale tu maana sikuelewi balozi
 
Dr slaa wa ccm? Jamaa huyu fitna sana kwa taifa. Ndio alietia mkataba kati ya kanisa na serekali
Katika wapumbavu bora jukwaani utakuwa unaongoza, ametiaje mkataba? Akiwa afisa wa serikali au kanisa? Na alikuwa ana mamlaka gani kanisani ya kuingia mkataba kwa niaba ya kanisa?

Upumbavu wako wa udini unakufanya uonekane hopeless
 
Mbona yeye alipewa na ubalozi akahongwa!
Ni vizuri sana akasema kwa mfano yeye alihongwa kiasi fulani na ccm, wakampa na ubalozi. Lkn baadae wakamodampo ili na mbowe nae ajue kama anakula hela za ccm ipo siku watampdampo.

Kama hajakiri, aendelee kukaa kimya tu. Ale mihongo awe imara
 
Slaa awe makini asije kupewa kesi ya uchochezi ...

Slaa karudi Chadema kinyemela mpaka kuibuka kama Pro-Lissu kwenye hiki kinyanganyiro ?..........huu uchaguzi ni mtihani mzito kwa uhai wa Chadema

zitto junior Fundi Mchundo Retired JokaKuu

..hata mimi nashangaa sana.

..kwa kipindi kirefu Dr.Slaa alikuwa swahiba wa Mbowe, na akipingana waziwazi na Tundu Lissu.

..sasa ni nini kimetokea hapo katikati mpaka Dr.Slaa kumtupa mkono Freeman Mbowe?
 
Hivi Fr kitima mbona kimya sana?
Ameshamalizwa tayari. Mkimsikia tena mniite mbwa. Si ajabu hata altare ataikinbia kwa aibu ile iliyoibiliwa na Lisu. Mungu anafichua kidogo kidogo wachumia tumbo eti ni watumishi wake
 
Dr Slaa ukae kwa kutulia.
Ubalozi wa Sweden uliupata baada kusaliti mabadiliko ya UKAWA .
Wewe siyo msafi, tulia mzee.
 
Ohhhh Mchaga mbele ya hela tena!!!
Chadema wataisoma namba.
 
Asali ya 12B sio pesa ya kitoto 🤣🤣
Kwa nadharia ya “opportunity cost”, kuna mamilioni ya Watanzania wanaozamishwa kwenye lindi la umasikini na dhiki kila kukicha kwa hayo mabilioni kuchotwa toka Hazina na kutumika kimafia na waliopewa guarantee ya madaraka ya nchi.

Kwa kadiri wananchi watakavyoendelea kuona mambo haya kwa jicho la kishabiki wakiwasifu wanaofuja Hazina kama wajanja na wanaonunuliwa hata kwa bei ya 12b kama “hawana maana” nchi isahau habari ya maendeleo.
 
Nimecheka kwa nguvu vibaya, eti siasa chafu cdm ndio waanzilishi, kwanza una umri gani? Kuelekea uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi hapa nchini wa 1995, makada wa ccm na Nyerere akiwa hai, walikuwa wanazunguka mitaani wakionyesha video za vita ya mauaji ya kimbari ya Rwanda, wakisema mkichagua wapinzani wataleta mauaji kama hayo. Sasa endelea na upotoshaji wako mwingine kwenye waasisi hao wa siasa chafu hapa nchini.
Mkuu unataka kusema 1995 ulipiga kura?

If not, tuheshimiane
 
Back
Top Bottom