Tetesi: Balozi Dkt. Wilbroad Slaa afichua siri mpya ya mikakati ya Mbowe kushinda uenyekiti. Apewa mapesa zaidi na Rais Samia na M/kiti CCM kummaliza Lissu

Tetesi: Balozi Dkt. Wilbroad Slaa afichua siri mpya ya mikakati ya Mbowe kushinda uenyekiti. Apewa mapesa zaidi na Rais Samia na M/kiti CCM kummaliza Lissu

safi sana,
mbona yeye lisu anatumia diaspora kuhonga wajumbe,
Lisu hawezi kumshinda mbowe kwa vyovyote vile.
Lisu hana adabu kwa wakubwa zake, amemtukana Magufufli, kamtukana Rais samia bila hata aibu pamoja na kuwa mama alimsaidia sana hadi kwenda nairobi na ubeljiji kumjulia hali hata kumrudishia passport yake, isitoshe mbowe alombeba nae katukanwa.

Nchi gani yenye serikali inaweza kumpa mwendawazimu mamlaka

Wanampoteza kabisa kwenye medali za kisiasa akamtukane kaka yake anayemuunga mkono
Sasa hivi Fitna namba moja Tanzania ni Slaa.
 
Hivi huyu Padri kwan alieudi lini CDM!?
Ameshikilia liferaft,survival tactics.
Serikali ilishamstaafisha Ubalozi,pili ikamnyanganya title ya kuitwa Ambassador.
Roman Catholic Church nao kama yupo nje ya ulingo.
Serikali ya Mama Samia imeishampika teke.
Kwanini nae asitafute njia ya kutafuta angalau mkate wa kila siku?
 

View: https://youtu.be/lU_QbyAtMUM?si=Qdt19WOd_IGi962F

Duuh, mimi sikuwahi kufikiri wala kudhani kabisa kuwa kamanda wa anga na mwanaharakati wa siasa za mageuzi Tanganyika ndugu Freeman Mbowe kuwa ni shetani wa CCM - kijani aliyejificha kwenye gwanda la khaki la CHADEMA...!!

Katika VideoAudio Clip hiyo, Balozi Dr. Wilbroad Slaa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA kwa miaka 12 (2003 - 2015) na kufanya kazi chini ya uenyekiti wa Freeman Mbowe anafichua siri ya vikao kati ya Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa CCM (Taifa) ambaye pia ni Rais wa JMT Bi. Samia Suluhu Hassan...

Dr Wilbroad Slaa anasema, amepewa taarifa na vijana wake ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) juu ya kikao kati Rais Samia/CCM na Freeman Mbowe kujadili namna atakavyosaidiwa kushinda uenyekiti...

Anaendelea kusema kuwa, Rais Samia amekubali kumuongezea pesa Freeman Mbowe ili kugharamia mikakati ya ushindi wake na kwa hiyo wajumbe wajiandae kula pesa za bure za Samia Suluhu Hassan...

Aidha ameitahadharisha kambi ya Tundu Lissu kufahamu kuwa, Freeman Mbowe atapata msaada toka TISS, polisi na UVCCM wengi wataingia kama wajumbe wapiga kura na watavalishwa magwanda au jezi rasmi za CHADEMA...

Je, wajumbe 1,200 watashindwa kufahamiana na kudhibitiana ndani ya ukumbi? Timu Tundu Lissu fahamuni hili, jiandaeni kwa mapambano. Fanyeni kama TLS walivyofanya kumpigani Boniface Mwabukusi na kuibuka mshindi wa u - Rais wa TLS...

Siasa ngumu na haileweki. Siamini huyu ndiye Slaa aliyesema Lissu amejipiga risasi alipopewa ubalozi na Magufuli.
 

View: https://youtu.be/lU_QbyAtMUM?si=Qdt19WOd_IGi962F

Duuh, mimi sikuwahi kufikiri wala kudhani kabisa kuwa kamanda wa anga na mwanaharakati wa siasa za mageuzi Tanganyika ndugu Freeman Mbowe kuwa ni shetani wa CCM - kijani aliyejificha kwenye gwanda la khaki la CHADEMA...!!

Katika VideoAudio Clip hiyo, Balozi Dr. Wilbroad Slaa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA kwa miaka 12 (2003 - 2015) na kufanya kazi chini ya uenyekiti wa Freeman Mbowe anafichua siri ya vikao kati ya Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa CCM (Taifa) ambaye pia ni Rais wa JMT Bi. Samia Suluhu Hassan...

Dr Wilbroad Slaa anasema, amepewa taarifa na vijana wake ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) juu ya kikao kati Rais Samia/CCM na Freeman Mbowe kujadili namna atakavyosaidiwa kushinda uenyekiti...

Anaendelea kusema kuwa, Rais Samia amekubali kumuongezea pesa Freeman Mbowe ili kugharamia mikakati ya ushindi wake na kwa hiyo wajumbe wajiandae kula pesa za bure za Samia Suluhu Hassan...

Aidha ameitahadharisha kambi ya Tundu Lissu kufahamu kuwa, Freeman Mbowe atapata msaada toka TISS, polisi na UVCCM wengi wataingia kama wajumbe wapiga kura na watavalishwa magwanda au jezi rasmi za CHADEMA...

Je, wajumbe 1,200 watashindwa kufahamiana na kudhibitiana ndani ya ukumbi? Timu Tundu Lissu fahamuni hili, jiandaeni kwa mapambano. Fanyeni kama TLS walivyofanya kumpigani Boniface Mwabukusi na kuibuka mshindi wa u - Rais wa TLS...

Kama taarifa ya Slaa ni kweli, naona damu itamwagika siku ya uchaguzi wao. Na msajili ameishaandaliwa kukifuta Chadema.
 
Dr apewe maua yake, huyu mzee ni muhimu sana kwenye taifa hili
 
Hatuna uhakika kama kapewa. Ila ikiwa ni kweli ametoa hiyo 12B kwa mtu mmoja, je Zanzibar kapeleka bilioni ngapi ?
Si unaona Zanzibar ilivyopiga hatua kubwa ya maendeleo katika miaka mitatu hii shule za msingi za gorofa hadi vijijini halafu mambwiga ya CCM yanataka kumpa mitano tena. Kodi za Watanganyika ndiyo zinaijenga Zanzibar.
 
Huyo jamaa yupo kinafiki sana

Kilindi yeye anachota za Edo na za Mwendazake nani alimuuliza?

Kuna kipindi JK alimuita mnafiki na mzandiki nimeamini.

Vijana wa Usalama anaowasema ni kina nani?

Anapukiwa majungu ya hear say za kutosha na yeye mkuku mkuku anazileta public kwa wapiga makofi wake wa Clubhouse...

Anatamani sana Lissu awe chairman na yeye arud CDM kwa mgongo wa nyuma kama KM.

It will bever happen granny.


Siasa za kidemokrasia katika nchi za Demokrasia ni dhahiri wananchi wanajigawa katika pande mbili .Upande wa giza na upande wa nuru yaani Wema na ubaya .

Kwa sasa wetu wanamtaka Lisu ili siasa za Tanzania zihame kutoka kwenye siasa za upande wa wapigaji tu na anayeonekana kinyume na ufisadi anauawa au kushughulikiwa kisasa. Hii imejenga taifa la watu waovu na uovu unaonekana ndio dili. Rushwa imekua ni kama fasheni kwenye nchi hii. Watu wanaofanya biashara halali wanadharaulika ,watu wanaosema na kukemea ufisadi wanaitwa wabangaizaji . Yaani tumerudi zama za giza za kutukuza mali na kudharau haki na hekima . Mtu mwenye pesa hata akitema pumba kama Mbowe anaonekana ana busara .

Mbowe amesababisha mauaji na ulemavu wa watu wengi sana hapa Tanzania lakini hajawahi kusemwa serikali wala kukamatwa kwa tuhuma za kusababisha mauaji isipokuwa ni wakati wa JPM tu ndio alihukumiwa na kupigwa faini kwa kusababisha mauaji ya Akwiline . Familia ya Akwelini ilitakiwa ufungue Kesi ya madai dhidi ya Mbowe baada ya hukumu kuonyesha kuwa Mbowe na wenzake walisababisha kifo cha Akwiline.


Mbowe kama anafikiria kuwa damu za wenzake ndio mtaji wake basi akimlazimisha ushindi wa Rushwa ndio mwisho na anguko la Chama chake na SACCOs yake .kwani Atakua alepoteza watu wengi na hivyo kupoteza Ruzuku kubwa .
 
Wajumbe ni wa hovyo.....Mchana wanamkubali Mbowe mwenye mabilioni ila kura kwa Lissu


Na tuwaambie tu wajumbe kuwa wasimuogope Mbowe maana akishindwa ndio basi anapoteza mvuto kabisa lakini wakimuonea huruma wajue uchaguzi mkuu watapata shida sana kunadi sera zao kwa wananchi
 
Huyo jamaa yupo kinafiki sana

Kilindi yeye anachota za Edo na za Mwendazake nani alimuuliza?

Kuna kipindi JK alimuita mnafiki na mzandiki nimeamini.

Vijana wa Usalama anaowasema ni kina nani?

Anapukiwa majungu ya hear say za kutosha na yeye mkuku mkuku anazileta public kwa wapiga makofi wake wa Clubhouse...

Anatamani sana Lissu awe chairman na yeye arud CDM kwa mgongo wa nyuma kama KM.

It will bever happen granny.

Uongo mbaya mmezidiwa kweli kweli
 

View: https://youtu.be/lU_QbyAtMUM?si=Qdt19WOd_IGi962F

Duuh, mimi sikuwahi kufikiri wala kudhani kabisa kuwa kamanda wa anga na mwanaharakati wa siasa za mageuzi Tanganyika ndugu Freeman Mbowe kuwa ni shetani wa CCM - kijani aliyejificha kwenye gwanda la khaki la CHADEMA...!!

Katika VideoAudio Clip hiyo, Balozi Dr. Wilbroad Slaa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA kwa miaka 12 (2003 - 2015) na kufanya kazi chini ya uenyekiti wa Freeman Mbowe anafichua siri ya vikao kati ya Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa CCM (Taifa) ambaye pia ni Rais wa JMT Bi. Samia Suluhu Hassan...

Dr Wilbroad Slaa anasema, amepewa taarifa na vijana wake ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) juu ya kikao kati Rais Samia/CCM na Freeman Mbowe kujadili namna atakavyosaidiwa kushinda uenyekiti...

Anaendelea kusema kuwa, Rais Samia amekubali kumuongezea pesa Freeman Mbowe ili kugharamia mikakati ya ushindi wake na kwa hiyo wajumbe wajiandae kula pesa za bure za Samia Suluhu Hassan...

Aidha ameitahadharisha kambi ya Tundu Lissu kufahamu kuwa, Freeman Mbowe atapata msaada toka TISS, polisi na UVCCM wengi wataingia kama wajumbe wapiga kura na watavalishwa magwanda au jezi rasmi za CHADEMA...

Je, wajumbe 1,200 watashindwa kufahamiana na kudhibitiana ndani ya ukumbi? Timu Tundu Lissu fahamuni hili, jiandaeni kwa mapambano. Fanyeni kama TLS walivyofanya kumpigani Boniface Mwabukusi na kuibuka mshindi wa u - Rais wa TLS...


Hizo pesa zingeweza kusaidia bima ya afya kwa watoto, wazee, wakinamama wajawazito.
 
Mbowe, usitumie cheo Kama dhamana ya matakwa yako, utasababisha ajali Kama ya MV BUKOBA
 

View: https://youtu.be/lU_QbyAtMUM?si=Qdt19WOd_IGi962F

Duuh, mimi sikuwahi kufikiri wala kudhani kabisa kuwa kamanda wa anga na mwanaharakati wa siasa za mageuzi Tanganyika ndugu Freeman Mbowe kuwa ni shetani wa CCM - kijani aliyejificha kwenye gwanda la khaki la CHADEMA...!!

Katika VideoAudio Clip hiyo, Balozi Dr. Wilbroad Slaa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA kwa miaka 12 (2003 - 2015) na kufanya kazi chini ya uenyekiti wa Freeman Mbowe anafichua siri ya vikao kati ya Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa CCM (Taifa) ambaye pia ni Rais wa JMT Bi. Samia Suluhu Hassan...

Dr Wilbroad Slaa anasema, amepewa taarifa na vijana wake ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa (TISS) juu ya kikao kati Rais Samia/CCM na Freeman Mbowe kujadili namna atakavyosaidiwa kushinda uenyekiti...

Anaendelea kusema kuwa, Rais Samia amekubali kumuongezea pesa Freeman Mbowe ili kugharamia mikakati ya ushindi wake na kwa hiyo wajumbe wajiandae kula pesa za bure za Samia Suluhu Hassan...

Aidha ameitahadharisha kambi ya Tundu Lissu kufahamu kuwa, Freeman Mbowe atapata msaada toka TISS, polisi na UVCCM wengi wataingia kama wajumbe wapiga kura na watavalishwa magwanda au jezi rasmi za CHADEMA...

Je, wajumbe 1,200 watashindwa kufahamiana na kudhibitiana ndani ya ukumbi? Timu Tundu Lissu fahamuni hili, jiandaeni kwa mapambano. Fanyeni kama TLS walivyofanya kumpigani Boniface Mwabukusi na kuibuka mshindi wa u - Rais wa TLS...

Hii vita ni ngumu mno, tunaomkubali Lissu na haya yanayoendelea yanaleta mashaka.

Lissu akifanikiwa kuivuka hii vita itakuwa historia, upinzani ni mkubwa sana.

Hii ni vita ya Lissu na serikali!
 
Back
Top Bottom