comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
hahaahhh - mkuu mbona ulishaahidiwa kupewa mojawapo ya nafasi hizo kama jamaa yule angeshinda 2015 na ukaanza shona sutiWakuu wa wilaya na mikoa ni vyeo ambavyo havina umuhimu wowote! Na hizi teuzi za miaka hii ndio imezidi kudhihirika ni vyeo vya ovyo! Labda ndio maana wanateuliwa watu wa 'hovyo'!