Balozi Hussein Katanga msaidie Rais ipasavyo, teuzi za Wakuu wa Wilaya kuna dosari kubwa

Balozi Hussein Katanga msaidie Rais ipasavyo, teuzi za Wakuu wa Wilaya kuna dosari kubwa

Chadema hakuna siku mtakuja kuwa na furaha maana nyuso zenu zimekunjamana tangu mfumo wa vyama vingi.Tuliwaonya kuwa Magufuli mlimuandama pasipo sababu mkasahau kwamba ccm ni ileile. Kwa tunaojua kuwa upinzani wa Tanzania ni utapeli flani, na kwamba ccm ni ile ile tunaendelea kula raha tukifurahia maisha.
Vipi kuhusu Ccm asili walioachwa wanajisikiaje
 
Uteuzi wa ma-DC chama kimeshiriki kwa kiasi kikubwa kumtengenezea mkeka mama, wameangalia hitilafu baada ya uchaguzi na kuziweka sawa !! U-DC umetumika kama reconciliation process ndani ya CCM... hii ndiyo advantage ya chama tawala kwa hii katiba yetu!!
 
Wanateua watu ambao jamii inajua kuwa walinunuliwa, Watu waliosaliti vyama vyao kwa fedha, wanawaacha watu ambao ni wasafi ndani ya CCM na nje ya CCM.

Uteuzi huu wa akina Nassari na Lijualikali ni wa ajabu sana!

How can you reward a sellout behaviour?
Nafikiri Kuna haja ya kuleta hoja ambazo zimethibitika. Hii ya kununuliwa Ni camouflage kuzuia mjadala mpana kwa nini watu walihama vyama vyao. Vyama viwajibike kutatua changamoto zao za ndani badala ya kutafuta kisingizio eti wamenunuliwa!?
Aidha unayemuambia wamenunuliwa anajua ukweli kuliko wewe unaeungaunga.
Isitoshe sio kila aliyehama amenunuliwa. Lowasa, Sumaye, Masha, Kingunge, Nyalandu,Mgeja, na wengine wengi walitoka CCM kwenda upinzani, JE WALINUNULIWA? ZITTO JE? MAALIM SEIF??
Wengi wa waliohama walipokelewa na kupewa fursa walikohamia Iwe CCM CHADEMA au ACT.
Labda nikushauri ukitaka kumsaidia na kumshawishi MAMA Ni kuweka hapa jukwaani USHAHIDI wa MANUNUZI.
Labda hujui tofauti ya kununuliwa na kushawishiwa ktk siasa.. hata Mbowe alipoona Lowassa Yuko njia panda alimpigia simu kumuomba ajiunga na CDM aendeleze mapambano. Zitto alimtafuta MEMBE wakayajenga... Haya yanatokea kwa sababu wanachama wamekwazana na CHAMA au viongozi wao na wamegundua Kuna vikwazo ktk kufikia ndoto na malengo yao.
Tuwe na uvumilivu unaeona hafai wengine wanaona anafaa
 
Mhe. Balozi Hussein Katanga, Katibu Mkuu Kiongozi, nakuomba na kukusihi sana msaidie ipasavyo Mhe. Rais kutekeleza majukumu yake. Nimefuatilia teuzi za U DC kuna dosari kubwa.

Kuna uwezekano makundi fulani yenye maslahi yanapenyeza ajenda zao katika teuzi hizo na yanakushinda nguvu wewe kama Mkuu wa Utumishi wa Umma.

Mambo ya teuzi za ovyo yalianza zama za mwendazake na sasa mama naye kaanza kuyarudia japo teuzi zake za mwanza zilionyesha matumaini.

Nakusihi sana KMK, msaidie Mhe. Rais teuzi zifanyike kulinda hadhi ya ofisi husika. Vinginevyo hadhi ya Mamlaka ya Uteuzi na Ofisi inashuka.
Unasema teuzi za ovyo ovyo lakini haujawa specific kuonyesha nani na nani ni teuzi za ovyo na kwa sababu zipi hao watu ni teuzi za ovyo. 😂
 
Mhe. Balozi Hussein Katanga, Katibu Mkuu Kiongozi, nakuomba na kukusihi sana msaidie ipasavyo Mhe. Rais kutekeleza majukumu yake. Nimefuatilia teuzi za U DC kuna dosari kubwa.

Kuna uwezekano makundi fulani yenye maslahi yanapenyeza ajenda zao katika teuzi hizo na yanakushinda nguvu wewe kama Mkuu wa Utumishi wa Umma.

Mambo ya teuzi za ovyo yalianza zama za mwendazake na sasa mama naye kaanza kuyarudia japo teuzi zake za mwanza zilionyesha matumaini.

Nakusihi sana KMK, msaidie Mhe. Rais teuzi zifanyike kulinda hadhi ya ofisi husika. Vinginevyo hadhi ya Mamlaka ya Uteuzi na Ofisi inashuka.
Cheo kizima cha Mkuu wa Wilaya hakina tija. Kina msururu wa watu wengine wanaoweza kufanya kazi za hicho cheo.

Ndiyo maana kimebaki kuwa sehemu ya kulipia fadhila za siasa na sehemu ya kuchomeka watu wenye connection bila ya kuwa na kazi za maana.
 
Ina maana hujui kuwa Nassari alifukuzwa bungeni kwa utovu wa kutohudhuria vikao huku akiendelea kula pesa za wananchi kama mshahara?. Mtu kama huyo anafaaje kuwa kiongozi?
Cdm nilishawambia siku nyingi,mlishindwa kutumia nafasi ya akina pilepole walipoanza kununua wapizani ku inflitrate ccm na kupandikiza plants humo,,saa hizi hao kina Nasari ,msando,etc wangekuwa watu wenu ndani ya system,,badala mgewatumia nyie mka cultivate hostility nao,,
Hivi mnadhani Nasari moyoni ,deep down ni ccm yule?,
 
Wasomi mtaani wenye sifa wameisha hadi wanaokoteza.Si wangeenda hata UD wakachukue graduates.Nafasi ya u DC imekosa hadhi kabisa
 
Kuitukana ccm kuna lipa Sana.Wote waliopunguza kura za ccm wakiwa chadema leo wamepewa ajira.

IMG-20210621-WA0047.jpg
 
Mhe. Balozi Hussein Katanga, Katibu Mkuu Kiongozi, nakuomba na kukusihi sana msaidie ipasavyo Mhe. Rais kutekeleza majukumu yake. Nimefuatilia teuzi za U DC kuna dosari kubwa.

Kuna uwezekano makundi fulani yenye maslahi yanapenyeza ajenda zao katika teuzi hizo na yanakushinda nguvu wewe kama Mkuu wa Utumishi wa Umma.

Mambo ya teuzi za ovyo yalianza zama za mwendazake na sasa mama naye kaanza kuyarudia japo teuzi zake za mwanza zilionyesha matumaini.

Nakusihi sana KMK, msaidie Mhe. Rais teuzi zifanyike kulinda hadhi ya ofisi husika. Vinginevyo hadhi ya Mamlaka ya Uteuzi na Ofisi inashuka.
Unahoja ila Mambo haya alianzisha Kikwete Kila mwenye sura nzuri,au aliyejazia kwa nyuma ukuu wa wilaya ulimhusu,labda Kama hakutiwa kwenye macho na amiri jeshi mkuu was wakati ule.
 
Mhe. Balozi Hussein Katanga, Katibu Mkuu Kiongozi, nakuomba na kukusihi sana msaidie ipasavyo Mhe. Rais kutekeleza majukumu yake. Nimefuatilia teuzi za U DC kuna dosari kubwa.

Kuna uwezekano makundi fulani yenye maslahi yanapenyeza ajenda zao katika teuzi hizo na yanakushinda nguvu wewe kama Mkuu wa Utumishi wa Umma.

Mambo ya teuzi za ovyo yalianza zama za mwendazake na sasa mama naye kaanza kuyarudia japo teuzi zake za mwanza zilionyesha matumaini.

Nakusihi sana KMK, msaidie Mhe. Rais teuzi zifanyike kulinda hadhi ya ofisi husika. Vinginevyo hadhi ya Mamlaka ya Uteuzi na Ofisi inashuka.
Hii kazi JK aliiweza sn
 
Cdm nilishawambia siku nyingi,mlishindwa kutumia nafasi ya akina pilepole walipoanza kununua wapizani ku inflitrate ccm na kupandikiza plants humo,,saa hizi hao kina Nasari ,msando,etc wangekuwa watu wenu ndani ya system,,badala mgewatumia nyie mka cultivate hostility nao,,
Hivi mnadhani Nasari moyoni ,deep down ni ccm yule?,
Tunaongea kama wananchi, hayo mambo ya CDM vs CCM baki nayo nyie wenyewe, kwani sisi hatujui kuwa Bashiru alikuwa CUF?, Haya mavyama ni vehicle tu za madaraka, mwanasiasa yuko tayari kwenda chama chochore ilimradi madaraka. Ishu haa i kuwa anakwendaje huko, baada ya kuwaibia wananchi, kununuliwa au yeye mwenyewe tu kiroho safi?
 
Wakuu wa wilaya na mikoa ni vyeo ambavyo havina umuhimu wowote! Na hizi teuzi za miaka hii ndio imezidi kudhihirika ni vyeo vya ovyo! Labda ndio maana wanateuliwa watu wa 'hovyo'!
Uko sahihi tokea teuzi zianze kuwa za aina ya kina Bashite na Chalamix na kina Sabaya, Kasesela na Kihongosi, binafsi hiyo nafsi nimeona ni za hadhi ya chini SANA.

Naheshimu DAS, RAS, PS lakini nazo tunakoelekea hata Pierre Liquid aweza teuliwa.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Mhe. Balozi Hussein Katanga, Katibu Mkuu Kiongozi, nakuomba na kukusihi sana msaidie ipasavyo Mhe. Rais kutekeleza majukumu yake. Nimefuatilia teuzi za U DC kuna dosari kubwa.

Kuna uwezekano makundi fulani yenye maslahi yanapenyeza ajenda zao katika teuzi hizo na yanakushinda nguvu wewe kama Mkuu wa Utumishi wa Umma.

Mambo ya teuzi za ovyo yalianza zama za mwendazake na sasa mama naye kaanza kuyarudia japo teuzi zake za mwanza zilionyesha matumaini.

Nakusihi sana KMK, msaidie Mhe. Rais teuzi zifanyike kulinda hadhi ya ofisi husika. Vinginevyo hadhi ya Mamlaka ya Uteuzi na Ofisi inashuka.

Mama alishasema Rais hakosei sasa sijui hukumuelewa
 
Mhe. Balozi Hussein Katanga, Katibu Mkuu Kiongozi, nakuomba na kukusihi sana msaidie ipasavyo Mhe. Rais kutekeleza majukumu yake. Nimefuatilia teuzi za U DC kuna dosari kubwa.

Kuna uwezekano makundi fulani yenye maslahi yanapenyeza ajenda zao katika teuzi hizo na yanakushinda nguvu wewe kama Mkuu wa Utumishi wa Umma.

Mambo ya teuzi za ovyo yalianza zama za mwendazake na sasa mama naye kaanza kuyarudia japo teuzi zake za mwanza zilionyesha matumaini.

Nakusihi sana KMK, msaidie Mhe. Rais teuzi zifanyike kulinda hadhi ya ofisi husika. Vinginevyo hadhi ya Mamlaka ya Uteuzi na Ofisi inashuka.
DC majukumu yake ni kuhamasisha utendaji kazi, kuratibu shughuli za kiserikali kama mapokezi ya viongizi, kuzuia migogoro ya kivikundi. Ni majukumu ambayo yanaweza kuwa embedded kwa DED.

DC ni nafasi iliyorithiwa kutoka mfumo wa kikoloni wa indirect rule. Katiba mya ya wananchi rasimu ya Warioba ilipendekeza nafasi kama hii kufutwa. Viongozi wa watu wanapaswa kutokana na watu wenyewe kama walivyo kwenye nchi jirani ya Kenya.

Kwangu mimi na watu makini nafasi hii imekuwa ikitumika kama shukrani kwa baadhi ya watu ambao wamemsaidia Mteuzi au Chama Tawala.

Ningeona vizuri tupaze sauti KUFUTA nafasi za ma DC kuliko kuanza kuangalia nani kapewa u- DC
 
Tunaongea kama wananchi, hayo mambo ya CDM vs CCM baki nayo nyie wenyewe, kwani sisi hatujui kuwa Bashiru alikuwa CUF?, Haya mavyama ni vehicle tu za madaraka, mwanasiasa yuko tayari kwenda chama chochore ilimradi madaraka. Ishu haa i kuwa anakwendaje huko, baada ya kuwaibia wananchi, kununuliwa au yeye mwenyewe tu kiroho safi?
Huyo unayemuelewesha ana lunacy ya level ya juu sana, kila kitu au kila mtu anayechangia hapa ye anaona ni chadema tu sijui ana akili ya aina gani
 
Wanateua watu ambao jamii inajua kuwa walinunuliwa, Watu waliosaliti vyama vyao kwa fedha, wanawaacha watu ambao ni wasafi ndani ya CCM na nje ya CCM.

Uteuzi huu wa akina Nassari na Lijualikali ni wa ajabu sana!

How can you reward a sellout behaviour?
Ushahidi wa mauzo yao unao?
Je kama walikuwa wakala wa ccm ndani ya cdm na wamemaliza mission waachwe kivipi?

Tulisema kama cdm ilijaa kiasi kile watu wanaonunulika basi hata waliopo hawajafika bei ya kununuliwa humu ndani au nje ya nchi.

Muacheni Mama ateue aonavyo hata walioko upinzani walikuwa ccm na hujaona kadi kuzirudisha walipohama
 
Wakuu wa wilaya na mikoa ni vyeo ambavyo havina umuhimu wowote! Na hizi teuzi za miaka hii ndio imezidi kudhihirika ni vyeo vya ovyo! Labda ndio maana wanateuliwa watu wa 'hovyo'!
Kama nani?
 
Back
Top Bottom