Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Maslahi ya umma ndo amuweke Nassari aliyefukuzwa bungeni kwa kutohudhuria vikao huku akila mshahara kodi za wananchi?Kuna mashabiki na kuna umma. Tutofautishe viwili hivi.
Mama anafanya kazi kwa maslahi ya Umma sio maslahi ya mashabiki
Labda kama unadhani umma unavumilia dharau