hahaahhh - mkuu mbona ulishaahidiwa kupewa mojawapo ya nafasi hizo kama jamaa yule angeshinda 2015 na ukaanza shona sutiWakuu wa wilaya na mikoa ni vyeo ambavyo havina umuhimu wowote! Na hizi teuzi za miaka hii ndio imezidi kudhihirika ni vyeo vya ovyo! Labda ndio maana wanateuliwa watu wa 'hovyo'!
Weka ushahidi wa kununuliwaWanateua watu ambao jamii inajua kuwa walinunuliwa, Watu waliosaliti vyama vyao kwa fedha, wanawaacha watu ambao ni wasafi ndani ya CCM na nje ya CCM.
Uteuzi huu wa akina Nassari na Lijualikali ni wa ajabu sana!
How can you reward a sellout behaviour?
Lileta ada linasema Ujinga huu ulianzia kwa mwendazake!Rais hajakosea, hivyo vyeo vipo kwa ajili ya kuliwazana wote wanaoipenda CCM na kujipendekeza huko, ni vyeo vya zawadi kwa wote walio na uhusiano na CCM, hili limekuwa likifanyika miaka yote na watangulizi wote wa Samia, tatizo naloliona hapa watu walitaka Samia ateue wanaowapenda wao, na awaache wasiowapenda, hili ndio tatizo.
Kazi ya Rais wa JMT kwa asilimia 90 ni KUTEUA na KUTENGUA.Balozi katanga amekuwa Japan muda mrefu, alikuwa anamfahamu Joshua nasari kuwa alifukuzwa ubunge na spika wa CCM na sasa CCM inamteua kuwa DC kupitia CCM? Ninashauri Katiba mpya ipatikane,Rais anayejua tangu mwezi March 2021 Hadi sasa ni July hajamaliza kuteua,Bado maDED Bado madas mwaka unaisha anayejua tu hakuna kazi nyingine. Katibu mpya DC na Rc wachaguliwe na wananchi wa maeneo husika. Badala ya wilaya kuletea mtu wasiye mtujua tena kwa maslahi ya chama Fulani.
Tutaonana 2025Kazi ya Rais wa JMT kwa asilimia 90 ni KUTEUA na KUTENGUA.
Jiwe mpaka kafa ANATEUA na KUTENGUA.
Kuteuana ?Tutaonana 2025
Uchaguzi mkuuKuteuana ?
Dola itakaa pembeni au itaingia front ?Uchaguzi mkuu
Nchi inaongozwa na Dola au demokrasia?Dola itakaa pembeni au itaingia front ?
👍Hata mimi nimehisi hizi teuzi zina mkono wa lile genge.
Kuna kaujinga kanafanyika chini kwa chini bila mama kujua.
Lakini tulishauri awafutilie magenge mbali kwani wao hawatamkubali kamwe hata awafanyie nini.
Hajakutuma umshabikie.Nimeacha kumshabikia raisat wenu habebeki wala haeleweki
Endeleeni kumdanganya ,mwisho wake mitandaoni yatajaa maneno ya ajabu. Akamuulize JKHajakutuma umshabikie.
Ni kiherehere chako tu. Kwanza rais hana shida na mashabiki.
Usimdanganye rais, Umma ukimkataa atapata tabu sana.Hajakutuma umshabikie.
Ni kiherehere chako tu. Kwanza rais hana shida na mashabiki.
Kuna mashabiki na kuna umma. Tutofautishe viwili hivi.Usimdanganye rais, Umma ukimkataa atapata tabu sana.
Sasa ndiyo nini kwenda kuteua watovu wa nidhamu waliofukuzwa bungeni kama akina Nassari?
Tuorodheshee majukumu ya hao viongozi tuone kma hayana umuhimuWakuu wa wilaya na mikoa ni vyeo ambavyo havina umuhimu wowote! Na hizi teuzi za miaka hii ndio imezidi kudhihirika ni vyeo vya ovyo! Labda ndio maana wanateuliwa watu wa 'hovyo'!
uonyeshwe kama naniOnyesha hizo dosari basi tuzione.