Balozi Hussein Katanga msaidie Rais ipasavyo, teuzi za Wakuu wa Wilaya kuna dosari kubwa

Wakuu wa wilaya na mikoa ni vyeo ambavyo havina umuhimu wowote! Na hizi teuzi za miaka hii ndio imezidi kudhihirika ni vyeo vya ovyo! Labda ndio maana wanateuliwa watu wa 'hovyo'!
hahaahhh - mkuu mbona ulishaahidiwa kupewa mojawapo ya nafasi hizo kama jamaa yule angeshinda 2015 na ukaanza shona suti
 
Weka ushahidi wa kununuliwa
 
Lileta ada linasema Ujinga huu ulianzia kwa mwendazake!
 
Kazi ya Rais wa JMT kwa asilimia 90 ni KUTEUA na KUTENGUA.

Jiwe mpaka kafa ANATEUA na KUTENGUA.
 
Hata mimi nimehisi hizi teuzi zina mkono wa lile genge.
Kuna kaujinga kanafanyika chini kwa chini bila mama kujua.
Lakini tulishauri awafutilie magenge mbali kwani wao hawatamkubali kamwe hata awafanyie nini.
 
Hata mimi nimehisi hizi teuzi zina mkono wa lile genge.
Kuna kaujinga kanafanyika chini kwa chini bila mama kujua.
Lakini tulishauri awafutilie magenge mbali kwani wao hawatamkubali kamwe hata awafanyie nini.
👍
 
Kwa mtazamo wangu hao maDC na RC hawahitajiki ni matumizi mabaya ya pesa ya umma wamekuwa kama wenyeviti wa CCM wa maeneo hayo maana ni lazima wawe wafia chama. Hawana umuhimu sababu tayari wenyeviti wa CCM wapo katika maeneo hayo. Tuokoe matumizi haya mabaya ya pesa. Kama tunahitaji wachaguliwe na wananchi au zianishwe Sifa za kuwa DC au RC kwakuwa hiyo ni ajira katika ofisi ya umma. Hivi ilivyo hakuna haja ya kuwa nao ndiyo wanaochangia kukwamisha tusipata maendeleo maana kila kitu kwao kimekuwa ni siasa tu.
 
Usimdanganye rais, Umma ukimkataa atapata tabu sana.

Sasa ndiyo nini kwenda kuteua watovu wa nidhamu waliofukuzwa bungeni kama akina Nassari?
Kuna mashabiki na kuna umma. Tutofautishe viwili hivi.

Mama anafanya kazi kwa maslahi ya Umma sio maslahi ya mashabiki
 
Wakuu wa wilaya na mikoa ni vyeo ambavyo havina umuhimu wowote! Na hizi teuzi za miaka hii ndio imezidi kudhihirika ni vyeo vya ovyo! Labda ndio maana wanateuliwa watu wa 'hovyo'!
Tuorodheshee majukumu ya hao viongozi tuone kma hayana umuhimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…