Balozi Ombeni Sefue alivyotimuliwa Ikulu kibabe usiku wa manane

Balozi Ombeni Sefue alivyotimuliwa Ikulu kibabe usiku wa manane

Hapa hatumuongelei JK, be concise.
JK is just a variable in my concept.Ukimtoa nyerere kwamfano ni na rais gani ambaye alikua na wonders upstairs.??mbona ni wa kawaida tuu wote hao akina mkapa akina mwinyi !!sasa chakumuonea magufuli nikipi kuhusu ishu ya darasa?
By the way Darasa ni formalities tu but we consider alot when it comes to inteligence.

NB
Mimi sio wala sijawah kuwa shabiki wa Magufuli.
 
JK is just a variable in my concept.Ukimtoa nyerere kwamfano ni na rais gani ambaye alikua na wonders upstairs.??mbona ni wa kawaida tuu wote hao akina mkapa akina mwinyi !!sasa chakumuonea magufuli nikipi kuhusu ishu ya darasa?
By the way Darasa ni formalities tu but we consider alot when it comes to inteligence.

NB
Mimi sio wala sijawah kuwa shabiki wa Magufuli.
Anxisha mjadala huo kwa thread ya kwako tofauti na hii.
Hapa tunaongelea a sick man who does not sleep at all(dalili za schizophrenia)
 
Shida ya watanzania wengi na wewe ukiwemo tunapenda ya kuambiwa na unafiki sio kufanya reasoning ndo maana tunabaki kuwa chawa na kuwa mashabiki wakati kila siku tunaumia.Kwa critical thinking yako unafikiri JPM angefanyaje kwa sinario ile kwa kuzingatia nafasi za wahusika ktk jamii.??jaribu kuwa neutral yaani keep other constant.Kwa taaarifa yako hakuna critical thinker na philosopher aliyetegemea credit za kwenda chuo kikuu kufanya kazi zake.Na mifano hai hipo wanasayansi na wavumbuzi kama bill gate na wengine waliona elimu ya chuo kikuu ni upumbavu.Kwahiyo naendelee Kukwambia Magufuli ni moja ya watu muhimu duniani hata kama sio leo kwa kizazi hiki cha nyoka(wanafiki),vizazi vinavyofata vita realize na watatafuta habari zake bila force.
Tunamfahamu JPM toka akiwa ujenzi.
Kichaa chake hakikuanza jana.
Ulizia mtu yeyote wa ujenzi siku ya kwanza kuingia wizarani alipoteuliwa akiwa waziri mdogo ujenzi alifanya nini.
The guy was schizophrenic.
 
Baada ya JPM kuingia madarakani kama tunavyokumbuka alichelewa kuunda serikali yake,

Kwa majuma kadhaa wlifanya kazi yeye na PM Kassim Majaliwa na Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue.

Kombinesheninilikuwa tamu mpaka watu wakaona hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri.

Sasa bas huyu Katibu Ombeni Sefue alikuwa amemrithi toka kwa Jk,na nadhani alijisahau akaendelea kuwa mwaminifu kwa JK na jPM kwa wakati mmoja.

Jpm kitu cha kwanza ilikuwa kuhack simu za watu wake,alifunga hadi vinasa sauti kwenye magari yao bila kujijua

Kuna siku KMK akapigiwa simu na mstaafu kuhusu jamaa anavyoendesha nchi,KMK akaanza kumwaga siri.
Ikumbukwe Rais mpya alikuwa akilala saa nane au tisa anasikiliza simu za watu aliowatarget.

La haula akayanasa mazungumzo ya Katibu na mstaafu usiku mnene.

Palepale akampigia simu katibu kuwa YOU ARE FIRED,usiku huohuo akateua katibu mpya
Sasa ulitaka akae pale mpaka lini?,hata katika nchi kama USA,uongozi mpya ukiingia,unabadirisha mpaka msemaji wa Ikulu!!,ndio kawaida,
 
Nchi baada ya kipindi flani inabidi ipate Rais kama Magufuli,maana kuna watu walijisahau wakajiona wana hati miliki ya nchi
Tanzania haiwez kamwe kuongozwa na chiizi, sasaivi chama tunaweka kipengele Cha wagombea wote kupimwa afya ya akili kabla, na isitoshe kwenda kupekua milembe Kama hamna faili la huyo mgombea,

Isije tukateua mwehu akaua watu wetu nakujitia kibiriti akiwa ikulu, never
 
Tanzania haiwez kamwe kuongozwa na chiizi, sasaivi chama tunaweka kipengele Cha wagombea wote kupimwa afya ya akili kabla, na isitoshe kwenda kupekua milembe Kama hamna faili la huyo mgombea,

Isije tukateua mwehu akaua watu wetu nakujitia kibiriti akiwa ikulu, never
🤣🤣Mtaweza?maneno tu hayo
 
Mkapa alitaka kumpa Urais JK? Nyerere alitaka kumpa Urais Mwinyi? Mwinyi alitaka kumpa Urais Mkapa? Rais hana nguvu hiyo ya kuamua! Kuna maeneo mamlaka yake inaishia ...

..Ni kwasababu Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete, walikuwa na kiwango fulani cha utu.

..Magufuli alikuwa hana utu, hakuona aibu kutumia mabavu na ukatili kupitisha maamuzi yake.
 
Safi sana. Ujinga wa usaliti kwani nani anautaka? Jpm (rip) hayupo, basi arudi kwa Kikwete wake akabembeleze ili ateuliwe tena.
 
Ndio maana kiongozi mpya akija hushauriwa akaja na team yake, hili la kuridhi watendaji nyeti kama hao sidhani kama ni vizuri. Ona Marekani wanavyofanya kila Rais anakuja na Team yake mpya.
 
Kama ni kweli, rais alivunja sheria. Watu wana haki ya kikatiba ya kuwa na faragha zao, na kama kuna haja ya kuiingilia faragha hiyo, kuna mchakato mrefu wa kimahakama wa kufanya hivyo.

Hii habari ya Katibu Mkuu Kiongozi kuwasiliana sana na rais aliyepita ilimpomza pia Katibu Mkuu Kiongozi Timothy Apiyo ambaye alikuwa anawasikiana sana na Nyerere kutoa habari za rais mpya Mwinyi, mpqka rais Mwinyi akaamua kumtoa Timothy Apiyo na kumuweka Balozi Paul Rupia kuwa Katibu Mkuu Kiongozi mpya.
 
Jiwe alikuwa anajua anachofanya... Na alijua kuna watu nitawaumiza hasa... Hivyo aliamua kujihami katika kusikiliza maongezi ya watu... Hasa suala la usalama wake ili kama watu wanapanga ishu yoyote ajue mapema...

Alipenda kujua mambo binafsi ya watu... Una miliki nini.. Unamzungumziaje... Nk
Alikosea kuonyesha wazi kwamba nawadukua.. Watu wakabadili mbinu ikawa face to face au signal
Hapa jiwe alibugi
 
..Ni kwasababu Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete, walikuwa na kiwango fulani cha utu.

..Magufuli alikuwa hana utu, hakuona aibu kutumia mabavu na ukatili kupitisha maamuzi yake.
Nyerere kwenye utu muondoe kabisa,
Kwenye ukatili jiwe alikua Nafuu Sana,
Otherwise utwambie wewe Ni mtoto wa juzi kizazi Cha mkapa kuendelea
 
..Ni kwasababu Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete, walikuwa na kiwango fulani cha utu.

..Magufuli alikuwa hana utu, hakuona aibu kutumia mabavu na ukatili kupitisha maamuzi yake.
Nyerere kwenye utu muondoe kabisa,
Kwenye ukatili jiwe alikua Nafuu Sana,
Otherwise utwambie wewe Ni mtoto wa juzi kizazi Cha mwinyi, mkapa kuendelea
 
Back
Top Bottom