Balozi Ombeni Sefue alivyotimuliwa Ikulu kibabe usiku wa manane

Balozi Ombeni Sefue alivyotimuliwa Ikulu kibabe usiku wa manane

Nyerere kwenye utu muondoe kabisa,
Kwenye ukatili jiwe alikua Nafuu Sana,
Otherwise utwambie wewe Ni mtoto wa juzi kizazi Cha mkapa kuendelea

..basi Kanisa Katoliki limtangaze Magufuli kuwa Mtakatifu maana Mwalimu Nyerere yeye ni Mwenyeheri.
 
Dawa jiwe alikuwa mkabila sana, kumbe zile ajira zote alikuwa anaajiri wasukuma TU. Connection zote zilikuwa kwao
 
Msa
Isingeshindikana ila jua aliyemuweka pale sio uyo alie muweka pale alikua yule mmakonde mbabe mwenzake ila msonga ye alikua na kina maembe na yule dogo JANU hata wao hawakua chaguo chaguo ni yule alokatwa ndo akawekwa mwenda , sema msoga hua anakili sana maana mifumo yake huwezi kuipindisha kirahisi na anaweza kulicheza draft hatari tena bila atakuwepo mchezoni alipoona kashidwa kumweka mkuu akasema msadizi awe mzanzibar ndo maana waliweza kumzunguka mwendazake na team yake na kuwamaliza hadi sasa sbabu yule ni mafya anayetabasamu na muda ndo utaongea.

Ogopa walichofanyiwa kina babu seya docta olimboka na wengjne huwez kuona ushahid sehem yoyote wala kelele, mwenda zake ye hakua anajua kulicheza draft na watu wateam yake walikua walipukaji ndo maana alishidwa iyo vita.
Msaidiz kuwa mzanzibar ni takwa la kikatiba..tafuta porojo zingne
 
Jiwe alikuwa anajua anachofanya... Na alijua kuna watu nitawaumiza hasa... Hivyo aliamua kujihami katika kusikiliza maongezi ya watu... Hasa suala la usalama wake ili kama watu wanapanga ishu yoyote ajue mapema...

Alipenda kujua mambo binafsi ya watu... Una miliki nini.. Unamzungumziaje... Nk
Alikosea kuonyesha wazi kwamba nawadukua.. Watu wakabadili mbinu ikawa face to face au signal
Au Whatsapp call
 
Ndio maana kiongozi mpya akija hushauriwa akaja na team yake, hili la kuridhi watendaji nyeti kama hao sidhani kama ni vizuri. Ona Marekani wanavyofanya kila Rais anakuja na Team yake mpya.
Ni kweli kabisa maana mtu anajikuta anamtumikia aliyemteua na mpya
 
Kama ni kweli, rais alivunja sheria. Watu wana haki ya kikatiba ya kuwa na faragha zao, na kama kuna haja ya kuiingilia faragha hiyo, kuna mchakato mrefu wa kimahakama wa kufanya hivyo.

Hii habari ya Katibu Mkuu Kiongozi kuwasiliana sana na rais aliyepita ilimpomza pia Katibu Mkuu Kiongozi Timothy Apiyo ambaye alikuwa anawasikiana sana na Nyerere kutoa habari za rais mpya Mwinyi, mpqka rais Mwinyi akaamua kumtoa Timothy Apiyo na kumuweka Balozi Paul Rupia kuwa Katibu Mkuu Kiongozi mpya.
Kuhusu kudukua jiwe kawadukua sana watu wake tena akikudukua hafichi siku akihutubia anachomekea ulivyokuwa unaongea,yalipomshinda akaamua kuachia voice note za akina makamba,nape aliogopa mpaka akaenda kumpigia magoti ikulu
 
Msa

Msaidiz kuwa mzanzibar ni takwa la kikatiba..tafuta porojo zingne

Nimezungumzia mtu(character) sijazungumzia nafasi wala eneo, alafu sipendi watu wenye mihemko(wafuasi) napenda watu neutral ndo naduscuss nao na tuelemishane.
 
Kuhusu kudukua jiwe kawadukua sana watu wake tena akikudukua hafichi siku akihutubia anachomekea ulivyokuwa unaongea,yalipomshinda akaamua kuachia voice note za akina makamba,nape aliogopa mpaka akaenda kumpigia magoti ikulu
Alikuwa anaogopa kivuli chake tu. Ni tabia ya watawala wengi wajinga wanaotaka kuongoza kwa mabavu.

Hakujiamini kwamba anaweza kuwa kiongozi bila kudukua wengine.
 
Kama ni kweli, rais alivunja sheria. Watu wana haki ya kikatiba ya kuwa na faragha zao, na kama kuna haja ya kuiingilia faragha hiyo, kuna mchakato mrefu wa kimahakama wa kufanya hivyo.

Hii habari ya Katibu Mkuu Kiongozi kuwasiliana sana na rais aliyepita ilimpomza pia Katibu Mkuu Kiongozi Timothy Apiyo ambaye alikuwa anawasikiana sana na Nyerere kutoa habari za rais mpya Mwinyi, mpqka rais Mwinyi akaamua kumtoa Timothy Apiyo na kumuweka Balozi Paul Rupia kuwa Katibu Mkuu Kiongozi mpya.
Acha kuandika mambo usiyoyajua hasa kuandika mambo ya watu ambao hawawezi kujitetea kwa sababu wamekwisha tangulia mbele za haki. Itachukua miaka mingi kuja kumpata Kiongozi Mkuu wa Utumishi Serikalini na Katibu wa Baraza la Mawaziri kiwango cha Timothy Apiyo; ambaye alikuwa anathubutu kumwelimisha hata Rais akikosea kuhusu utaratibu au akionekana kama anataka kuvunja sheria au Katiba! Siyo waoga wa wanaomwacha Rais akosee au avunje Sheria wakati Rais ndiye raia namba moja nchini na ndiye msimamizi mkuu wa Katiba na sheria zake. Ukiwa na Katibu Mkuu lele mama uwezekano wa kumfanya Rais kuwa mhalifu ni mkubwa. Soma historia yetu ya hivi karibuni!!
 
Alikuwa mwanaume amemaliza mwendo aachwe apumzikeHISTORIA. NI nwl mzuri KILA MTU AANDIKE YAKE
 
..Ni kwasababu Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete, walikuwa na kiwango fulani cha utu.

..Magufuli alikuwa hana utu, hakuona aibu kutumia mabavu na ukatili kupitisha maamuzi yake.
Asante, hivyo JK hakumuweka JPM ikulu
 
Ukweli ni kwamba Magufuli alikuwa na akili sana kwa hili.Alifanya kama ilivyofanya kwa hawa watu kama hadhabu na ni hadhabu ambayo inawasumbua mpaka leo kitaalamu inaitwa SILENT KILLER POISON.Na kama angeamua kuwashughulikia bila ile hatua ingemuhitaji muda mwingi kujieleza ili kueleweka kwa wananchi kuhusu kinacho endelea chini ya kapete na wao wangefurukuta vilivyo.Ila baada ya hile SMART ACTION wote waliohusika walinywea kama Ngamia anasubiri kuchinjwa.Ni nikwambie ukweli mpaka leo hao watu wana SYCHOLOCAL CONFLICT na watajitahidi sana kufurukuta ila kurudi sawa sio leo wala kesho hiyo historia imeishandikwa may be wastaafu siasa na wakae kimya daima out of that is nothing.
Mkuu:
Hiyo ndio Siasa, kwani Siasa haina majuto, Mwanasiasa hubadilika kama kinyonga, hii ni kwa watu na hata kwa nchi. Mifano hai ni akina Mandela na Raila Odinga walifungwa eventually walikuja kuwa marafiki na wale maadui zao. Hata Marekani nae hana rafiki/adui wa kudumu.
 
Acha kuandika mambo usiyoyajua hasa kuandika mambo ya watu ambao hawawezi kujitetea kwa sababu wamekwisha tangulia mbele za haki. Itachukua miaka mingi kuja kumpata Kiongozi Mkuu wa Utumishi Serikalini na Katibu wa Baraza la Mawaziri kiwango cha Timothy Apiyo; ambaye alikuwa anathubutu kumwelimisha hata Rais akikosea kuhusu utaratibu au akionekana kama anataka kuvunja sheria au Katiba! Siyo waoga wa wanaomwacha Rais akosee au avunje Sheria wakati Rais ndiye raia namba moja nchini na ndiye msimamizi mkuu wa Katiba na sheria zake. Ukiwa na Katibu Mkuu lele mama uwezekano wa kumfanya Rais kuwa mhalifu ni mkubwa. Soma historia yetu ya hivi karibuni!!
Jaribu kusoma kwa ufahamu. Halafu tumia mantiki katika fikra zako.

Nimeandika facts. Hayo mengine ya kuhusu Apiyo alikuwa na uzuri gani wala sijagusia.

Fact ni kwamba Timothy Apiyo alitolewa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi na Rais Ali Hassan Mwinyi kwa sababu hii hii ya kuwa anampelekea Rais wa awali, Julius Nyerere, habari nyeti za Ikulu.

Mwinyi akamuondoa Timothy Apiyo, akamuweka Balozi Paul Rupia kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.

These are the facts. Mimi najua kwa sababu wakati huo Mama yangu alikuwa anafanya kazi Ikulu. Hizi si habari za magazetini.

Sasa, these are the facts of the case. Huko kwingine kwenye utendaji wa Apiyo, uzuri wake, etc, mimi sijagusa.

Tunaweza kuongelea these facts? Unabisha kwamba Apiyo hakutolewa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi na Mwinyi kwa sababu nilizozisema?

Naona umefanya logical non sequitur ku conclude kwamba mtu ambaye sehemu nyingine ana utendaji mzuri sana hawezi kuingia katika mtego wa personal loyalty kwa rais mmoja akampa habari kinyume na utaratibu rais wa awali.

This is a logical non sequitur fallacy.

You are connecting two things that have no connection.
 
Baada ya JPM kuingia madarakani kama tunavyokumbuka alichelewa kuunda serikali yake,

Kwa majuma kadhaa wlifanya kazi yeye na PM Kassim Majaliwa na Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue.

Kombinesheninilikuwa tamu mpaka watu wakaona hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri.

Sasa bas huyu Katibu Ombeni Sefue alikuwa amemrithi toka kwa Jk,na nadhani alijisahau akaendelea kuwa mwaminifu kwa JK na jPM kwa wakati mmoja.

Jpm kitu cha kwanza ilikuwa kuhack simu za watu wake,alifunga hadi vinasa sauti kwenye magari yao bila kujijua

Kuna siku KMK akapigiwa simu na mstaafu kuhusu jamaa anavyoendesha nchi,KMK akaanza kumwaga siri.
Ikumbukwe Rais mpya alikuwa akilala saa nane au tisa anasikiliza simu za watu aliowatarget.

La haula akayanasa mazungumzo ya Katibu na mstaafu usiku mnene.

Palepale akampigia simu katibu kuwa YOU ARE FIRED,usiku huohuo akateua katibu mpya
Kwa hiyo na wewe ulikuwa umemhack jpm? Mpaka utuletee huu umbeya?
 
Back
Top Bottom