Balozi Ombeni Sefue alivyotimuliwa Ikulu kibabe usiku wa manane

Nyerere kwenye utu muondoe kabisa,
Kwenye ukatili jiwe alikua Nafuu Sana,
Otherwise utwambie wewe Ni mtoto wa juzi kizazi Cha mkapa kuendelea

..basi Kanisa Katoliki limtangaze Magufuli kuwa Mtakatifu maana Mwalimu Nyerere yeye ni Mwenyeheri.
 
Dawa jiwe alikuwa mkabila sana, kumbe zile ajira zote alikuwa anaajiri wasukuma TU. Connection zote zilikuwa kwao
 
Msa
Msaidiz kuwa mzanzibar ni takwa la kikatiba..tafuta porojo zingne
 
Au Whatsapp call
 
Ndio maana kiongozi mpya akija hushauriwa akaja na team yake, hili la kuridhi watendaji nyeti kama hao sidhani kama ni vizuri. Ona Marekani wanavyofanya kila Rais anakuja na Team yake mpya.
Ni kweli kabisa maana mtu anajikuta anamtumikia aliyemteua na mpya
 
Kuhusu kudukua jiwe kawadukua sana watu wake tena akikudukua hafichi siku akihutubia anachomekea ulivyokuwa unaongea,yalipomshinda akaamua kuachia voice note za akina makamba,nape aliogopa mpaka akaenda kumpigia magoti ikulu
 
Msa

Msaidiz kuwa mzanzibar ni takwa la kikatiba..tafuta porojo zingne

Nimezungumzia mtu(character) sijazungumzia nafasi wala eneo, alafu sipendi watu wenye mihemko(wafuasi) napenda watu neutral ndo naduscuss nao na tuelemishane.
 
Kuhusu kudukua jiwe kawadukua sana watu wake tena akikudukua hafichi siku akihutubia anachomekea ulivyokuwa unaongea,yalipomshinda akaamua kuachia voice note za akina makamba,nape aliogopa mpaka akaenda kumpigia magoti ikulu
Alikuwa anaogopa kivuli chake tu. Ni tabia ya watawala wengi wajinga wanaotaka kuongoza kwa mabavu.

Hakujiamini kwamba anaweza kuwa kiongozi bila kudukua wengine.
 
Acha kuandika mambo usiyoyajua hasa kuandika mambo ya watu ambao hawawezi kujitetea kwa sababu wamekwisha tangulia mbele za haki. Itachukua miaka mingi kuja kumpata Kiongozi Mkuu wa Utumishi Serikalini na Katibu wa Baraza la Mawaziri kiwango cha Timothy Apiyo; ambaye alikuwa anathubutu kumwelimisha hata Rais akikosea kuhusu utaratibu au akionekana kama anataka kuvunja sheria au Katiba! Siyo waoga wa wanaomwacha Rais akosee au avunje Sheria wakati Rais ndiye raia namba moja nchini na ndiye msimamizi mkuu wa Katiba na sheria zake. Ukiwa na Katibu Mkuu lele mama uwezekano wa kumfanya Rais kuwa mhalifu ni mkubwa. Soma historia yetu ya hivi karibuni!!
 
Alikuwa mwanaume amemaliza mwendo aachwe apumzikeHISTORIA. NI nwl mzuri KILA MTU AANDIKE YAKE
 
..Ni kwasababu Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete, walikuwa na kiwango fulani cha utu.

..Magufuli alikuwa hana utu, hakuona aibu kutumia mabavu na ukatili kupitisha maamuzi yake.
Asante, hivyo JK hakumuweka JPM ikulu
 
Mkuu:
Hiyo ndio Siasa, kwani Siasa haina majuto, Mwanasiasa hubadilika kama kinyonga, hii ni kwa watu na hata kwa nchi. Mifano hai ni akina Mandela na Raila Odinga walifungwa eventually walikuja kuwa marafiki na wale maadui zao. Hata Marekani nae hana rafiki/adui wa kudumu.
 
Jaribu kusoma kwa ufahamu. Halafu tumia mantiki katika fikra zako.

Nimeandika facts. Hayo mengine ya kuhusu Apiyo alikuwa na uzuri gani wala sijagusia.

Fact ni kwamba Timothy Apiyo alitolewa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi na Rais Ali Hassan Mwinyi kwa sababu hii hii ya kuwa anampelekea Rais wa awali, Julius Nyerere, habari nyeti za Ikulu.

Mwinyi akamuondoa Timothy Apiyo, akamuweka Balozi Paul Rupia kuwa Katibu Mkuu Kiongozi.

These are the facts. Mimi najua kwa sababu wakati huo Mama yangu alikuwa anafanya kazi Ikulu. Hizi si habari za magazetini.

Sasa, these are the facts of the case. Huko kwingine kwenye utendaji wa Apiyo, uzuri wake, etc, mimi sijagusa.

Tunaweza kuongelea these facts? Unabisha kwamba Apiyo hakutolewa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi na Mwinyi kwa sababu nilizozisema?

Naona umefanya logical non sequitur ku conclude kwamba mtu ambaye sehemu nyingine ana utendaji mzuri sana hawezi kuingia katika mtego wa personal loyalty kwa rais mmoja akampa habari kinyume na utaratibu rais wa awali.

This is a logical non sequitur fallacy.

You are connecting two things that have no connection.
 
Kwa hiyo na wewe ulikuwa umemhack jpm? Mpaka utuletee huu umbeya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…