- Thread starter
- #21
Fear fears itselfDuh!..hofu yote hii, wakati tayari alikuwa na madaraka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fear fears itselfDuh!..hofu yote hii, wakati tayari alikuwa na madaraka?
😅😅😅Baada ya JPM kuingia madarakani kama tunavyokumbuka alichelewa kuunda serikali yake,
Kwa majuma kadhaa wlifanya kazi yeye na PM Kassim Majaliwa na Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue.
Kombinesheninilikuwa tamu mpaka watu wakaona hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri.
Sasa bas huyu Katibu Ombeni Sefue alikuwa amemrithi toka kwa Jk,na nadhani alijisahau akaendelea kuwa mwaminifu kwa JK na jPM kwa wakati mmoja.
Jpm kitu cha kwanza ilikuwa kuhack simu za watu wake,alifunga hadi vinasa sauti kwenye magari yao bila kujijua
Kuna siku KMK akapigiwa simu na mstaafu kuhusu jamaa anavyoendesha nchi,KMK akaanza kumwaga siri.
Ikumbukwe Rais mpya alikuwa akilala saa nane au tisa anasikiliza simu za watu aliowatarget.
La haula akayanasa mazungumzo ya Katibu na mstaafu usiku mnene.
Palepale akampigia simu katibu kuwa YOU ARE FIRED,usiku huohuo akateua katibu mpya
Sawa!MUNGU FUNDI LAKINI
Kwa kagame asingefika asubuhi akiiona dunia.Unafiki/usaliti ni kitu kibaya, angekuwa nchi nyingine alitakiwa kufa kabisa. Ana bahati sana JPM alikuwa ni mtu mwema sana, mikono yake safi, isiyo mwaga damu.
Nadhani inachafuliwa "happy birthday" bila sababu za msingi.Tutaaminije stori Yako?
Umbea twaambiwa "Sunna" hiyo!Ni ule umbea wa kitaa, ukweli au uongo wa habari yenyewe hata haujulikani, tatizo la umbea unaweza kuta ukweli ni 1%, na uongo 99% ndio maana ya umbea 😊
Kongole ,we umesoma literatureNadhani inachafuliwa "happy birthday" bila sababu za msingi.
Aaah hivi unafikiri kwanini JK akipata nafasi ya kuongea lazima amseme JPM kwa style flan tena -?Huu ni uongoo banaa
Huyu ni Sefue mwenyewe, sasa uamini au usiamini hilo ni tatizo lako sio lake.Tutaaminije stori Yako?
Aaah hivi unafikiri kwanini JK akipata nafasi ya kuongea lazima amseme JPM kwa style flan tena -?
Humu JF mtu anakuletea maongezi Hadi ya watu walopigiana simu mfano A kasema hivi na B kajibu vile.
Unabaki unajiuliza msimuliaji alisimama wapi kusikiliza yote
Wako vizuri humu
Jk na Jpm walikuwa wabarushiana vijembe hadharani,kuna siku Jpm alikuja Udsm ile siku aliyosema udom ni vilaza,sasa Jk ni mkuu wa chuo udsm,Yeye JPM alikuwa hamsemi JK kwa namna fulani?
Tangu lini huyu katili akawa mwema? hujui unenano wewe pimbi!Unafiki/usaliti ni kitu kibaya, angekuwa nchi nyingine alitakiwa kufa kabisa. Ana bahati sana JPM alikuwa ni mtu mwema sana, mikono yake safi, isiyo mwaga damu.
Sasa yeye ndie alikuwa baba wa majoka yote kwa ukatili na uonevu wake!Nyoka hafugiki. Anaweza kumuuma mfugaji wakati wowote. Jiwe alifanya vizuri kujihami na nyoka mapema.
wadukuzi wote mna chumba maalumu cha ndani ndani jehanamu😀😀Mi ni mdukuzi mwandamizi nadukua hadi yasiyodukuliwa