Balozi Ombeni Sefue alivyotimuliwa Ikulu kibabe usiku wa manane

Balozi Ombeni Sefue alivyotimuliwa Ikulu kibabe usiku wa manane

Mi ningekuwa Jpm ningekimbiza mwizi kimya kimya ,sasa umtukane mzungu wakati kwenye moyo kuna betri na anayetakiwa kuifanyia service ni huyo mzungu,huo ni ujinga
 
Udukuzi uliofanywa kwa kina Nape, January, Kinana na Makamba ulikuwa unahusiana vipi na usalama wa Rais au nchi??
Kitu ambacho unatakiwa kuelewa usalama boss wao ni rais na wanareport kwa rais.Kama kuna kitu kinaatarisha usalama wa rais na wakafanikiwa kukielewa lazima watoe taarifa kwa rais bila kujalisha anayefanya huo ujinga ni nani.Baada ya rais kupata habari kazi yake ni kujadili namna ya kudeal ni hiyo isseu kwa nguvu au kiplomasia kwa kuzingatia matokeo yake.Issue ya hao watu Jpm alideal nayo kiplomasi bila nguvu ili kupunguza tafulani kulingana na uzito wa wahusika ndo maana unaona hadi leo wanaweza kutamba.Mfano mwingine ni issue ya kibiti unafikiri jpm hakufahamu wahusika wakuu???Jibu ni kwamba aliwafahamu ili kupunguza tafulani ilibidi alimalize kimya kimya.Kutokana na hali hiyo wahusika kwasasa lazima wafurukute kujaribu kutafuta kurecover sychological kwa sababu wengine hawamini kama wanaishi peaceful pamoja na walioyafanya kwasababu hawakustahili hata kusimama mbele ya jamii.
 
Baada ya JPM kuingia madarakani kama tunavyokumbuka alichelewa kuunda serikali yake,

Kwa majuma kadhaa wlifanya kazi yeye na PM Kassim Majaliwa na Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue.

Kombinesheninilikuwa tamu mpaka watu wakaona hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri.

Sasa bas huyu Katibu Ombeni Sefue alikuwa amemrithi toka kwa Jk,na nadhani alijisahau akaendelea kuwa mwaminifu kwa JK na jPM kwa wakati mmoja.

Jpm kitu cha kwanza ilikuwa kuhack simu za watu wake,alifunga hadi vinasa sauti kwenye magari yao bila kujijua

Kuna siku KMK akapigiwa simu na mstaafu kuhusu jamaa anavyoendesha nchi,KMK akaanza kumwaga siri.
Ikumbukwe Rais mpya alikuwa akilala saa nane au tisa anasikiliza simu za watu aliowatarget.

La haula akayanasa mazungumzo ya Katibu na mstaafu usiku mnene.

Palepale akampigia simu katibu kuwa YOU ARE FIRED,usiku huohuo akateua katibu mpya
Hata huyu wa sasa nae ameiga kutolala,

Vp Mwigu na Marope wanafukuzwa lini vile!!!!
 
Sasa bila kudukua si ndo angeishi na kina nape sijui membe kumbe wanamzungukaa wanataka kumuondoaa 😀 😀 😀 😀 makamba aliamua kukaza aisee bora afe kiume. Jamaa alikuwa na maadui wengi waliokuwa kwenye system na walioijua system kuliko rais yeyote yule bongoo...
 
Sasa issue ya Kova uliisikia? Yeye ndo aliitwa Ikulu na boss wake then wakafanyiwa kama wapo kwenye meeting na JPM, kumbe JPM akiwazuga kulikuwa na mzigo wa magendo unatakiwa kupita sehemu fulani mida hiyo, na mzigo ni wa mzee wa msoga! Ukafika mda ule mzigo kupita ukazuiwa askar, wale vijana wabeba mzigo wakapiga simu kwa mabos zao, mzee wa msoga akafikishiwa taarifa kuwa wamezuiwa, Mzee wa Msoga akaruka hewani kwa Elnest Mangu, hapo wakiwa kwenye kikao na JPM! simu ziko mezan maana JPM aliwaambia simu ziwekwe mezani!

Mangu aluambiwa usipokee kwanza, simu ukakata baada ya kukata simu ikaita kwa Kova kwa namba ileile msoga, sasa kova akaambiwa pokea weka Loud [emoji344] ikabidi afanye hivo maana ni agizo tena! Sasa pale msoga hajui kitu akaanza kulalamika mbona mbona Mangu hapokei simu na vijana kule mnawapa shida? Basi kova ikabidi aseme ywapo kwenye kikao na No. 1.

Baada ya hapo walifunguka yote na ndiyo maana Kova alistaafu kwa hiyari.

Usione Msoga anamsema vibaya mzee wa Chato anachukinae kwenye mengi
Mzigo gani na ulikuwa unatoka wapi unaenda wapi wee jamaa hapana dhambi nyingine za uongo mtazitubu lini
 
Udukuzi uliofanywa kwa kina Nape, January, Kinana na Makamba ulikuwa unahusiana vipi na usalama wa Rais au nchi??
kwa hiyo yale mazungumzo wew uliona ni ya kawaida?? unadhani walikuwa wanaelekea wapi kwa yale mazungumzo jamaa asingemwaga mambo hadharani kuwaumbua??
 
Kama kuna sehemu diplomasi haikutumika jua palistahili kuwa hivyo.Kama kuna kitu ulikisikia tambua ulistahili kusikia.Rais ni tasisi kubwa na rais ndo kila kitu kwa mjibu wa katiba ya Tanzania.Kama angekuwa hana kifua leo hii nchi hii ingekuwa sio sehemu salama.Rais anasiri nyingi za nchi kuliko mtu yeyote pindi anapokuwa madarakini na rais ni mtu mwenye maadui wengi kuliko mtu yeyote na anawindwa kila upande kwasababu ndo mwenye mamuzi ya kila jambo katika nchii.Sasa kma JMP angesema siri kama unavyodai unadhani nchi hii ingafika wapi.??Always,marais waaafrika inachowatesa ni rafiki zao wakaribu na ukitafutiana nao ili uwe upande wa wananchi unatapatashida sana na matokeo yake ni muda mfupi wa kuishi.
Umeathirika na maneno ya kukariri ya kijiweni. Magufuli alikuwa na udhaifu sana kwenye ku-deal na mambo muhimu na ndiyo maana alikuja kufa kwa korona. Unajua ni kwa nini Mo alitekwa? Kulikuwa na ulazima gani wa kumteka wakati kuna njia nyingi ambazo zingeweza kutumika? Suala la kuawa kwa Ben Saanane au Lissu kupigwa risasi ni masuala madogo sana ambayo yalifanywa kwa pupa wakati hayakustahili hata attention ya rais.
 
Mbona Membe alimwambia Bashiru wampeleke mahakamani kama ana kosa ila hawakufanya hivyo?!
kwa hiyo yale mazungumzo wew uliona ni ya kawaida?? unadhani walikuwa wanaelekea wapi kwa yale mazungumzo jamaa asingemwaga mambo hadharani kuwaumbua??
 
kwa hiyo yale mazungumzo wew uliona ni ya kawaida?? unadhani walikuwa wanaelekea wapi kwa yale mazungumzo jamaa asingemwaga mambo hadharani kuwaumbua??
Yale mazungumzo tuliyosikia ilikuwa ni sehemu ndogo sana wa mkakati waliokuwa wanapanga kina Kikwete, Membe, Mo Dewji, Kinana etc. Walikuwa hawana habari kuwa kuna mtambo unawarekodi lakini kwangu mimi naona ni bora ange deal na tatizo bila kuweka hadharani zile clip.
 
Baada ya JPM kuingia madarakani kama tunavyokumbuka alichelewa kuunda serikali yake,

Kwa majuma kadhaa wlifanya kazi yeye na PM Kassim Majaliwa na Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue.

Kombinesheninilikuwa tamu mpaka watu wakaona hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri.

Sasa bas huyu Katibu Ombeni Sefue alikuwa amemrithi toka kwa Jk,na nadhani alijisahau akaendelea kuwa mwaminifu kwa JK na jPM kwa wakati mmoja.

Jpm kitu cha kwanza ilikuwa kuhack simu za watu wake,alifunga hadi vinasa sauti kwenye magari yao bila kujijua

Kuna siku KMK akapigiwa simu na mstaafu kuhusu jamaa anavyoendesha nchi,KMK akaanza kumwaga siri.
Ikumbukwe Rais mpya alikuwa akilala saa nane au tisa anasikiliza simu za watu aliowatarget.

La haula akayanasa mazungumzo ya Katibu na mstaafu usiku mnene.

Palepale akampigia simu katibu kuwa YOU ARE FIRED,usiku huohuo akateua katibu mpya
Let’s go Brandon ———— go on spin, as long as you have interested readers!
 
Mbona Membe aliwaambia wampeleke mahakamani kama wanafikiri ana kosa ila hawakumpeleka??!
Kipindi wanadukuliwa mipango yao ilikuwa inamuhusu nani?? au wewe unajua usalama wa rais ni upi??
 
Yale mazungumzo tuliyosikia ilikuwa ni sehemu ndogo sana wa mkakati waliokuwa wanapanga kina Kikwete, Membe, Mo Dewji, Kinana etc. Walikuwa hawana habari kuwa kuna mtambo unawarekodi lakini kwangu mimi naona ni bora ange deal na tatizo bila kuweka hadharani zile clip.
Angewaita for lunch ikulu akawasikilizisha umbea wao,presha zingewqpanda
 
Baada ya JPM kuingia madarakani kama tunavyokumbuka alichelewa kuunda serikali yake,

Kwa majuma kadhaa wlifanya kazi yeye na PM Kassim Majaliwa na Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue.

Kombinesheninilikuwa tamu mpaka watu wakaona hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri.

Sasa bas huyu Katibu Ombeni Sefue alikuwa amemrithi toka kwa Jk,na nadhani alijisahau akaendelea kuwa mwaminifu kwa JK na jPM kwa wakati mmoja.

Jpm kitu cha kwanza ilikuwa kuhack simu za watu wake,alifunga hadi vinasa sauti kwenye magari yao bila kujijua

Kuna siku KMK akapigiwa simu na mstaafu kuhusu jamaa anavyoendesha nchi,KMK akaanza kumwaga siri.
Ikumbukwe Rais mpya alikuwa akilala saa nane au tisa anasikiliza simu za watu aliowatarget.

La haula akayanasa mazungumzo ya Katibu na mstaafu usiku mnene.

Palepale akampigia simu katibu kuwa YOU ARE FIRED,usiku huohuo akateua katibu mpya
Huyu jamaa alikuwa akiendesha nchi kijuha na kimajumui kuliko kawaida; na hiki ndicho kilichomponza mazima
 
Back
Top Bottom