OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hizo ni pigo za kishamba. Rais unasikiliza mawasiliano ya watu?!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angewaita for lunch ikulu akawasikilizisha umbea wao,presha zingewqpanda
Ndio maana wanamsifu Mungu wao kuwa ni fundi, maana kikwazo Chao kimeondoka, yajayo yanafurahishaKitu ambacho unatakiwa kuelewa usalama boss wao ni rais na wanareport kwa rais.Kama kuna kitu kinaatarisha usalama wa rais na wakafanikiwa kukielewa lazima watoe taarifa kwa rais bila kujalisha anayefanya huo ujinga ni nani.Baada ya rais kupata habari kazi yake ni kujadili namna ya kudeal ni hiyo isseu kwa nguvu au kiplomasia kwa kuzingatia matokeo yake.Issue ya hao watu Jpm alideal nayo kiplomasi bila nguvu ili kupunguza tafulani kulingana na uzito wa wahusika ndo maana unaona hadi leo wanaweza kutamba.Mfano mwingine ni issue ya kibiti unafikiri jpm hakufahamu wahusika wakuu???Jibu ni kwamba aliwafahamu ili kupunguza tafulani ilibidi alimalize kimya kimya.Kutokana na hali hiyo wahusika kwasasa lazima wafurukute kujaribu kutafuta kurecover sychological kwa sababu wengine hawamini kama wanaishi peaceful pamoja na walioyafanya kwasababu hawakustahili hata kusimama mbele ya jamii.
Halafu March 17 akaenda kuwa Kiongozi wa MalaikaPalepale akampigia simu katibu kuwa YOU ARE FIRED,usiku huohuo akateua katibu mpya
Na wewe ulikuwa umedukuwa simu ya Jiwe?! Ulisikiaje simu yake akimwambia 'YOU ARE FIRED'?Baada ya JPM kuingia madarakani kama tunavyokumbuka alichelewa kuunda serikali yake,
Kwa majuma kadhaa wlifanya kazi yeye na PM Kassim Majaliwa na Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue.
Kombinesheninilikuwa tamu mpaka watu wakaona hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri.
Sasa bas huyu Katibu Ombeni Sefue alikuwa amemrithi toka kwa Jk,na nadhani alijisahau akaendelea kuwa mwaminifu kwa JK na jPM kwa wakati mmoja.
Jpm kitu cha kwanza ilikuwa kuhack simu za watu wake,alifunga hadi vinasa sauti kwenye magari yao bila kujijua
Kuna siku KMK akapigiwa simu na mstaafu kuhusu jamaa anavyoendesha nchi,KMK akaanza kumwaga siri.
Ikumbukwe Rais mpya alikuwa akilala saa nane au tisa anasikiliza simu za watu aliowatarget.
La haula akayanasa mazungumzo ya Katibu na mstaafu usiku mnene.
Palepale akampigia simu katibu kuwa YOU ARE FIRED,usiku huohuo akateua katibu mpya
Angetaka kudili nao vibaya angefanya kimya kimya.. ila kurelease zile sauti public ilikuwa lengo pia kuwaambia wengine watch it tunawafatilia kwa karibu snaaYale mazungumzo tuliyosikia ilikuwa ni sehemu ndogo sana wa mkakati waliokuwa wanapanga kina Kikwete, Membe, Mo Dewji, Kinana etc. Walikuwa hawana habari kuwa kuna mtambo unawarekodi lakini kwangu mimi naona ni bora ange deal na tatizo bila kuweka hadharani zile clip.
rais ni tasisi kijana sio mtu...!Hizo ni pigo za kishamba. Rais unasikiliza mawasiliano ya watu?!!
Hujaelewa nini kijana nikuelewesherais ni tasisi kijana sio mtu...!
Acha ushamba kwa kosa gani kuongea na rais msitaafu ni kosa ? Wakati Kikwete ndiye aliyempa jiwe madaraka.Unafiki/usaliti ni kitu kibaya, angekuwa nchi nyingine alitakiwa kufa kabisa. Ana bahati sana JPM alikuwa ni mtu mwema sana, mikono yake safi, isiyo mwaga damu.
kweli, huo uongo..Ni ule umbea wa kitaa, ukweli au uongo wa habari yenyewe hata haujulikani, tatizo la umbea unaweza kuta ukweli ni 1%, na uongo 99% ndio maana ya umbea 😊
Wewe utakuwa shetaniUnafiki/usaliti ni kitu kibaya, angekuwa nchi nyingine alitakiwa kufa kabisa. Ana bahati sana JPM alikuwa ni mtu mwema sana, mikono yake safi, isiyo mwaga damu.
Lakini Msoga Kama Rais mstaafu alikua na uwezo wa kumwambia Mwendazake nipe kibali Cha haraka na magu akatoa!!Sasa issue ya Kova uliisikia? Yeye ndo aliitwa Ikulu na boss wake then wakafanyiwa kama wapo kwenye meeting na JPM, kumbe JPM akiwazuga kulikuwa na mzigo wa magendo unatakiwa kupita sehemu fulani mida hiyo, na mzigo ni wa mzee wa msoga! Ukafika mda ule mzigo kupita ukazuiwa askar, wale vijana wabeba mzigo wakapiga simu kwa mabos zao, mzee wa msoga akafikishiwa taarifa kuwa wamezuiwa, Mzee wa Msoga akaruka hewani kwa Elnest Mangu, hapo wakiwa kwenye kikao na JPM! simu ziko mezan maana JPM aliwaambia simu ziwekwe mezani!
Mangu aluambiwa usipokee kwanza, simu ukakata baada ya kukata simu ikaita kwa Kova kwa namba ileile msoga, sasa kova akaambiwa pokea weka Loud [emoji344] ikabidi afanye hivo maana ni agizo tena! Sasa pale msoga hajui kitu akaanza kulalamika mbona mbona Mangu hapokei simu na vijana kule mnawapa shida? Basi kova ikabidi aseme ywapo kwenye kikao na No. 1.
Baada ya hapo walifunguka yote na ndiyo maana Kova alistaafu kwa hiyari.
Usione Msoga anamsema vibaya mzee wa Chato anachukinae kwenye mengi
Style gani tuambie!!!Aaah hivi unafikiri kwanini JK akipata nafasi ya kuongea lazima amseme JPM kwa style flan tena -?
Sasa yeye yuko wapiBaada ya JPM kuingia madarakani kama tunavyokumbuka alichelewa kuunda serikali yake,
Kwa majuma kadhaa wlifanya kazi yeye na PM Kassim Majaliwa na Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue.
Kombinesheninilikuwa tamu mpaka watu wakaona hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri.
Sasa bas huyu Katibu Ombeni Sefue alikuwa amemrithi toka kwa Jk,na nadhani alijisahau akaendelea kuwa mwaminifu kwa JK na jPM kwa wakati mmoja.
Jpm kitu cha kwanza ilikuwa kuhack simu za watu wake,alifunga hadi vinasa sauti kwenye magari yao bila kujijua
Kuna siku KMK akapigiwa simu na mstaafu kuhusu jamaa anavyoendesha nchi,KMK akaanza kumwaga siri.
Ikumbukwe Rais mpya alikuwa akilala saa nane au tisa anasikiliza simu za watu aliowatarget.
La haula akayanasa mazungumzo ya Katibu na mstaafu usiku mnene.
Palepale akampigia simu katibu kuwa YOU ARE FIRED,usiku huohuo akateua katibu mpya
Yupo kwake amechillSasa yeye yuko wapi
Msalimie MrSawa!MUNGU FUNDI LAKINI
Magufuli gan huyo!Lakini Msoga Kama Rais mstaafu alikua na uwezo wa kumwambia Mwendazake nipe kibali Cha haraka na magu akatoa!!
Baada ya JPM kuingia madarakani kama tunavyokumbuka alichelewa kuunda serikali yake,
Kwa majuma kadhaa wlifanya kazi yeye na PM Kassim Majaliwa na Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue.
Kombinesheninilikuwa tamu mpaka watu wakaona hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri.
Sasa bas huyu Katibu Ombeni Sefue alikuwa amemrithi toka kwa Jk,na nadhani alijisahau akaendelea kuwa mwaminifu kwa JK na jPM kwa wakati mmoja.
Jpm kitu cha kwanza ilikuwa kuhack simu za watu wake,alifunga hadi vinasa sauti kwenye magari yao bila kujijua
Kuna siku KMK akapigiwa simu na mstaafu kuhusu jamaa anavyoendesha nchi,KMK akaanza kumwaga siri.
Ikumbukwe Rais mpya alikuwa akilala saa nane au tisa anasikiliza simu za watu aliowatarget.
La haula akayanasa mazungumzo ya Katibu na mstaafu usiku mnene.
Palepale akampigia simu katibu kuwa YOU ARE FIRED,usiku huohuo akateua katibu mpya