Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alianza kunyia O alipohamia USA ni tozi kwelikweliYule jamaa alikua ananyoa O kama mabrazameni wa kawe.
Ni wale vijana wa mjini.Alianza kunyia O alipohamia USA ni tozi kwelikweli
Kwann hawa watu wasingekuwa wanakutana uso kwa macho kuongea yaoNi kweli ratizo la jpm alikuwa anadukua yeye mwenyewe wala sio wanausalama ahaaaa,aliwadukua JK,makamba ,nape,na kinana hawana hamu nae
Bruh kwa ishu kama ya kibiti ina maana ilikuwa ni viongozi wanahusika kwasbb ya siasa 😯Kitu ambacho unatakiwa kuelewa usalama boss wao ni rais na wanareport kwa rais.Kama kuna kitu kinaatarisha usalama wa rais na wakafanikiwa kukielewa lazima watoe taarifa kwa rais bila kujalisha anayefanya huo ujinga ni nani.Baada ya rais kupata habari kazi yake ni kujadili namna ya kudeal ni hiyo isseu kwa nguvu au kiplomasia kwa kuzingatia matokeo yake.Issue ya hao watu Jpm alideal nayo kiplomasi bila nguvu ili kupunguza tafulani kulingana na uzito wa wahusika ndo maana unaona hadi leo wanaweza kutamba.Mfano mwingine ni issue ya kibiti unafikiri jpm hakufahamu wahusika wakuu???Jibu ni kwamba aliwafahamu ili kupunguza tafulani ilibidi alimalize kimya kimya.Kutokana na hali hiyo wahusika kwasasa lazima wafurukute kujaribu kutafuta kurecover sychological kwa sababu wengine hawamini kama wanaishi peaceful pamoja na walioyafanya kwasababu hawakustahili hata kusimama mbele ya jamii.
😃😃 Mwendazake alikuwa hajiamini kabisa..Baada ya JPM kuingia madarakani kama tunavyokumbuka alichelewa kuunda serikali yake,
Kwa majuma kadhaa wlifanya kazi yeye na PM Kassim Majaliwa na Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue.
Kombinesheninilikuwa tamu mpaka watu wakaona hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri.
Sasa bas huyu Katibu Ombeni Sefue alikuwa amemrithi toka kwa Jk,na nadhani alijisahau akaendelea kuwa mwaminifu kwa JK na jPM kwa wakati mmoja.
Jpm kitu cha kwanza ilikuwa kuhack simu za watu wake,alifunga hadi vinasa sauti kwenye magari yao bila kujijua
Kuna siku KMK akapigiwa simu na mstaafu kuhusu jamaa anavyoendesha nchi,KMK akaanza kumwaga siri.
Ikumbukwe Rais mpya alikuwa akilala saa nane au tisa anasikiliza simu za watu aliowatarget.
La haula akayanasa mazungumzo ya Katibu na mstaafu usiku mnene.
Palepale akampigia simu katibu kuwa YOU ARE FIRED,usiku huohuo akateua katibu mpya
Ile ni difensive mechanism ili ikitokea kitu hakiko sawa washukiwa wajulikaneKwann hawa watu wasingekuwa wanakutana uso kwa macho kuongea yao
Afe kwa ajili ya nini hasa?Unafiki/usaliti ni kitu kibaya, angekuwa nchi nyingine alitakiwa kufa kabisa. Ana bahati sana JPM alikuwa ni mtu mwema sana, mikono yake safi, isiyo mwaga damu.
Mkuu huo ufundi wa Mungu uko wapi? Ama ni ufundi wa kwenye kitu gani?Sawa!MUNGU FUNDI LAKINI
Sasa hao uliowataja hawana hiyo hatari kwa Nchi kama unavyotaka kuaminisha..Kuhack au kudukua simu kwa watu hatari kwa usalama wa nchi,wauza madawa,wasaliti na magaidi kupo duniani kote na katika idara ya usalama wa nchi kuna kitengo kabisa cha wataalam wa kazi hiyo.Sasa kama haumini anza kufanya yasiyoeleweka ndo utaelewa.
Yuko wapi sasa? Alidukua wapinzani wake na sio wahalifu maana na yeye alikuwa mhalifu na genge lake..Sasa bila kudukua si ndo angeishi na kina nape sijui membe kumbe wanamzungukaa wanataka kumuondoaa 😀 😀 😀 😀 makamba aliamua kukaza aisee bora afe kiume. Jamaa alikuwa na maadui wengi waliokuwa kwenye system na walioijua system kuliko rais yeyote yule bongoo...
True,ni ushenzi kuwa na Rais wa hivyo.Watanzania nadhani mmejifunza kujua background ya mtu kabla ya kumpa nafasi ya uongozi ni jambo muhimu sana.
Sikuwahi kumpenda JPM ila kwa hili alikuwa sahihi ahaaaWakati mwingine hawa watu wakubwa huwa nawashangaa sana... kama ni kweli, wanakuwaje wazembe kiasi hiki? Unamsemaje Rais kimchemchezo hivi?
Hana huo uwezo wa kumuamrisha Rais Kwa sababu anarlewa nini maana ya kuwa Rais hapa AfrikaLakini Msoga Kama Rais mstaafu alikua na uwezo wa kumwambia Mwendazake nipe kibali Cha haraka na magu akatoa!!
Kwani mlimuua nani akafufuka? Hii dhambi inawatesa sana kila siku mnaweweseka kuhusu JPM.Mm nilijua kafufuka uko aliko bhana
Jiwe alikuwa anajua anachofanya... Na alijua kuna watu nitawaumiza hasa... Hivyo aliamua kujihami katika kusikiliza maongezi ya watu... Hasa suala la usalama wake ili kama watu wanapanga ishu yoyote ajue mapema...😃😃 Mwendazake alikuwa hajiamini kabisa..
Mwisho wa siku kafa wenyewe wapo.
Ili iwaje?Jiwe alikuwa anajua anachofanya... Na alijua kuna watu nitawaumiza hasa... Hivyo aliamua kujihami katika kusikiliza maongezi ya watu... Hasa suala la usalama wake ili kama watu wanapanga ishu yoyote ajue mapema...
Alipenda kujua mambo binafsi ya watu... Una miliki nini.. Unamzungumziaje... Nk
Alikosea kuonyesha wazi kwamba nawadukua.. Watu wakabadili mbinu ikawa face to face au signal