Tabia ya mtu...Ili iwaje?
Yaani kuna watu walifurahi kimya kimya jamaa alivyokata moto hasa viongozi wastaafuTabia ya mtu...
Mfano alikuwa anamfuatilia waziri mkuu mstaafu fulani lengo aje kwake kama kumtii au kumsujudu..
Jiwe katika kufukunyua akaona ana mashamba Mbulu.. Karatu.. Moro .. Akanyakua moja la Moro.. Jamaa bado anajiona jasiri..
Jiwe akanyakua shamba la pili.. Kesho yake jamaa huyoo spidi 200 akajisalimisha kwa Mfalme Jiwe ili asifilisike...
Usione Kinana yupo kimya.. Alikuwa anapelekewa moto kimya kimya mpaka akaomba poo.. Jiwe ndio akatulia
Mkuu unasema wastaafu...?Yaani kuna watu walifurahi kimya kimya jamaa alivyokata moto hasa viongozi wastaafu
Mkuu unasema wastaafu...?
Yaani kila mtu ataondoka ila wafanyabiashara.. Watu wa NGO's, Ex Directors wa Makampuni.. Wafanyakazi. tena wa Serikali. . Nk nk watu walinunua vinywaji wakanywa kidogo na wao wafe kwa kupitiliza..
Kuna watu walinunua mbuzi... Wengi tuu....
Mi pia nilifurahi ila baadae nikaingiwa na kahuruma nimemsamehe ila sitamsahau yule mwambaMkuu unasema wastaafu...?
Yaani kila mtu ataondoka ila wafanyabiashara.. Watu wa NGO's, Ex Directors wa Makampuni.. Wafanyakazi. tena wa Serikali. . Nk nk watu walinunua vinywaji wakanywa kidogo na wao wafe kwa kupitiliza..
Kuna watu walinunua mbuzi... Wengi tuu....
Fundi kwa kutoa maonyo makali makaliMkuu huo ufundi wa Mungu uko wapi? Ama ni ufundi wa kwenye kitu gani?
Mtu anadiriki kusema kuwa JPM alikuwa anafunga vinasa sauti kwenye magari yao. Ni mjinga tu ndiye takayekubaliana na ujinga huo kwani kazi ya kufunga vinasa saudi kwenye gari inahitaji ufundi na muda ambao JPM hakuwa nao. Na vinasa sauti hivyyo haviwezi kufungwa bila dereva wa gari lenyewe kutambua. Umbea wa ajabu sanaHumu JF mtu anakuletea maongezi Hadi ya watu walopigiana simu mfano A kasema hivi na B kajibu vile.
Unabaki unajiuliza msimuliaji alisimama wapi kusikiliza yote
Wako vizuri humu
Katabasamu...anashukuru kwwa salamu zimefikaMsalimie Mr
Mtu anadiriki kusema kuwa JPM alikuwa anafunga vinasa sauti kwenye magari yao. Ni mjinga tu ndiye takayekubaliana na ujinga huo kwani kazi ya kufunga vinasa saudi kwenye gari inahitaji ufundi na muda ambao JPM hakuwa nao. Na vinasa sauti hivyyo haviwezi kufungwa bila dereva wa gari lenyewe kutambua. Umbea wa ajabu sana
Mtu anadiriki kusema kuwa JPM alikuwa anafunga vinasa sauti kwenye magari yao. Ni mjinga tu ndiye takayekubaliana na ujinga huo kwani kazi ya kufunga vinasa saudi kwenye gari inahitaji ufundi na muda ambao JPM hakuwa nao. Na vinasa sauti hivyyo haviwezi kufungwa bila dereva wa gari lenyewe kutambua. Umbea wa ajabu sana
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana,hivi ukisema kuwa Mr X amejenga nyumba nzuri unadhani yeye ndio alibeba tofali au alitoa hela.Mtu anadiriki kusema kuwa JPM alikuwa anafunga vinasa sauti kwenye magari yao. Ni mjinga tu ndiye takayekubaliana na ujinga huo kwani kazi ya kufunga vinasa saudi kwenye gari inahitaji ufundi na muda ambao JPM hakuwa nao. Na vinasa sauti hivyyo haviwezi kufungwa bila dereva wa gari lenyewe kutambua. Umbea wa ajabu sana
Wewe ndiye huna akili kabisa kama hujui kuwa magari ya serikali yanasimamiwa na idara tofauti kabisa, hayasimamiwi na Rais. Rais hawezi kuamua magari yanayotumiwa na viongozi wa serikali yawekewe spea zipi au features zipi, kwani siyo yake. Gari la waziri linaweza kubadilishwa wakati wowote.Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana,hivi ukisema kuwa Mr X amejenga nyumba nzuri unadhani yeye ndio alibeba tofali au alitoa hela.
JPM alishinikiza vitu vingi kwenda tofauti na mazoea ya ikulu
Kuhusu magari kufungwa vinasa sauti.ni kazi ya PSU gari inapelekwa service inafungwa vinasa sauti hata dereva hajui kitu,
Jamaa alikuwa muoga sana na alidukua sana mawasiliano
Alikuwa mshenzi wa tabia yule rais mpya. Akitaka aabudiwe kama Mungu. Nonsense!haula akayanasa mazungumzo ya Katibu na mstaafu usiku mnene.
Palepale akampigia simu katibu kuwa YOU ARE FIRED,usiku huohuo akateua katibu
Huna akili,wafanyakazi wa ikulu wote gari zao ziko chini ya ofisi ya Rais,watu wa usalama wana access nazo sana tuWewe ndiye huna akili kabisa kama hujui kuwa magari ya serikali yanasimamiwa na idara tofauti kabisa, hayasimamiwi na Rais. Rais hawezi kuamua magari yanayotumiwa na viongozi wa serikali yawekewe spea zipi au features zipi, kwani siyo yake. Gari la waziri linaweza kubadilishwa wakati wowote.
Sasa yeye ndo amekuwa fired mazima wakati JK na Sefue wanaendelea kutesaBaada ya JPM kuingia madarakani kama tunavyokumbuka alichelewa kuunda serikali yake,
Kwa majuma kadhaa wlifanya kazi yeye na PM Kassim Majaliwa na Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue.
Kombinesheninilikuwa tamu mpaka watu wakaona hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri.
Sasa bas huyu Katibu Ombeni Sefue alikuwa amemrithi toka kwa Jk,na nadhani alijisahau akaendelea kuwa mwaminifu kwa JK na jPM kwa wakati mmoja.
Jpm kitu cha kwanza ilikuwa kuhack simu za watu wake,alifunga hadi vinasa sauti kwenye magari yao bila kujijua
Kuna siku KMK akapigiwa simu na mstaafu kuhusu jamaa anavyoendesha nchi,KMK akaanza kumwaga siri.
Ikumbukwe Rais mpya alikuwa akilala saa nane au tisa anasikiliza simu za watu aliowatarget.
La haula akayanasa mazungumzo ya Katibu na mstaafu usiku mnene.
Palepale akampigia simu katibu kuwa YOU ARE FIRED,usiku huohuo akateua katibu mpya
Pumba tupu! Rais ndiye anayetoa maagizo namna ya kuzifanyia matengezo?Huna akili,wafanyakazi wa ikulu wote gari zao ziko chini ya ofisi ya Rais,watu wa usalama wana access nazo sana tu
Kama umetunga simulizi hii, wewe ni mtunzi mzuri. Andika kitabu!Baada ya JPM kuingia madarakani kama tunavyokumbuka alichelewa kuunda serikali yake,
Kwa majuma kadhaa wlifanya kazi yeye na PM Kassim Majaliwa na Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue.
Kombinesheninilikuwa tamu mpaka watu wakaona hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri.
Sasa bas huyu Katibu Ombeni Sefue alikuwa amemrithi toka kwa Jk,na nadhani alijisahau akaendelea kuwa mwaminifu kwa JK na jPM kwa wakati mmoja.
Jpm kitu cha kwanza ilikuwa kuhack simu za watu wake,alifunga hadi vinasa sauti kwenye magari yao bila kujijua
Kuna siku KMK akapigiwa simu na mstaafu kuhusu jamaa anavyoendesha nchi,KMK akaanza kumwaga siri.
Ikumbukwe Rais mpya alikuwa akilala saa nane au tisa anasikiliza simu za watu aliowatarget.
La haula akayanasa mazungumzo ya Katibu na mstaafu usiku mnene.
Palepale akampigia simu katibu kuwa YOU ARE FIRED,usiku huohuo akateua katibu mpya
"Pumba" kwako, bila hata ya kueleza kwa nini ni pumba!Pumba tupu! Rais ndiye anayetoa maagizo namna ya kuzifanyia matengezo?
Una haki ya kusikilizwa..., unavuta hisia.Angalia theme au moral of the story upate cha kujifunza,ofcoz asingekaa ikulu milele ila aliondokaje?
Alale pema peponi kamandaBaada ya JPM kuingia madarakani kama tunavyokumbuka alichelewa kuunda serikali yake,
Kwa majuma kadhaa wlifanya kazi yeye na PM Kassim Majaliwa na Katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefue.
Kombinesheninilikuwa tamu mpaka watu wakaona hakuna haja ya kuwa na baraza la mawaziri.
Sasa bas huyu Katibu Ombeni Sefue alikuwa amemrithi toka kwa Jk,na nadhani alijisahau akaendelea kuwa mwaminifu kwa JK na jPM kwa wakati mmoja.
Jpm kitu cha kwanza ilikuwa kuhack simu za watu wake,alifunga hadi vinasa sauti kwenye magari yao bila kujijua
Kuna siku KMK akapigiwa simu na mstaafu kuhusu jamaa anavyoendesha nchi,KMK akaanza kumwaga siri.
Ikumbukwe Rais mpya alikuwa akilala saa nane au tisa anasikiliza simu za watu aliowatarget.
La haula akayanasa mazungumzo ya Katibu na mstaafu usiku mnene.
Palepale akampigia simu katibu kuwa YOU ARE FIRED,usiku huohuo akateua katibu mpya
Hakuna cha kutesa bali wanateseka na wanaangaika ndo maana unaona happy birthday mpaka usiku wa manane.Kwanini ucjuilize hicho mtu mzima wa miaka 72 ucku wa manane u anatafuta nini???...Hiyo inaitwa sychological conflict.Sasa yeye ndo amekuwa fired mazima wakati JK na Sefue wanaendelea kutesa
Hakuna cha kutesa bali wanateseka na wanaangaika ndo maana unaona happy birthday mpaka usiku wa manane.Kwanini ucjuilize hicho mtu mzima wa miaka 72 ucku wa manane u anatafuta nini???...Hiyo inaitwa sychological conflict.Sasa yeye ndo amekuwa fired mazima wakati JK na Sefue wanaendelea kutesa
Kwani kazi ya kudukua mawasiliano ni kazi ya Raisi? Mbona alidukua,una uwelewa mdogo wa mamboWewe ndiye huna akili kabisa kama hujui kuwa magari ya serikali yanasimamiwa na idara tofauti kabisa, hayasimamiwi na Rais. Rais hawezi kuamua magari yanayotumiwa na viongozi wa serikali yawekewe spea zipi au features zipi, kwani siyo yake. Gari la waziri linaweza kubadilishwa wakati wowote.