Atochoma chanjo?Angekuwa kiboko angeitumia ccm kumfuta uanachama na hapo angempoteza mazima ila hii aliyoifanya ni kumuongezea mwendo kwenye siasa!
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Hachomoki HapoKaingia kwenye 18 vizuri
Siyo Bwana Mmoja Anaitwa SimbaAlikua Mangu
Huyo Anatesema Akiwa WapiS
Sasa wewe uko humu jamiiforum kufanya nini? Acha watu watoe maoni yao, ndio afya ya akili.
S
Sasa wewe uko humu jamiiforum kufanya nini? Acha watu watoe maoni yao, ndio afya ya akili.
Alitoka nduki balaa [emoji28][emoji28][emoji28]Siyo Bwana Mmoja Anaitwa Simba
Aliambiwa EndeleA Kuaga Tu Ukimaliza Na Huo Ubalozi Nitakuwa Nimeutengua
Yaani hapo ndipo utajua "HUJUI"...Yaani Mwalimu wa darasa la the so called "SHULE YA UONGOZI" anaenda kukalishwa darasani kufundishwa juu ya uongozi na wale aliokuwa akiwapa darasa yeye mwenyewe....mbavu zangu mie...Lol "Shule ya Uongozi" my Foot🤣😂“Mheshimiwa Balozi (Polepole) najua baada ya hapa watakuweka darasani kwanza pale Chuo cha Diplomasia utakapotoka pale kabla hujaenda Malawi nitakutana na wewe, kwa hiyo tutazungumza kwa kirefu” amesema Rais Samia Suluhu Hassan kwa kifupi akimuelekeza Polepole baada ya kuapishwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi kabla ya uteuzi huo alikuwa mbunge wa kuteuliwa.
#MwananchiUpdates
Huyu jamaa bado kakalia kuti kavu kwa mujibu wa kauli ya SSH.
View attachment 2151396
Ni bora kujaza CV ukiwa huru kuliko ukiwa kwenye hali aliyo nayo Pole Pole kwa sasa.Nyinyi pigeni story huku mtaani ila mwenzenu anaendelea kuijaza CV yake vizuri kwa safari ya huko mbeleni.
Waswahili tuendelee na utamaduni wetu kwa muuza kahawa.
Wahuuuuniiii... Au basi🤣🤣🤣Yaani hapo ndipo utajua "HUJUI"...Yaani Mwalimu wa darasa la the so called "SHULE YA UONGOZI" anaenda kukalishwa darasani kufundishwa juu ya uongozi na wale aliokuwa akiwapa darasa yeye mwenyewe....mbavu zangu mie...Lol "Shule ya Uongozi" my Foot🤣😂
😇
kama kuku kwenye bandaKaingia kwenye 18 vizuri
Aache Uhuni sasa🤣“Mheshimiwa Balozi (Polepole) najua baada ya hapa watakuweka darasani kwanza pale Chuo cha Diplomasia utakapotoka pale kabla hujaenda Malawi nitakutana na wewe, kwa hiyo tutazungumza kwa kirefu” amesema Rais Samia Suluhu Hassan kwa kifupi akimuelekeza Polepole baada ya kuapishwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi kabla ya uteuzi huo alikuwa mbunge wa kuteuliwa.
#MwananchiUpdates
Huyu jamaa bado kakalia kuti kavu kwa mujibu wa kauli ya SSH.
View attachment 2151396
Ana umri gani?Katika kipindi cha miaka nane tu Polepole anaendelea kuboresha wasifu wake kwa mawe mazito mazito tu;
- Mjumbe wa kamati ya rasimu ya katiba
- Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM
- Mbunge wa kuteuliwa katika Bunge la JMT
- Shahada ya uzamili IDS UDSM
- Cheti cha ushiriki masuala ya kidemokrasia kutoka Chuo cha Demokrasia
- Balozi wa Tanzania nchini Malawi
Kwa umri wake huu ni mtaji mkubwa sana kwake. Akiwa huko Malawi kama balozi anaweza pua kusoma shahada yake nyingine ya uzamivu taratiiiibu.