Balozi Polepole kuanzia chuo cha Diplomasia apigwe msasa then akutane na Rais kabla ya kutimkia Malawi

Balozi Polepole kuanzia chuo cha Diplomasia apigwe msasa then akutane na Rais kabla ya kutimkia Malawi

Hongera na Pongezi nyingi ziende kwa Balozi polepole..

Bado wadanganyika kuna vitu tunaendelea kujifunza kutoka kwa wanasiasa...
 
Hii inaitwa Mbwa kala Mbwa , maaneeneeer .wapi V8 , wahuniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeehhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh kajichanganya hukuuuuuuuuuuuuuuu
 
Kwisha habari yake 😄😄😄😄 maana alizidi Sana mdomo wakati wa JIWE alinyuti lakini kipindi cha Samia anajifanya anaupiga MWINGI.
 
“Mheshimiwa Balozi (Polepole) najua baada ya hapa watakuweka darasani kwanza pale Chuo cha Diplomasia utakapotoka pale kabla hujaenda Malawi nitakutana na wewe, kwa hiyo tutazungumza kwa kirefu” amesema Rais Samia Suluhu Hassan kwa kifupi akimuelekeza Polepole baada ya kuapishwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi kabla ya uteuzi huo alikuwa mbunge wa kuteuliwa.

#MwananchiUpdates

Huyu jamaa bado kakalia kuti kavu kwa mujibu wa kauli ya SSH.

View attachment 2151396
Yaani hapo ndipo utajua "HUJUI"...Yaani Mwalimu wa darasa la the so called "SHULE YA UONGOZI" anaenda kukalishwa darasani kufundishwa juu ya uongozi na wale aliokuwa akiwapa darasa yeye mwenyewe....mbavu zangu mie...Lol "Shule ya Uongozi" my Foot🤣😂
😇
 
Nyinyi pigeni story huku mtaani ila mwenzenu anaendelea kuijaza CV yake vizuri kwa safari ya huko mbeleni.

Waswahili tuendelee na utamaduni wetu kwa muuza kahawa.
Ni bora kujaza CV ukiwa huru kuliko ukiwa kwenye hali aliyo nayo Pole Pole kwa sasa.

Kama hunielewi najaribu kusema kuwa ni bora utafute kukuza CV kwa njia muafaka kuliko kutumia njia zile za Covid-19 au Ndugai.

Dunia ya sasa haikuachi na deni!
 
Yaani hapo ndipo utajua "HUJUI"...Yaani Mwalimu wa darasa la the so called "SHULE YA UONGOZI" anaenda kukalishwa darasani kufundishwa juu ya uongozi na wale aliokuwa akiwapa darasa yeye mwenyewe....mbavu zangu mie...Lol "Shule ya Uongozi" my Foot🤣😂
😇
Wahuuuuniiii... Au basi🤣🤣🤣
 
Katika kipindi cha miaka nane tu Polepole anaendelea kuboresha wasifu wake kwa mawe mazito mazito tu;
  • Mjumbe wa kamati ya rasimu ya katiba
  • Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM
  • Mbunge wa kuteuliwa katika Bunge la JMT
  • Shahada ya uzamili IDS UDSM
  • Cheti cha ushiriki masuala ya kidemokrasia kutoka Chuo cha Demokrasia
  • Balozi wa Tanzania nchini Malawi

Kwa umri wake huu ni mtaji mkubwa sana kwake. Akiwa huko Malawi kama balozi anaweza pua kusoma shahada yake nyingine ya uzamivu taratiiiibu.
 
“Mheshimiwa Balozi (Polepole) najua baada ya hapa watakuweka darasani kwanza pale Chuo cha Diplomasia utakapotoka pale kabla hujaenda Malawi nitakutana na wewe, kwa hiyo tutazungumza kwa kirefu” amesema Rais Samia Suluhu Hassan kwa kifupi akimuelekeza Polepole baada ya kuapishwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi kabla ya uteuzi huo alikuwa mbunge wa kuteuliwa.

#MwananchiUpdates

Huyu jamaa bado kakalia kuti kavu kwa mujibu wa kauli ya SSH.

View attachment 2151396
Aache Uhuni sasa🤣

Apate "Shule ya Uongozi" kwanza ndo aende Malawi babeki, hana adabu!
 
Katika kipindi cha miaka nane tu Polepole anaendelea kuboresha wasifu wake kwa mawe mazito mazito tu;
  • Mjumbe wa kamati ya rasimu ya katiba
  • Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM
  • Mbunge wa kuteuliwa katika Bunge la JMT
  • Shahada ya uzamili IDS UDSM
  • Cheti cha ushiriki masuala ya kidemokrasia kutoka Chuo cha Demokrasia
  • Balozi wa Tanzania nchini Malawi

Kwa umri wake huu ni mtaji mkubwa sana kwake. Akiwa huko Malawi kama balozi anaweza pua kusoma shahada yake nyingine ya uzamivu taratiiiibu.
Ana umri gani?
 
Back
Top Bottom