Balozi wa Kenya aishambulia Russia kwa kuyatambua kama majimbo huru ya Ukraine

Ukiona mtu anaandika barozi badala ya balozi, wale usipoteza naye muda, hawa hata walimu waliwashindwa.
 
Mtu na ndugu yake huyo,umesahau Putin alifanya ziara Beijing majuzi? Alafu baada ya kikao na Putin,Xi Jin ping akasema " our cooperation has no limit" maana yake ni kwamba,wako pamoja na Putin.

U
Anamaanisha .....hapangiwi
 
Ndio yashachukuliwa tena hakuna namna itabaki historia tu [emoji16][emoji16]
 
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji119]
 
Wanataka misaada tu hao ya vyandarua na ARV kwa sharti la kupigana pumbu wanaume kwa wanaume, hawana jengine
 
Kabisa mkuu..that's y Putin anajiamulia tu coz anajua USA kashaimeza UN yote
 
Panya ana mtishia tembo
 
Kenya ni Vassal state ya Mwingereza hivyo kilichofanyika hapo ni kutekeleza matakwa ya bwana mkubwa ambaye ni Uingereza.
 
Baada ya kuwapima USA EU UN kaona hawamuwezi kichawi.....kijesh.....na kiuchumi
Hahahahaaaa ngoja tuone vikwazo kama vita mtikisa putin naona UK,Ujerumani na US tayari wamesha weka.

Kikwazo cha ujerumani kwenye bomba la gas naona ndio kitamuuma sana Putini, ingawa nadhani Putin alijua haya yote zamani kabla haja fanya invading.

Pompeo ameulizwa kwenye utawala wao wangefanyaje, anasema kwahatua ilipofikia US wamechelewa kumzuiya Putin.
Pompeo anasema wangekuwa wao wangezuiya miezi miwili iliyopita.
 
Wewe nawe kama hujui utaratibu wa kufanya maamuzi ndani ya UN kula majimbi ulalie masikio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…