Balozi wa Kenya aishambulia Russia kwa kuyatambua kama majimbo huru ya Ukraine

Balozi wa Kenya aishambulia Russia kwa kuyatambua kama majimbo huru ya Ukraine

Mojinga wee[emoji51]
Mnaongea mkishabikia ujinga elimu ata ndio hio huna,Kama ubaya na uzuri wa Gaddaffi hujui na uko hapa ukijiona mwerevu pamoja na huyo mwenzako,
Jinga mbili[emoji51][emoji51]
[emoji23][emoji23]
 
WaAfrika wagani Russia kwanza watanzania[emoji33]Hadithi za abunuasi vijiweni[emoji23][emoji23]
Russia sio kama USA eti unachapisha mjulus kwa madada zao huko uweke mimba uolewe!,wwe mwafrika mweusi kama mimi,niwapi wakenya hatujafika eti unifunze!!?
Kwanza unajua population ya blacks uko Russia??
Hao ni facist,Rassists and Marxists!!!
Wanatambua tu White!!!
Na kama wananyanyasa Ukraine na ni white kama awo!je wwe mwafrika trako nyeusi kama mimi!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
akili za kito..[emoji51][emoji23][emoji51][emoji23][emoji51][emoji23][emoji51][emoji23]

Wwe mzima enda uko Mali ukapelekee jeshi ya Russia kitimoto basi,na uwakaribishe Tanzania[emoji90]ni mandugu kwelikweli[emoji108]
Khaaaiii Umewahi kusimia cold war iliotokeanga Kati ya USA na USSR?
 
Gaddafi alikuwa ni anti marekani .......hizo sifa zote Mbaya utapewa ukiwa against US interests

That's y umesema. URUSI wanaabudu shetani[emoji23][emoji23][emoji23]. Hi misemo ilitumika zaman na wazungu kuwa wacommunist ni mashetan
Ni waabudu mashetani hao😬kweli kabisa,hiyo ata ukatae!!!
We umeona wapi Jeshi linabatizwa ndio ukubalike!!!na hawabatizi na Bibilia ama Qurani!!
Hao wanajulikana tangu jadi!!

Naye Gaddafi ni dictator na terrorist! Ata nchi yake Libya haijai msamehea!
Alitaka kugawanisha Nigeria mara mbili,(Muslim North Christian South),
Alipochukua Uongozi libya kwa mabavu,aliwaua opposition wote.
Aliwatumania Walibya wote waliyokuwa wametorokea nchi zengine wauawe.
Alikuwa anasaidia waasi magaidi,kwa nchi zengine ambazo hazikuwa zimejiweza.
Kwenye Benki ya South Afrika kuna pesa nyingi aliwekeza,ambazo aliiba Libya,mnyanyasaji wa raia kabisa!!!
 
hio russia unasema haijawai kukoloni ndio sasa inataka kukoloni dunia!
Na Afrika itakuwa kupitia tu!tukicheza
Bora hao watatuletea viongozi wazalendo maana uzalendo ulianzia kwenye hizo nchi watu kama nyerere na magufuli ni matunda ya uzalendo ndiyo maana mabepari walikuwa awawapendi
 
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilifanya mkutano wa dharura baada ya Rais wa Urusi Vladimir Putin kusema kwamba sasa anatambua sehemu ya Ukraine kama Urusi na atatuma wanajeshi wake kuwa walinzi wa amani katika majimbo hayo mawili.

Uingereza ilichukua hatua ya haraka kutangaza vikwazo. Urusi ilikemewa na nchi nyingi zikiwemo Mexico, Ireland, Norway, Ghana, na nyinginezo. Lakini ni Kenya ndio iliyojitokeza kwa makali yake kwa jinsi ilivyojibu hatua hiyo ya Urusi.

Balozi wake kwa Umoja wa Mataifa Martin Kimani alitoa hotuba ambayo wengi wamejitokeza kuisifia kama iliyoeleza kwa urahisi na ukali unaostahiki ukiukwaji mkubwa wa sheria za kimataifa ambao urusi imetekeleza.

"Uhuru wa eneo na mamlaka ya Ukraine yamevunjwa," alisema Balozi Martin Kimani.

"Mkataba wa Umoja wa Mataifa unaendelea kudhoofika chini ya shambulio hilo lisilo na huruma. Kwa wakati mmoja unatolewa kwa heshima na nchi zile zile ambazo kisha zikaupa kisogo katika kutekeleza malengo yanayopinga amani na usalama.... Kenya inasikitishwa sana na tangazo lililotolewa na Urusi la kutambua maeneo ya Ukraine kama mataifa huru'

Aliendelea kusema kuwa Kenya ina wasiwasi mkubwa juu ya athari ambayo Urusi inaweza kuwa nayo ikiwa itaruhusiwa na UN kushambulia na kunyakua nchi zingine.

Mfano wake ni kwamba mipaka ya Afrika ilikubaliwa na nchi zote za huko, licha ya mipaka hiyo kulazimishwa na wakoloni. Alieleza kuwa mataifa ya Afrika yalifanya uamuzi huo badala ya kuwa na vita visivyoisha.

"Tulikataa upanuzi kwa misingi yoyote, ikiwa ni pamoja na rangi, kabila, au kitamaduni," Kimani alisema. "

Baada ya hotuba yake hiyo ,maoni yalianza kutolewa huku akisifiwa kwa hotuba yake hiyo .Watumiaji wa mitandao ya kijamii walituma jumbe za kuonyesha 'makali' ya ujumbe wake na jinsi Kimani alivyojieleza na kuwakilisha msimamo wa kenya kuhusu hatua ya Urusi ;

Balozi Martin Kimani ni nani?

Balozi kimani aliteuliwa kuwa mwakilishi wa Kudumu wa Kenya katika Umoja wa mataifa mwaka wa 2020 .

Kabla ya uteuzi wake wa hivi punde zaidi, Bw. Kimani alikuwa Mjumbe Maalumu wa Rais wa Kukabiliana na Itikadi kali na Mkurugenzi wa Kituo cha Kitaifa cha Kupambana na Ugaidi nchini Kenya kuanzia Septemba 2015.

Pia aliwahi kuwa Katibu wa Mikakati katika Ofisi ya Mtendaji wa Rais kuanzia Disemba 2018.

Bw. Kimani alikuwa Mwakilishi wa Kudumu wa Kenya katika Umoja wa Mataifa huko Nairobi, Mpango wa Mazingira wa Umoja wa Mataifa (UNEP) na Mpango wa Umoja wa Mataifa wa Makazi (UN-Habitat) kati ya Desemba 2012 na Septemba 2015.

Mapema katika taaluma yake, Bw. Kimani alikuwa Mkurugenzi katika Mamlaka ya Kiserikali juu ya Maendeleo (IGAD) nchini Ethiopia, kuanzia Aprili 2011 hadi Disemba 2012.

Bw. Kimani alipata PhD na shahada ya uzamili katika masomo ya vita katika Chuo cha King's College, Chuo Kikuu cha London, mwaka wa 2010 na 2003, mtawalia, na pia shahada ya kwanza katika Chuo Kikuu cha New Hampshire mwaka wa 1996

Source bbc swahili

Je, kiutalaamu hili limekaaje ....au ni sawa na sisimizi kumpiga biti tembo[emoji23][emoji23]
View attachment 2127616
Wakenya ondoeni njaa Kwanza Putin kasema[emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums-1998190896.jpg
 
akili za kito..[emoji51][emoji23][emoji51][emoji23][emoji51][emoji23][emoji51][emoji23]

Wwe mzima enda uko Mali ukapelekee jeshi ya Russia kitimoto basi,na uwakaribishe Tanzania[emoji90]ni mandugu kwelikweli[emoji108]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums-1998190896.jpg
 
Wakuu ikiwa kenya ametoa maoni yake na kubezwa. Je nchi za afrika zina nafasi gani katika kutoa maoni yake.

Acha tuone wakubwa wkilumbana uko
 
Kwa vyovyote vile, Putin na Urusi yake wapo pabaya, ikumbukwe Ukraine ina wanajeshi zaidi ya milioni moja na raia wake wengi wapo tayari kufa kizalendo, ni vigumu sana kuivamia nchi kama hiyo, na wakiamua kulipuana, umwagikaji wa damu utakaoshuhudiwa utaisababishia Urusi hasara kubwa sana hata kama watashinda, na itakua vita ya muda mrefu maana labda wawe na uwezo wa kuua kila mtu kwenye pembe zote za Ukraine.
Hamna kitu cha hatari kama kuvamia nchi ambayo watu wake wana uzalendo nayo, Mmarekani bado hukumbuka kilichomkuta Vietnam.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2129485
uyu Putin"💩Pushin
Namchukia sana,wakati corona ilianza alisema Africa is a Huge Grave Site!
Yani katutharau sana huyu jamaa,i wish the world to have a full blown war!ndio mtu kama mimi nichukuliwe kama massinerly!!!
Hii jamaa ni kama Hitler,bakisha tu aitekee Afrika tuu!akiwachwa amee pembe!!!😬😬😬
 
Kwa vyovyote vile, Putin na Urusi yake wapo pabaya, ikumbukwe Ukraine ina wanajeshi zaidi ya milioni moja na raia wake wengi wapo tayari kufa kizalendo, ni vigumu sana kuivamia nchi kama hiyo, na wakiamua kulipuana, umwagikaji wa damu utakaoshuhudiwa utaisababishia Urusi hasara kubwa sana hata kama watashinda, na itakua vita ya muda mrefu maana labda wawe na uwezo wa kuua kila mtu kwenye pembe zote za Ukraine.
Hamna kitu cha hatari kama kuvamia nchi ambayo watu wake wana uzalendo nayo, Mmarekani bado hukumbuka kilichomkuta Vietnam.
World War111
 
Kwa vyovyote vile, Putin na Urusi yake wapo pabaya, ikumbukwe Ukraine ina wanajeshi zaidi ya milioni moja na raia wake wengi wapo tayari kufa kizalendo, ni vigumu sana kuivamia nchi kama hiyo, na wakiamua kulipuana, umwagikaji wa damu utakaoshuhudiwa utaisababishia Urusi hasara kubwa sana hata kama watashinda, na itakua vita ya muda mrefu maana labda wawe na uwezo wa kuua kila mtu kwenye pembe zote za Ukraine.
Hamna kitu cha hatari kama kuvamia nchi ambayo watu wake wana uzalendo nayo, Mmarekani bado hukumbuka kilichomkuta Vietnam.
Hii umeandika kwa mihemuko kwa sababu mkenya mwenzako karopoka huko. Hao raia waliotayari kupambana mbona wanakimbia mpaka
 
Back
Top Bottom