Balozi wa Kenya nchini Tanzania: Hatuiangalii Tanzania kama jirani bali kama Ndugu. Sisi sio maadui, adui yetu ni Corona

Wakati wote mtu hautakiwi kuwa mnyonge kwenye nchi yako! Nchi hii huru na tunajitegemea, Wakenya wasijione wao bora ktk angle yoyote ile! Kulinda UHURU na UTU wetu ni gharama, hivyo tusiogope gharama tukauza utu wetu!

Funga mpaka hadi watakapoeleza walifunga mpaka wao kwasababu gani! Ni UJINGA WA KIWANGO CHA JUU, kufikiri kuwa virusi vya Corona ni vya nchi fulani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini kabla ya madereva kuvuka mipaka yetu wasipimwe corona ya Covid-19 'kama vipimo havipo mipakani sawa' nakwanini visiwepo
 
Na nzige budget yau mmeweka kiasi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuepuka kupimwa kimagumashi


MY TAKE
Hatujafunga mpaka ila kwa maslahi mapana ya kuwalinda Wakenya wasio na maambukizi kupata maambukizi watakapoingia Tanzania.




Tanzania inaenda na mwendo wa kufaulisha mizigo yao mipakani. Hamna Mkenya anaruhusiwa kuingia Tanzania!
 
bottom line is... Uhuru is a smartass.

conversely, our Tanzanian leaders look like a bunch of morons.
 
Tatizo tunaleta hisia za kike kwenye hii ishu, Mtu mwenye akili ataona kinachoshangiliwa hapa ni ujinga. Wakenya wataendelea na utaratibu ule ule wa kupima madereva na kuwazuia kuingia watakaopatikana na covid-19 na watakaokataa kupimwa. Sasa watch this space, malori ya kenya yataruhusiwa kuingia very soon kama bado. Hapo waTanzania tunashangilia nini sasa?
 
Sasa kama Kenya mpaka wamefunga wao, wanalia nini? Au wanataka Watanzania wasiingie kwao ila wao waingie Tanzania sasa wakija huku si watapata Corona? Kama wamefunga basi watulie dawa iwaingie vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app

Comprehension is an issue to you people, the border has not been closed, it's open to cargo upon mandatory testing.

As we speak we have over 120 trucks looking to bring goods to Kenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…