Balozi wa Kenya nchini Tanzania: Hatuiangalii Tanzania kama jirani bali kama Ndugu. Sisi sio maadui, adui yetu ni Corona

kama unafanya biashara huwezi kupeleka perishable goods bila order na kulipwa!


Wajaribu kuangalia masoko mengine kuna nchi 7 bado zinapokea chakula chetu!
Wakora wanaojidai kupima watu mpakani utadhani kwao Corona haijafika. Yule mfanyakazi wa KQ aliwa-alert mapema sana wao wakapuuza na kunsimamisha kazi. Sasa wanastuka ngoma ishachanganya
 
Wapuuzi sana wa Kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafiki tu hawa wapuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo kutangaza wamefunga mpaka ni bit tu?
Nadhani unaifananisha Tanzania ya kikwete na ya magufuli
Kabudi yuko busy na chama mpaka apokee simu sijui lini,
Pombe yuko chato na simu hazipokelewi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Comprehension is an issue to you people, the border has not been closed, it's open to cargo upon mandatory testing.

As we speak we have over 120 trucks looking to bring goods to Kenya.
Nasi tumefunga hatuwahitaji kuingia ishieni mpakani, shida nini?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaitwa mwaga mboga nimwage ugali
Wa Tanzania walivyokalishwa border two weeks uliona sawa sawa in the name of your stupidity
Linapofika suala la taifa I don't care whether ccm is at Lumumba or ufipa, ujinga na kuonewa hauna nafasi tena.
Haya mapumbavu ya Kenya yanataka kujiona so special kuliko wenzao.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ni pumbavu kabisa unajipendekeza Kenya ukidhani ukipata janga hapa Tanzania kama watakusaidia hao badala yake watafanya sherehe.
Wa Tanzania walipodhalilika hujatoa neno la kilofa wala busara halafu unajifanya kutetea upumbavu
Linapokuja suala la nchi ni muhimu kuliko kujipendekeza kwako kwa manyang'au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kutetea ujinga. Huoni habari wakivokuwa wanazipamba against Tanzania?
Mbona wasifunge mpaka na huko Rwanda sijui Uganda na wakatangaza qanafunga na Tanzania, madereva wao wanaingia nchini kwenye corona mbona wakirejea hawapimwi positive?
Kuna propaganda za kuharibu uchumi wa Tanzania na wamekwama hadharani hao nyang'au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imefanyika hivyo?
Unadhani kungekuwa na kelele?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Educate me what blinking is.....all the Ambassador was doing is to clear what the president said because from your media and comments u were taking Ke to have closed borders which is not the case
Stupid...why bother to clear the air if you are not afraid.?? Your ambassador was directed to do so because of the consequences of your irrational actions...you are the ones who will suffer most...that is blinking..
 
Hunui kit
Kulingana na wizara ya jumuiya ya Afrika Mashariki, kuna malori 7 yamezuiwa kuingia tz ilhali malori zaidi ya mia moja ishirini kutoka TZ kuelekea Kenya, madereva wake wanangoja kupimwa na GOK.

Mazao yenu yataozea kwenye mpaka
hujui kitu...nyamaza
 
Kenya walipofunga mpaka,viongozi watu wa juu,akiwemo waziri wa mambo ya nje,balozi,hawakuongea,tumefunga sisi,Kenya serikali nzima imeitisha press conference, inaonyesha jinsi gani hawakutegemea hili,alafu wameanza kuumia!
 
Stupid...why bother to clear the air if you are not afraid.?? Your ambassador was directed to do so because of the consequences of your irrational actions...you are the ones who will suffer most...that is blinking..
Watanzania wanaendelea kupimwa pale kwa border na kurudishwa na mizigo wakipatikana positive, seems hujui maana ya blinking

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya walipofunga mpaka,viongozi watu wa juu,akiwemo waziri wa mambo ya nje,balozi,hawakuongea,tumefunga sisi,Kenya serikali nzima imeitisha press conference, inaonyesha jinsi gani hawakutegemea hili,alafu wameanza kuumia!
Serikali nzima ikaitisha conference [emoji23][emoji23][emoji23] hivi mbna mnataka kulazimisha ionekane tunawategemea sana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii insha yako ndefu hamna aliye na haja nayo ....sisi tutaendelea kujilinda nyinyi endeleeni na hizo povu zenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wengi wanna haja nayo including you...this is information...kwamba you guys are not only arrogant but stupid too...Jana kwenye tv yenu alihojiwa Dr. Ojwang from one of your universities...akasema Kenya will lose most in this saga...mnatuletea Sijui chewing gum, blueband etc we TZ we can afford to do away with chewing gums...But can you do away kwa mahindi? Your industries will slowly die...your people will lose jobs...mnajifanya hamjali that is fool's courage...Tanzanians know a lot about Kenya...we don't like arrogant and bullish people...You should respect TZ and we will do the same to you...mkileta za kuleta then tunawashughulikia where it hurts you most..Hamna Cha maana Cha kutisha TZ...We know kuhusu njama zenu za kuimezea our beautiful and fertile ardhi..mmefika hata kuja na mbinu za kuoa WaTZ kule Tanga, Kilimanjaro na Arusha lengo lenu siyo love bali ardhi...pure nyang'au...mnatembea mpaka Iringa njombe kununua maparachichi...nyie badala ya kulima mazao ya chakula mnalima maua....ardhi yenu imekamatwa na just few elites..the majority of Kenyans do not own land ...a man eat man society...we don't have problems with our other neighbours- Mozambique, Zambia, Malawi, DRC, Burundi, Rwanda and Uganda...but with Kenya it is different...kwa kuwa mnajisikia Sana...Watanzania hatuwapendi watu wanaojisikia..Hatuwataki watu wanaowadharau wengine..Tuheshimiane..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…