Balozi wa Kenya nchini Tanzania: Hatuiangalii Tanzania kama jirani bali kama Ndugu. Sisi sio maadui, adui yetu ni Corona

Hawa jamaa wanajionaga special sana, ni kwenda nao sawa tu!
Afungashe virago
Duuuh Kazi ipo, Ndio uzuri wa Tanzania huwa ni action Maneno kidogo.

The Most Winner
Na mshindi wetu ni...
Kama anasepa na asepe.

Mwenye hadhi ya kutubembeleza na tukamsikia labda ni uhuru tu tena aende mwenyewe Chato akapige magoti asipige simu akuna muda wa kuongea na simu MK254

Sent using Jamii Forums mobile app


Hapo huyo balozi kawaelezea nyinyi vichwa vigumu kwanini mipaka ilifungwa, shida ni nyinyi siku zote kua mnapambana na mambo kishabiki, ndio maana hata hili janga la korona huko kwenu mmeligeuza na ikawa hoja nyengine kabisa.....
Huu ushabiki wenu ndo unawafanya pia mnachukulia hayo matamko ya huyo balozi kama sijui anaomba msamaha au sijui kenya ndo imeshindwa kutishiana misuli na Tanzania...... Yani mnaleta ushabik tu, Wakati balozi kaelezea vizuri sana kwamba tunapigana na corona, na sehemu yoyote ambayo maambukizi yanatokea basi tutachukua hatua......


Alafu cha kushangaza ni mnafikiria eti ni sisi ndo tulikua tutaumia kutokana na mpaka kufungwa kabisa, Inaonekana hata Rais wenu na viongozi wenu wanajali zaidi vile wataonekana kuliko kujali maslahi ya mtanzania



Nyinyi ndo mna cha kupoteza zaidi kuliko sisi, Anayewakilicha wanachama wa biashara za kibinafsi Tanzania alikua anashukuru mzozo kutatuliwa wakati nyinyi walala hoi mko hapa kujipiga kifua mitandaoni kumbe mazao yenu hayaendi ugaibuni yasipopitia Kenya.



How Dar and Nairobi truce saved horticulture from ruin[/QUOTE]
 
Siku hizi tunasafirisha wenyewe [/QUOTE]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kakudanganya hivyo? siku zote nyinyi hua mnajadiliana kishabiki tu bila kuangalia uhakika, Kuna madereva wakenya karibia 20 sasa ambao wamepatikana +ve mpakani wakiwa wanarudi kutoka Tanzania. Kwavivyo si ukweli eti Watanzania pekee ndo wanapatikana +ve, hata madereva wakenya wanaotoka Tanzania pia wanapatikana

Kenya’s Ministry of Health on Tuesday said that two Tanzanians were denied entry into Kenya at the Isibania border point after they tested positive for coronavirus.

Health Chief Administrative Secretary Rashid Aman said that the individuals were tested on the Tanzanian side of the border before any further action was taken.

If you recall yesterday I said that at the border points we are also testing those Tanzanians who want to cross over, but we are testing them while they are still on their soil. Then sharing with them the results of the tests so when they turn out positive, these Tanzanians, because they have tracked through the Tanzanian soil, need to be able to go back for isolation but also for the contact tracing that the Tanzanian authorities need to do,” Aman said.

Cross-border transmission of COVID-19 has emerged as a major risk in the East and Horn of Africa regions with countries taking steps to address the threat.

Kenya has already begun testing of people from Tanzania on their side of the border following a rise in the number of truck drivers who are testing positive for the virus. As a result of this, five Tanzanian truck drivers were found to be positive.

On Monday, the ministry announced that nine Kenyan truck drivers who were returning from Tanzania tested positive for COVID-19. Shortly thereafter, Aman said that the Kenyan government was considering all options, including a possible border closure with Tanzania, to contain the threat of cross-border transmission of COVID-19.

Two Tanzanians denied entry into Kenya after testing positive for COVID-19
 
Siku hizi tunasafirisha wenyewe


Kwani siku hizi ina maana tofauti ama? Hio ni habari ya leo na imendikwa na mtazanzia, Au unafikiria kununua ndege mpya na kupanua JNIA ndo ilikua ita tatua shida zote?
 
Kwani siku hizi ina maana tofauti ama? Hio ni habari ya leo na imendikwa na mtazanzia, Au unafikiria kununua ndege mpya na kupanua JNIA ndo ilikua ita tatua shida zote?
Nyie wakenya endeleeni tu kuua uchumi wenu huku mnajifanya mna kiingereza kingii. Upuuzi mtupu.
 
Kwani siku hizi ina maana tofauti ama? Hio ni habari ya leo na imendikwa na mtazanzia, Au unafikiria kununua ndege mpya na kupanua JNIA ndo ilikua ita tatua shida zote?
We hujaona tunasafirisha matunda wenyewe juzi air Rwanda ilichukua maparachichi,mbogamboga ,pia Ethiopia wakachukua samaki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[/QUOTE]
Tunasafirisha toka viwanja vyetu moja kwa moja hadi ulaya wewe sijui unaishi karne ya ngapi
 
We hujaona tunasafirisha matunda wenyewe juzi air Rwanda ilichukua maparachichi,mbogamboga ,pia Ethiopia wakachukua samaki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ni wateja wapya wa juzi juzi, lakini Kenya imekua suply route yenu kubwa tokea zamani sana, Kuna vitu vyengine kule Ugaibuni hamngeuza bila kupitishia Kenya.. Hata hao Rwanda wenyewe licha ya kua na kampuni kubwa ya ndege, kuna mazao mengine kama chai hua wanayapitishia Kenya kabla ya chnganywe na bidhaa za Kenya ndo zisafirishwe pamoja.
 
Undugu wa mashaka ni undugu gani? These are "nyang'aus" and can not be trusted.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[/QUOTE]wewe ndo umeandika nini sasa bwashee?

embu rudia kusoma matapishi uliyoandika alafu utafakari utagundua kuwa ubongo wako umejaa kinyesi cha nguruwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…