Balozi wa Kenya nchini Tanzania: Hatuiangalii Tanzania kama jirani bali kama Ndugu. Sisi sio maadui, adui yetu ni Corona

Habari kubwa Kenya Ni hatua hiyo ya Tanzania... Yaani huko Kenya wamechachawa haswa.

Ipo hivi

Kenya walikuwa Wana deal na Corona kwa mission kubwa mbili. Moja kuua kabisa Utalii wa Tanzania kwa kusema kuwa kila Dereva ana Corona that's means kuwa Watalii watakuwa wanaogopa Sana kuja nchini. Wanajua tungefaidika na Utalii ***ndi hiki ambacho wao wamejifungia.

Mission ya pili ilikuwa ni kutaka kupata fedha za IMF na kweli wamezipata tayari lakini Kitendo Cha sisi kuendelea na shughuli zetu Kama kawaida kimeonekana kina manufaa zaidi. Tayari Kenya wameshakopa USD 739 Milioni kwa ajili ya Corona. Hatua hii Tanzania waliikataa wao wameshachukua fedha hili ni deni kwa Taifa na Ni fedha nyingi sana.

Kuna Mwandishi mmoja wa Kenya anaitwa Gordon Opiyo ameandika kuhusu hatua hii ya Tanzania kufunga mipaka ameandika kuwa:-

Tanzania is hitting back. As I have been warning, we should be very careful about this Corona thing.

In my honest opinion, our Government is overreacting.We are over dramatizing Corona. I honestly doubt the figures "50 Tanzanians sent back" how comes Kenyans coming from Tanzania are turning out to be negative, and 90% of Tanzanian drivers are turning out to be positive??????????? Kwani Corona chooses Nationality?????

I think the US and WHO are using us to stigmitize Tanzanians after Magufuli refused to play ball and roll over like a puppy.

Honestly, if things were that bad, even the Truck Drivers arriving from Tanzania would be telling us stories about seeing bodies rotting in the streets...

I honestly think that we can't mess with our biggest trading partners like this, ata kama we are getting some token aid from United States and IMF.

Do you know that Markiti will collapse if we don't get supplies from Tanzania?
Do you know that Onion prices will triple if we do not get supplies from Tanzania?
Do you know that 70%of the Oranges you eat come from Tanzania????

We will face severe shortage, because cartels killed the Agricultural Sector in Kenya.

I would honestly ask all our decision makers to stop the Corona games and start thinking about the economy.
Pesa ya IMF tushapata. Tuwache hiyo mchezo Sasa.
Mlipima madereva wangapi wa Kenya mpaka sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuna izo siasa chafu
 
“Hakuna Mkenya anayemuombea mabaya Mtanzania, Wakenya tunawaombea Watanzania mpigane na janga hili, na sisi pia mtuombee, tusianze kukorogwa na kirusi hiki, tusianze kugongana kisa corona, Watu watulie, Viongozi wetu watakutana na tutalimaliza” -Balozi Kazungu

#MillardAyoUPDATES millardayo on Twitter

2020
 
LOL hujasikia nini sasa?

Balozi katumwa na Kenyatta to apologize into two formats, verbally and written

Kaomba Tanzania ikubali kuongea kwenye round table, sikiliza clip
Msimamo pale pale haingii mtu Kenya bila kupima. Kujifikiza siyo passport ya kuvuka border.
 
LOL hujasikia nini sasa?

Balozi katumwa na Kenyatta to apologize into two formats, verbally and written

Kaomba Tanzania ikubali kuongea kwenye round table, sikiliza clip
Na hile kichapo kinaendelea kule Namanga pia ameongelea?😂😂😂
 
Mimi niliongea hapa kuwa hawa ndugu zetu ni swala la muda tu hata asie ona ukimpa rungu apige loophole za Kenya atapiga tu mana ziko open sana kuna operations tukiamua kuzifanya Kenya ataumia zaidi, Hio ni border umeona tayari Kenyata ametuma delegates sasa loophole ni nyingi sana hawa jamaa wanatuhitaji zaidi kuliko sisi tunavyo wahitaji na juzi niliongea hapa, Kenyata afungue border tu aache siasa zake za kujikomba kwenye international communities ajue huko duniani hana mjomba wala baba mkubwa ndio mana kila mia anayopewa ni mkopo na sio grant

Rais aunde task force tu na atoe Rungu hawa watu wa border nchi zote lazima watatuheshimu sasa huyo ni Kenya sio land locked wala nini ndo anaanza kulia lia sasa mkoa kama rwanda ambao ni landlocked unataka kutunisha mshuli kweli jamani inasikitisha
 
Hilo tunafahamu ni lazima. Hii mipaka iliwekwa na mkoloni na sisi bado inatupelekesha na wakati kabla ya ukoloni ilikuwa ardhi moja!
 
1. Anazungumza unatambua wazi anayezungumza ni mwanadiplomasia aliyetumwa kulinda maslahi ya Kenya hapa Tanzania

2. Anaongea kutueleza namna Rais na wakenya wanavyotuchukulia,

3. Anaeleza umuhimu wa kipima corona Kama njia ya kukabiliana na ugonjwa huo.

4. Anaonyesha wapo tayari kujishusha na kuomba msamaha Kama tunavyotaka ili mahusiano ya kibiashara yaendelee.

5. Anaonyesha hawajafunga mpaka kwa madereva ila watawaruhusu wale tu waliopimwa akitolea mfano Uganda.

6. Anatutafakarisha na kutufanya tujielize kwanini watu wetu tunataka waende Kenya bila kupimwa?
 
Nimesoma comments za wadau..hadi raha. Hakika ugomvi wa ndugu usiingilie. Sana sana chukua jembe ukalime.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…