Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,897
- 7,074
Sawa Esther Bulaya tumekuskiaWakenya wanajitambua Rais wao hana PhD fake wala mkuu wao wamkoa ajapata zero...labda tulichowazdi sisi tuna Mungu wa Africa anaitwa Mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Esther Bulaya tumekuskiaWakenya wanajitambua Rais wao hana PhD fake wala mkuu wao wamkoa ajapata zero...labda tulichowazdi sisi tuna Mungu wa Africa anaitwa Mbowe
Jeshi imara nyie mtalitoa wapi wakati hata kula kwenu shida.Mnajibiwa kulingana na uhalisia wenu, kila kitu na zamu..sahihi ndio zamu yenu, kama jeshi lenu ni dhaifu ni dhaifu tu
Feel the pain bro
Sent using Jamii Forums mobile app
nani amemuomba maelezo? wamefunga mpak wao nasi tumefung wetu kwisha.Sijaona apology zaidi ya maelezo kwanini lazima madereva kupima virusi vya covidi kabla kuingia Kenya. Mungwana tena bila jazba. Huu ndio ustaarabu umetuponyaka.
Mnajifurahisha, hyo ndio kazi yake. Lkn mjue mpaka hautafunguliwa na madereva lazima wapimwe. Uhuru keshafunga kazi kitambo, na nynyi mkitaka fungeni pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kuna tamthilia ya handshake vp upewe?
Balozi wa Kenya nchi Tanzania amesema Tanzania na Kenya ni ndugu hivyo hakuna haja ya kuvurugana kisa Corona ambayo haijatoka Tanzania wala Kenya ila wote imetukuta.
Hata hivyo amesema asubuhi ameongea na Waziri wa Mambo ya nje Prof Kabudi kuhusu Changamoto hii.
Kabudi amemjibu kwa sasa yuko bize na maswala Chama Dodoma, hivyo wataongea mwishoni mwa wiki.
Ninyi ndo mjue hakuna mkenya atakaepenya TZ Rwanda ,congo , Burundi, Zambia ruksa hahahaha imetulia kweliMnajifurahisha, hyo ndio kazi yake..
Lkn mjue mpaka hautafunguliwa na madereva lazima wapimwe..
Uhuru keshafunga kazi kitambo, na nynyi mkitaka fungeni pia
Sent using Jamii Forums mobile app
What Kazungu said in two sentences.
1. Tanzanians has to be tested before they enter Kenya.
2. We are not opening any border.
Hizo ni kauli za kawaida hutolewa na watu tofauti tofauti baina ya hizi nchi zetu..
Kwa hiyo usishtuke..
Lakini mpaka hautofunguliwa, kawatishieni Zambia huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni dereva au upo mpakani kama nani hapo?
Tanzania haijataja mtu wala hatutaki Wakenya mje kulilia hapa sisi tumachapa kazi tu nyie si mnaogopa kufa sie tunafungua angaMnajifurahisha, hyo ndio kazi yake..
Lkn mjue mpaka hautafunguliwa na madereva lazima wapimwe..
Uhuru keshafunga kazi kitambo, na nynyi mkitaka fungeni pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikose nichekwe?😂😂😂
Sawa Esther Bulaya tumekuskia
Ulitka aseme nini na kwa shida gani?Hao ndio mabalozi wanaojua kazi yao balozi wa kwetu nchini kenya ametulia kimya bila kufanya lolote hii ndio shida ya kuteua bila kuangalia