[emoji23] [emoji23] [emoji23] Utakuta kabinet nzima ya chadema inaamini huu uharo wa kigogo hivi hiyo laki 5 utahonga mawakala wangapi nzima? Hizo hela za kuchezea hivyo huyo jamaa yenu anafikiri ni makaratasi?
Hahahahah lazima akanywe amoxilin.Koo limaweza kudondoka kwa kukamuliwa huko.
Petty issues,shame!Safi kabisa Balozi amemfuata Bashiru alipo, ila yule kibaraka yeye ataenda nyumbani kwa balozi.
Unaona tofauti sasa
Si dolaaa.?[emoji23] [emoji23] [emoji23] Utakuta kabinet nzima ya chadema inaamini huu uharo wa kigogo hivi hiyo laki 5 utahonga mawakala wangapi nzima? Hizo hela za kuchezea hivyo huyo jamaa yenu anafikiri ni makaratasi?
Unafikiri balozi wa marekani ni mpiga kura wa Tanzania? Magu yupo kwa wapiga kura anaomba kura, hatupotezi mda wa kijinga sisiHahaha Magufuli ana kimbia, huu ni muda wa kampeni yeye ndiye mgombea alipaswa aonekane huko.
ITV aliongea Bashiru, kwa balozi anaenda Bashiru yeye anaogopa nini?!
Kwanini asiende Polepole ndiye msemaji wa ccm?!
Hahaha huyo rais gani mjinga asiyeweza kuongea na wageni wake?!Acha kumfananisha rais na vitu vya kijinga
Safari hii CIA wamemwagwa kila kona ya nchiMmejidai jeuri Ila ujumbe mmeletewa nyumbani,ili mseme pia hamkuupata.
Naona kule Lindi&Mtwara hakuna wapiga kura wenu.Unafikiri balozi wa marekani ni mpiga kura wa Tanzania? Magu yupo kwa wapiga kura anaomba kura, hatupotezi mda wa kijinga sisi
Watanzania pia tunawafuatilia ili siku wakose pa kuchomoke kwa maovu yao.Safari hii CIA wamemwagwa kila kona ya nchi
Hahaha wapiga kura wa wapi lumumba?!Unafikiri balozi wa marekani ni mpiga kura wa Tanzania? Magu yupo kwa wapiga kura anaomba kura, hatupotezi mda wa kijinga sisi
Mama Samia, Kikwete, Majaliwa washamaliza kazi huko! After law kule kunawachai, wasije wakafushisha Moshi mweupe buree!Naona kule Lindi&Mtwara hakuna wapiga kura wenu.
Mzee wa tumia dola kubakia kwenye dola!.Imagine ni PhD inahimiza udikteta
Kingereza mpaka leo wewe kimekusaidia nini?Hahaha wapiga kura wa wapi lumumba?!
Huwa anatudanfanya sisi na kiingereza cha hovyo hovyo sasa ndio muda akaonyeshe anaweza.
Your excellency...I am preaching to you... but you are not reachable ...!
I am preaching to you ..you are not reachable!Kingereza mpaka leo wewe kimekusaidia nini?
Mgombea wa uingereza[emoji16]Balozi wa Marekani nchini leo amekutana na Katibu mkuu wa CCM katika ofisi ndogo ya chama Lumumba jijini Dsm.
Taarifa rasmi ya walichozungumza Dr Bashiru na balozi huyo wa dunia zitaletwa.
Source Watetezi tv
Maendeleo hayana vyama!
Wahutu ndio walivyo .Balozi atakuwa ameshangaa sn kuongea na mtu ambaye hajui tofauti kati ya R&L
Pumbavu kigogo aende yeye sasa kuwa msimamizi nchi haiendeshwi kwa umbeya umbea.