HeheeeHuyu si beberu ni mdau wa maendeleo inatengemea kakutana na nani 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeheeeHuyu si beberu ni mdau wa maendeleo inatengemea kakutana na nani 😂😂😂
Hizi habari zote CIA anazo.
Rais mwoga mpaka basi. He is so inferiorAcha kumfananisha rais na vitu vya kijinga
Waligoma kwenda CIA limewafata. Sasa watalifukuza???Safi kabisa Balozi amemfuata Bashiru alipo, ila yule kibaraka yeye ataenda nyumbani kwa balozi.
Unaona tofauti sasa
Hii ya kuwanunua mawakala wala sio mbinu mpya. Tangu 2010 mpango ni huu hasa kwenye maeneo ambayo CCM wanajua hawana chao
Si mpaka ziwepo.Huo ndo utaratibu sio eti kwenda kule ubalozini, anatakiwa yeye ndo aende kwenye ofisi za vyama
😁 😁 😁 Mwoshi mweupe ndo nn tena mkuu?Mama Samia, Kikwete, Majaliwa washamaliza kazi huko! After law kule kunawachai, wasije wakafushisha Moshi mweupe buree!
Safi kabisa Balozi amemfuata Bashiru alipo, ila yule kibaraka yeye ataenda nyumbani kwa balozi.
Unaona tofauti sasa
Bongo lala.Mzee wa tumia dola kubakia kwenye dola!.Imagine ni PhD inahimiza udikteta
Ila CDM wanatakiwa watafute hela za kulipa mawakala vizuri kwa namna yeyoteHii ya kuwanunua mawakala wala sio mbinu mpya. Tangu 2010 mpango ni huu hasa kwenye maeneo ambayo CCM wanajua hawana chao
Mawakala wengi wa upinzani hawalipwi vyema. Nakumbuka 2015 ni kama vile mtu kama Mnyika aliwapa 5000 mawakala wake.
Imagine 5000 against 300,000/- kutoka CCM. For many hii ni one chance after every 5 years!
Muuza Ndizi Wa Kemondo 😂😁😑😀Vipi Bashiru ameongea nini na Bashiru?
Je muuza ndizi ameongea kingereza au ameshindwa kuongea kama boss wao?
Ndio mnavyodanganya watu? Mara Lissu kawekewa chuma maalumu cha kunasa mawasiliano.Safari hii CIA wamemwagwa kila kona ya nchi
Ninachowaomba Wana Kawe NileteeniMmejidai jeuri Ila ujumbe mmeletewa nyumbani,ili mseme pia hamkuupata.
Ila CDM wanatakiwa watafute hela za kulipa mawakala vizuri kwa namna yeyote
Acha Gubu mkuu.Kwani chama cha mashoga dunia kupitia makao makuu yao hawajamuweza mwenzao mgombea?
KweliBalozi atakuwa ameshangaa sn kuongea na mtu ambaye hajui tofauti kati ya R&L
Maendeleo ya Watu, si vitu haaaa haaaa
Duh...sijui umefika darasa la ngapi wewe...hiyo ni shida kwa hakika uelewa wa mambo na hata elimu yako...mtu unaweza ukawa huna elimu lakini ukawa na uelewa wa issues, busara na hekima...wewe umekosa vyote...huHahaha Magufuli ana kimbia, huu ni muda wa kampeni yeye ndiye mgombea alipaswa aonekane huko.
ITV aliongea Bashiru, kwa balozi anaenda Bashiru yeye anaogopa nini?!
Kwanini asiende Polepole ndiye msemaji wa ccm?!
Amemzidi nini Sasa? Ndio maana Magonjwa Mtambuka amelike😠Useme usiseme Dkt amekuzidi sanaa ndugu
Acha Gubu mkuu.